a4afrika
JF-Expert Member
- Apr 13, 2012
- 1,456
- 1,459
HAYUPO kama FULANI, HAYUPO, HAJAWAHI NA HATAKUWEPO.Unaamini MUNGU yupo au hayupo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAYUPO kama FULANI, HAYUPO, HAJAWAHI NA HATAKUWEPO.Unaamini MUNGU yupo au hayupo?
Haya mawazo yametuchelewesha sana kufikia malengo. Yanadumaza uwezo wa kufikiriKitu muhimu ni kuomba Mungu akupe kibali au upendeleo.
Mengine yote ni matokeo ya kibali ulichopewa na Mungu.
Ukipewa kibali na cha uzima, hakuna mfumo au mtu wa kukunyang'anya haki ya kuishi.
Ukipewa kibali cha utajiri, unaweza kuwa mkulimq mkubwa kwenye ardhi isiyo na rutuba kama Isaka na Ibrahimu.
Ukipewa kibali unaweza kupita katikati ya maadui na wasikufanye chochote kama Yakobo.
Ukipewa kibali unaweza kuwa houseboy mwenye influence kuliko baba Mwenye nyumba. Diwani mwenye ushawishi kuliko Rais kama Yusufu.
Katika maombi yako usisahau kuomba kibali kutoka kwa Mungu.
Sasa kama hutaki je??.akupe tuuuHapo huwa sielewi,
Mungu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote halafu tukitaka kitu mpaka tumuombe tena?
Je unapowachapa watoto wako nyumbani lengo ni nin?Why anaruhusu hayo wakati anaupendo wote!?
Unapowachapa watoto nyumbani huo sio upendo?Upendo ni kuruhusu mabaya yawafikie watu sio?
Kama ndivyo Definition ya upendo ilivyo,
Basi, Huyo Mungu ni KATILI sana.
SAWA mkuuHAYUPO kama FULANI, HAYUPO, HAJAWAHI NA HATAKUWEPO.
Kuwachapa watoto ni kwa vile wewe huna, uwezo wa kuwafanya wasitende hayo makosa,Unapowachapa watoto nyumbani huo sio upendo?
Maneno magumu, ya kilokole yasiyo na tija!Kitu muhimu ni kuomba Mungu akupe kibali au upendeleo.
Mengine yote ni matokeo ya kibali ulichopewa na Mungu.
Ukipewa kibali na cha uzima, hakuna mfumo au mtu wa kukunyang'anya haki ya kuishi.
Ukipewa kibali cha utajiri, unaweza kuwa mkulimq mkubwa kwenye ardhi isiyo na rutuba kama Isaka na Ibrahimu.
Ukipewa kibali unaweza kupita katikati ya maadui na wasikufanye chochote kama Yakobo.
Ukipewa kibali unaweza kuwa houseboy mwenye influence kuliko baba Mwenye nyumba. Diwani mwenye ushawishi kuliko Rais kama Yusufu.
Katika maombi yako usisahau kuomba kibali kutoka kwa Mungu.
Utajiri bila Mungu ni umasikini.Maneno magumu, ya kilokole yasiyo na tija!
Eron musk, bill gates, Diamond, Dangote, hawa wametumia talanta zao, kufanya Mambo,
Kwa sababu ni mpenda sifa na majivunoHuyo Mungu kwanini mpaka aombwe?