Usitafute utajiri, utajiri ni matokeo. Tafuta kibali cha Mungu

Usitafute utajiri, utajiri ni matokeo. Tafuta kibali cha Mungu

Halazimishi ufanye kitu flani, ndiomana kakupa utashi uchague wewe mema au mabaya.
Huo ni uchaguzi wa amani?

Huoni kama ni kulazimishana tu. Ili hali unasema sio kulazimishana.

Ni sawa na Wewe umtongoze mwanamke then umwambie kuwa
"unauhuru wa kuchagua kunikubalia ama kunikatalia, lakini usiponikubali mimi ntakuua kwa kukuchoma moto"

Hapo huoni technically umeforce mambo haijalishi ulisema anauhuru wa kukuchagua ama kukukatalia!?
 
Unakataa Mungu hayupo ila unakubali uwepo wa bahati, na huwa unakaza fuvu kabisa wewe ni Mwanasayansi unaeelezaga vitu kwa empirical evidence?

Dunia simama nishuke [emoji1732][emoji1787]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Je bahati inauhusiano gani na Mungu!?

Unaelewa hata dhana nzima ya bahati lakini!?
 
Alimfanya Adam mnyoofu akajitaftia matatizo mwenyewe. ''MUNGU ANAKUPENDA'
Sasa Unyoofu wa Adamu hapo ni UPI kama aliweza kujiletea matatizo? Sikosei hata Unyoofu wa Mungu unatilia shaka maana alijitafutia matatizo mwenyewe kwa kumuumba shetani.

Kasoro za kila kitu ndio Ukamilifu wake saw a na Unyoofu wake.

Mungu mnayemtaja hajawahi kuwepo.
 
Bado hujathibitisha uwepo wa bahati physically and its visibility ilihali unakataa ukweli juu ya uwepo wa Mungu.

Akili zako zina ukomo kuelewa kuhusu imani na uwepo wa Mungu by empirical evidence kama ujiitavyo Mwanasayansi ambaye huambatani kabisa na metaphysics evidence philosophies.

Thibitisha bahati si imani na ikiwa umefeli kuthibituisha mwonekano wake na umbo lake.

Mbali na hapo utakuwa umeamua kukaza fuvu lako tu kuwa hakuna Mungu ilihali kuna vitu vingi tu visivyo na physicality na visibility unakubali na kuamini uwepo wake kama bahati, akili, hewa.....

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Umeelewa maana ya bahati?
 
Alimfanya Adam mnyoofu akajitaftia matatizo mwenyewe. ''MUNGU ANAKUPENDA'
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je hakujua kwamba Adamu atajitaftia matatizo?

Mungu aliye muumba Adamu mnyoofu, ambaye Adamu huyo "mnyoofu" baadaye alikuja kujitaftia matatizo,

Je kazi yake Mungu ya "Uumbaji" ilikuwa na ukamilifu kweli?
 
Halazimishi ufanye kitu flani, ndiomana kakupa utashi uchague wewe mema au mabaya.
Sasa kwanini mtu akichagua mabaya apewe adhabu?

Huoni kwamba Mungu huyo ana ingilia uhuru na utashi wa watu alio uweka mwenyewe, wa kufanya mema au mabaya?

Kama alikuwa hataki tufanye mabaya, kwa nini aliweka utashi wa kuweza kufanya mabaya?

Kama Mungu alikuwa hataki tufanye mabaya, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda mabaya?
 
Je Mungu hajui mahitaji yako?

Wewe kama Baba, Huwa si lazima unajua mtoto wako na familia yako inahitaji chakula, malazi na makazi?

Kwani ni mpaka mwanao aku kumbushe na kukwambia " Baba tunahitaji kula" ndio ununue chakula?

Ninyi huwa mnasema kwamba, Mungu ni mwenye kujua yote ,na Mungu ni muweza wa yote.

Sasa naku uliza hivi [emoji116]

Mungu mwenye kujua yote, Je hajui mahitaji yako unayo yahitaji mpaka umuombe wewe?
Ifike mahali tumtumainie Mwenyezi Mungu na wakati huohuo tufanye kazi kwa bidii tofauti na hapo tutabakia kutishana tu kwa maneno makali kama ya mtoa mada
 
Logical non sequitur

Kwamba kwasababu biashara yako inaenda vizuri ndiyo inadhihirisha kibali kutoka kwa Mungu!?

Haufikirii kama ni usimamizi wako mzuri tu katika kuendesha biashara and nothing else!?
usimamiz ni ule ule,mbinu ni zile zile , customer care ni ile ile na bei ile ile pamoja na location...

Mamb ya kibali ni real,sema ni ngumu kumweleza mtu akaelewa kama vile kumweleza mtu uchaw unavyofanya kazi..
 
Sasa kwanini mtu akichagua mabaya apewe adhabu?

Huoni kwamba Mungu huyo ana ingilia uhuru na utashi wa watu alio uweka mwenyewe, wa kufanya mema au mabaya?

Kama alikuwa hataki tufanye mabaya, kwa nini aliweka utashi wa kuweza kufanya mabaya?

Kama Mungu alikuwa hataki tufanye mabaya, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda mabaya?
Anakupa machaguo ukiwa hapa duniani ukifa hakuna machaguo Tena matendo yako ndio yatakuchagulia uende wapi. Chagua vyema ndugu MUNGU anakupenda
 
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Je hakujua kwamba Adamu atajitaftia matatizo?

Mungu aliye muumba Adamu mnyoofu, ambaye Adamu huyo "mnyoofu" baadaye alikuja kujitaftia matatizo,

Je kazi yake Mungu ya "Uumbaji" ilikuwa na ukamilifu kweli?
Hutaki kuelewa wataka kubishana ndo tatizo lilipo hata nkikwambia maneno gani Kama unabishana huwezi elewa. 'MUNGU ANAKUPENDA'
 
Sasa Unyoofu wa Adamu hapo ni UPI kama aliweza kujiletea matatizo? Sikosei hata Unyoofu wa Mungu unatilia shaka maana alijitafutia matatizo mwenyewe kwa kumuumba shetani.

Kasoro za kila kitu ndio Ukamilifu wake saw a na Unyoofu wake.

Mungu mnayemtaja hajawahi kuwepo.
Anakuumbq mnyoofu anakupa uhuri uchague mwenyew mema au mabaya lakini baada ya hapo huchagui matokeo ya machaguo yako, matendo yako ndio yanakuchagulia.. MUNGU anakupenda
 
Huo ni uchaguzi wa amani?

Huoni kama ni kulazimishana tu. Ili hali unasema sio kulazimishana.

Ni sawa na Wewe umtongoze mwanamke then umwambie kuwa
"unauhuru wa kuchagua kunikubalia ama kunikatalia, lakini usiponikubali mimi ntakuua kwa kukuchoma moto"

Hapo huoni technically umeforce mambo haijalishi ulisema anauhuru wa kukuchagua ama kukukatalia!?
'Uhuru wa kuchagua Ni wako Ila matokeo baada ya machaguo yako si yako Tena' MUNGU anakupenda
 
Huyo Mungu kwanini mpaka aombwe?
Ni kanuni: hakuna HAKI pasipo WAJIBU!


pia huwa ni raha sana kumuomba Baba wa mbinguni. Kwenye maombi ndipo tunaungana na Mungu wetu, ndilo eneo rasmi la kupiga stori na Mungu Baba yetu.

very awesome!


YESU NI BWANA & MWOKOZI
 
Ni kanuni: hakuna HAKI pasipo WAJIBU!
Logical non sequitur

Yan nmeuliza kuwa kwanini Mungu huyo mwenye sifa ya uwezo wote ujuzi wote na upendo wote anataka mpaka tumuombe ili atatue shida zetu.

Imagine umefukiwa na kifusi mgodini siku ya tatu, halafu kuna Mungu mwenye sifa hizo, ili wewe utoke humo anasubiri mpaka tena umuombe!?

Vipi wengine wanaomuomba lakini wanakufa kwenye scenario kama hizo?

pia huwa ni raha sana kumuomba Baba wa mbinguni. Kwenye maombi ndipo tunaungana na Mungu wetu, ndilo eneo rasmi la kupiga stori na Mungu Baba yetu.

very awesome!
Hiyo ni saikolojia yako tu imejengwa ujihisi unaunganishwa na nguvu iliyo juu.

Ukweli ni kwamba unakuwa unapambana na akili yako tu.
_20230721_181922.JPG


YESU NI BWANA & MWOKOZI
Anaokoa nini meli, ndege na kila siku watu wanakufa kwa matetemeko tu na ilihali wanamuomba kila siku!?
 
Back
Top Bottom