Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
- Thread starter
-
- #41
Hollywood kuna nyumba anayoishi Tom Cruise ina thamani ya dola milioni 60 lakini hapo hapo Los Angeles kuna watu wanalala ndani ya maboksi usiku...mbona wamachinga wanazidi kuongezeka kama viwanda vinafunguliwa na kuongeza ajira na uzalishaji?
..hakuna awamu ambayo haikujenga viwanda, miradi ya umeme, na miundombinu mingine.
..Tatizo ni kwamba waliyoufanya na yanayofanyika sasa hivi, yameshindwa kupambana na ongezeko la umasikini, na wanaotafuta ajira, hapa nchini.
..Kwa maneno mengine Ccm imeshindwa.
Unavyo andika haya umeshakunywa bia ngapi?. Nahisi najadiliana na mlevi aliyekaa bar...tatizo Maza hajui Kiingereza, na hoja za kuongea na wazungu, na wageni wanaotutembelea, sasa hasira zenu mnazihamishia kwa bwana kipara.🤣
Wewe unao uwezo mkubwa wa hiyo nafasi uliyonayo sasa hivi?. Punguzeni maneno negativity hayawasaidii chochote.
Hata JPM mlisema hivi hivi alipokuwa hai alipoaga dunia mkaanza kumpamba kinafiki.
Tembea Tanzania nzima uangalie uhalisia sio unalaumu ukiwa umekaa mbele ya laptop au simu yako...Magu na Samia waliahidi Tanzania ya viwanda mwaka 2015. Tunakwenda mwaka wa 10 sasa, Je, umeridhika na utekelezaji wa ahadi hiyo? Kwa vigezo na ushahidi upi?
Unavyo andika haya umeshakunywa bia ngapi?. Nahisi najadiliana na mlevi aliyekaa bar.
Huko kwenye uchawa ndio huwa kimbilio lenu mnapoishiwa hoja. Samia kafanya la maana kumchinjilia mbali Makamba...walevi wana kawaida ya kufunguka na kuongea mambo ya ukweli kuliko ambao hawajapata kinywaji.
..nina hakika hata wewe ukipata bia kadhaa utaachana na uchawa utazungumza ukweli.
Tembea Tanzania nzima uangalie uhalisia sio unalaumu ukiwa umekaa mbele ya laptop au simu yako.
Chuki zako ni shida yako mwenyewe. Muda huu ukiwa unalialia humu kuna watu wanafanya biashara na kuingiza mabilioni ya pesa na ni watanzania wenzetu...umasikini kila mahali.
..Maza amekata pumzi, na kaishiwa mbinu.
..hana ideas, wala sera za kuikwamua nchi, ndio maana ameamua kuvamia Serengeti kuchimba madini.
..huo ni ushahidi kwamba uwezo wa kuongoza hana, pia hana nia njema na Watanganyika.
Acheni uwongo, Mh. Rais Hana hiyo inferiority complex, kwanza mambo hayo ya kihivyo yalikuwa huko zamani...Siku hizi watu wote wenye akili nzuri na busara hupenda watendaji walio Wazuri kuwazidiKwenye masuala ya uongozi kuna kanuni moja muhimu sana isemayo ' usitake kumfunika boss wako'.
Kwa kingereza wanasema 'never outshine your master', anayekuapisha daima ni mkubwa wako wa kazi hata kama nafsi yako inakuambia kwamba wewe unamzidi maarifa na kila kitu. Siku zote jifanye mjinga kwa mtu anayekupa mshahara na kukufanya ukaonekana na kuthaminika.
Hiyo kanuni imekuwa ngumu kwa Mheshimiwa January Makamba, ni mtu mwenye kujitutumua kila anapopata nafasi kiasi cha kusahau matendo yake yanaonekana vipi kwa wakubwa waliomuapisha pale ikulu.
Kuna lile suala la kutokuelewena kati ya mamlaka ya anga ya Tanzania TCAA na mamlaka ya Anga ya Kenya. Na mkurugenzi wa mamlaka ya Tanzania akawaandikia wale wa Kenya kuhusu umuhimu wa kufungua anga lao kwa biashara zetu kwa mujibu wa taratibu za anga za kimataifa.
Ni suala ambalo kwa namna yoyote ile barua iliyotoka upande wa Tanzania ilikuwa imetosha kuwakumbusha majirani juu ya kupunguza kiburi na dharau katika sekta zao, na kwa namna yoyote ile lisingeweza kuvuka siku tatu bila ya ufumbuzi kuwa umepatikana.
Na ilikwishatokea hivyo hivyo wakati wa awamu ya tano na mawaziri wa mambo ya nje wa Kenya na Tanzania wakaliachia limalizwe katika ngazi za wakurugenzi bila ya wao kulazimika kuingilia kati.
Safari hii katika awamu ya sita Mheshimiwa Makamba akaona ni sehemu ya 'kutokea', akaona ni nafasi ya kuchukulia ujiko kwa bosi wake. Akaamua kuingilia kati akimhusisha waziri wa mambo ya nje wa Kenya. Hakujua kwamba ameikera ofisi iliyomteua na kumwapisha kiasi cha mwenye ofisi kuwapigia simu wahusika akimshangaa waziri wa mambo ya nje kwa namna alivyoingilia suala lenye kutakiwa kumalizwa katika ngazi za chini.
Kingine kilichomkera SSH ni kuona kwamba hilo ni suala la wizara ya uchukuzi na mawasiliano na hapakuwa na haja ya wizara ya mambo ya nje kutumia nguvu kubwa kwenye utatuzi.
Tatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.
Wazungu wanasema ' never outshine your master'.
Daah mmeanza sasa kujidai nyie zaidi ama?..umasikini kila mahali.
..Maza amekata pumzi, na kaishiwa mbinu.
..hana ideas, wala sera za kuikwamua nchi, ndio maana ameamua kuvamia Serengeti kuchimba madini.
..huo ni ushahidi kwamba uwezo wa kuongoza hana, pia hana nia njema na Watanganyika.
Hujui uliloliandika.Acheni uwongo, Mh. Rais Hana hiyo inferiority complex, kwanza mambo hayo ya kihivyo yalikuwa huko zamani...Siku hizi watu wote wenye akili nzuri na busara hupenda watendaji walio Waziri kuwazidi
Hao ni mashujaa wa nyuma ya keyboard.Daah mmeanza sasa kujidai nyie zaidi ama?
Chuki zako ni shida yako mwenyewe. Muda huu ukiwa unalialia humu kuna watu wanafanya biashara na kuingiza mabilioni ya pesa na ni watanzania wenzetu.
Hili tatizo alikua nalo hata MembeTatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.🪅
Kwa hiyo hii ndo sababu ya kumtumbua??Makamba NI zero kabisa hata mi ningemtimua, weka pembeni ishu ya kupanga jambo Hatari ambalo imebaki Siri tuje la kawaida yaani unawezaje kuwa waziri wa mambo ya nje halafu unazurura manchi mengine huko unajitutumua kama wewe ndiyo Rais wa nchi?
Yaani unasafiri kama waziri wa mambo ya nje na uko na Rais kwenye ziara unakuwa na timu yako ya waandishi wa habari mbali na waandishi wa habari wa Rais wanaku brand wewe kuliko Rais wako? Yaani unashindana na Rais au?
Yaani unawezaje kuwa kwenye ziara nje ya nchi unataka wewe kama waziri uambatane na mawaziri wengine yaani wewe ni Rais?
Huu ni ulimbukeni na ujinga wa hali ya juu sana. Tunaposemaga January hana akili hiii ndiyo ilikuwa maana yake lakini wengi sana hawakuwa wanataka kuelewa lakini sasa nadhani mmeelewa kwa kuwa mmerahisishiwa kuelewa kwa kufukuzwa kwake.
Britanicca
Makamba na CCM wote mafisadiKwenye masuala ya uongozi kuna kanuni moja muhimu sana isemayo ' usitake kumfunika boss wako'.
Kwa kingereza wanasema 'never outshine your master', anayekuapisha daima ni mkubwa wako wa kazi hata kama nafsi yako inakuambia kwamba wewe unamzidi maarifa na kila kitu. Siku zote jifanye mjinga kwa mtu anayekupa mshahara na kukufanya ukaonekana na kuthaminika.
Hiyo kanuni imekuwa ngumu kwa Mheshimiwa January Makamba, ni mtu mwenye kujitutumua kila anapopata nafasi kiasi cha kusahau matendo yake yanaonekana vipi kwa wakubwa waliomuapisha pale ikulu.
Kuna lile suala la kutokuelewena kati ya mamlaka ya anga ya Tanzania TCAA na mamlaka ya Anga ya Kenya. Na mkurugenzi wa mamlaka ya Tanzania akawaandikia wale wa Kenya kuhusu umuhimu wa kufungua anga lao kwa biashara zetu kwa mujibu wa taratibu za anga za kimataifa.
Ni suala ambalo kwa namna yoyote ile barua iliyotoka upande wa Tanzania ilikuwa imetosha kuwakumbusha majirani juu ya kupunguza kiburi na dharau katika sekta zao, na kwa namna yoyote ile lisingeweza kuvuka siku tatu bila ya ufumbuzi kuwa umepatikana.
Na ilikwishatokea hivyo hivyo wakati wa awamu ya tano na mawaziri wa mambo ya nje wa Kenya na Tanzania wakaliachia limalizwe katika ngazi za wakurugenzi bila ya wao kulazimika kuingilia kati.
Safari hii katika awamu ya sita Mheshimiwa Makamba akaona ni sehemu ya 'kutokea', akaona ni nafasi ya kuchukulia ujiko kwa bosi wake. Akaamua kuingilia kati akimhusisha waziri wa mambo ya nje wa Kenya. Hakujua kwamba ameikera ofisi iliyomteua na kumwapisha kiasi cha mwenye ofisi kuwapigia simu wahusika akimshangaa waziri wa mambo ya nje kwa namna alivyoingilia suala lenye kutakiwa kumalizwa katika ngazi za chini.
Kingine kilichomkera SSH ni kuona kwamba hilo ni suala la wizara ya uchukuzi na mawasiliano na hapakuwa na haja ya wizara ya mambo ya nje kutumia nguvu kubwa kwenye utatuzi.
Tatizo la mheshimiwa ni kujiweka katika haiba ya urais akidhani anasubiri tu muda ufike aapishwe pale ikulu. Anaishi na tatizo hili akilini mwake na hajijui kuwa analo.
Wazungu wanasema ' never outshine your master'.
Daah mmeanza sasa kujidai nyie zaidi ama?
Hakuna rais kati ya sita walioongoza Tanzania tangu uhuru ambaye awamu yake inashangiliwa akiwa bado yupo ikulu...mabilionea wako wangapi nchini kwetu?
..kuna muda tunapaswa kuacha ubinafsi, na kuwafikiria na kuwatetea wenzetu wanaotaabika kutokana na uongozi mbovu wa Maza na Ccm.
NI sisi tunaolalamika mapato hayatoshi na kulaumu rais. Tumuache atumie ubunifu wake wote aliojaaliwa na Mungu...kukimbilia kuchimba madini kila mahali, hata maeneo nyeti kama Serengeti, ni dalili za watawala kuishiwa mbinu za kuleta maendeleo.