Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
13 mara 50,000 = 650,000 yaani hii ungempatia mzazi wako MUNGU angekubariki sana.Kutongoza ni kupoteza muda na kutumia nguvu bila sababu za msingi, mimi nikiona mwanamke mzuri namwita kwa heshima, namwambia umependeza, unamwonekano mzuri utasikia Asante, hapo naingia mfukoni nampa hata elfu 50 na business card.
Kati ya mabinti 13 niliofanya hivi nimetembea na 11.
Mkono mtupu Haulambwi.
Bwana wee, mtu anasema oh jamaa anatumia hela kula malaya au kuhonga mbususu. Jamani sii starehe yake. Mbona watu wanaenda samaki wanamwaga million kwenye pombe au mtu anaenda ramada analipa buku 70 kwa buffet. Kila mtu na starehe yake bwana.Mawazo ya kimasikini haya, haya ni matumizi ya hela pia...
Pesa ndio matumizi yake namba moja hayo, kula mbususu. Mihangaiko yote ya mwanaume lengo ni moja tuu, kile kitobo basi. Utataka watoto basi kile kitobo kinahusika. Ili kupata kile kitobo lazima ukawapoze wazee wa mmiliki kitobo. So bottom line ni kwamba matumizi makubwa ya oesa ni kupata uteleziKweli Pesa kwa wengine imekosa matumizi [emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣🤣Hela yangu inavyoniumaga naweza weweseka mwaka mzima
Kwani mkiliwa huwa mnasema basiWacha wee Mbona kwenye kidaftari cha kumbukumbu sijaona aliyenikula kwa staili hiyo[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Ya Tanzania my wangu50,000 ya Zimbabwe au ya Tz??
Hajasema anataka mapenzi. Yeye anataka kukukula tu. Akajoe asepe"Usitumie pesa kama fimbo baba, mapenzi yanataka maelewano, hapo ndipo pesa huwa na thamani"