Usitongoze mwanamke, fanya hivi utakuja kunishukuru

Usitongoze mwanamke, fanya hivi utakuja kunishukuru

Bana gari pia Ni uchawi

Namkumbuka nikiwa mji wa sumbawanga nilikuwa natumia gari ya ofc mji mzima ule. Hauna mademu wakali San ila wale wachache nimewachakata sna kwa kutumia hyo wakijuwa jamaa anazo pesa bas kumbe nalipwa laki sita tu

Nilimchakta demu mkali San
 
Unayekutana nae mchana na kumpa 50k na hiyo business card, wengine wanakutana nae usiku, wanampata kwa 5000/=. Acha Kila mmoja aenjoy kwa methods zake
Kama kuna mwanaume ambaye anatomber pisi kali kwa jumla ya gharama ya buku tano na aje hapa mbele mie nimpe laki
 
Bana gari pia Ni uchawi

Namkumbuka nikiwa mji wa sumbawanga nilikuwa natumia gari ya ofc mji mzima ule. Hauna mademu wakali San ila wale wachache nimewachakata sna kwa kutumia hyo wakijuwa jamaa anazo pesa bas kumbe nalipwa laki sita tu

Nilimchakta demu mkali San
NiniFaida ya Kula Mademu na kuwaacha wakaenda zao kwa gharama ?
Naona Humu wengi hawajui Faida na Dhamira ya Sex.
Humaoni kuwa munapoteza Mbegu Bora., Pengine mungelikuwa munaitwa Baba bado mungaliVijana na kuweka thamani ya Sex una wa kuoa umpendae na kujenga famila?
 
Kutongoza ni kupoteza muda na kutumia nguvu bila sababu za msingi, mimi nikiona mwanamke mzuri namwita kwa heshima, namwambia umependeza, unamwonekano mzuri utasikia Asante, hapo naingia mfukoni nampa hata elfu 50 na business card.

Kati ya mabinti 13 niliofanya hivi nimetembea na 11.

Mkono mtupu Haulambwi.
Waturudishe kulekule, nasi pia tunazipenda fedha zetu, zina mengi ya kufanya sio kuwapa tu , for what niwape? Anayestahili fedha yangu ni mama na mke wangu
 
Mkuu labda unachukuwa wanawake matakataka,,
Ukikuta mwanamke mwenye utimamu wa akili na maadili humpati ng'ooo.

Kuna rafiki yangu alilipa bill ya mrembo ShopRite mlimani city,

Jamaa alilipa 250,000 hivi bill ya shopping..
Kwa style kama hiyo ya kuchukuwa namba za simu za mrembo..

Tulikutana na mrembo yule kwenye foleni ya kulipa.
Jamaa akamsifia Sana mrembo,
Akamuomba cashier achanganye bill pamoja na yake..

Baada ya malipo jamaa aliomba namba,
Akapewa kwabinde Sana,,

Baada ya siku kadhaa jamaa alipoona hatafutwi,
jamaa akampigia yule mrembo simu,

Imepita miezi kadhaa sasa mrembo hapokei simu hadi leo..

Ukisema uchawi wa mwanamke ni gari hapo 80% nakubaliana na wewe..
Wanaume wenye magari walio wengi wanabebwa na magari yao lakini hawana mbinu zozote mbadala..
Wanawake wengi ni malimbukeni wa magari,
akikutana mwanamke ambaye siyo limbukeni wa gari anapata shida Sana kumpata.,

Mwanamke akiona gari ni Sawa na mbwa na chatu.
Sasa kama huna gari utambeba wapi akikubali? Nimezungumza hivyo nikimaanisha hiyo 50 ni zawadi tu ya kuambatanisha kwenye salamu.
 
Kutongoza ni kupoteza muda na kutumia nguvu bila sababu za msingi, mimi nikiona mwanamke mzuri namwita kwa heshima, namwambia umependeza, unamwonekano mzuri utasikia Asante, hapo naingia mfukoni nampa hata elfu 50 na business card.

Kati ya mabinti 13 niliofanya hivi nimetembea na 11.

Mkono mtupu Haulambwi.
Mimi nikimnunulia demu supu na bia mbili bac roho inaniuma wiki nzima.
 
Mimi demu hapa jf akinifata tu Pm akanipa namba yake ya sim namtumia elfu 20 kwa mpesa
 
Back
Top Bottom