Predux
Member
- May 31, 2022
- 84
- 251
Tubaki na malaya wetu wa buku jerohhhhMbona hao malaya wana gharama hvy jamani, yani 50k malaya mmoja.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tubaki na malaya wetu wa buku jerohhhhMbona hao malaya wana gharama hvy jamani, yani 50k malaya mmoja.?
Sasa wewe unanunuwa mbunye halafu unakuja kujisifu huku?Kutongoza ni kupoteza muda na kutumia nguvu bila sababu za msingi, mimi nikiona mwanamke mzuri namwita kwa heshima, namwambia umependeza, unamwonekano mzuri utasikia Asante, hapo naingia mfukoni nampa hata elfu 50 na business card.
Kati ya mabinti 13 niliofanya hivi nimetembea na 11.
Mkono mtupu Haulambwi.
Endelea kutafuta ma bikra.Nilidhani unazungumzia mwanamke kumbe kahaba! hongera zako
Rudi shule ukajifunze vyema lugha kabla ya kutoa maoni.Sasa wewe unanunuwa mbunye halafu unakuja kujisifu huku?
Wewe unanunuwa kwa 50k wakati wenzako wananunuwa kwa 20k sasa hapo nani wa kufundishwa maujanja?
Labda nikufundishe tu wakati tupo kwenye foolish age kama yako ukimeet na mtoto mkari unatowa dola mia na kumuandikia namba zako za simu kwenye ile dola mia, halafu ndio unamwambia call me.
Hizo business card nanibanataka huo uchafu? Tsh 20,000/= unatengeneza hizo mia moja hata kama huna kazi wala biashara.
Tena yule mwenye shape unayopendaTafuta pesa na uishi maisha mazuri, uwe je au me lazima utapata mwenza.
Weka dau ule.Duuuuhhh... Kumbe mm bado npo nyuma, mpka leo hii natongoza, naambiwa ngoja nkufikilie,,,,, inaisha ivo
Usikute wewe ni miongoni mwa 11 walioliwa.Nikikutana na wewe hela yako nachukua nakupa na matumaini ya kukutafuta,hapo utasubiri simu yangu mpaka Yesu arudi!!!
Wacha wee Mbona kwenye kidaftari cha kumbukumbu sijaona aliyenikula kwa staili hiyo🤔🤔🤔🤔Usikute wewe ni miongoni mwa 11 walioliwa.
Aliyekwambia nimetowa maoni nani pimbi wewe, fact siyo maoni watch ur ass.Rudi shule ukajifunze vyema lugha kabla ya kutoa maoni.
Kwani kutongoza ni nn, inawezekana mleta mada hauna uelewa mpana juu ya kutongoza; ninavyojua kutongoza ni ni art ambayo inafanywa kuweka ukaribu kati ya mwanaume na mwanamke and verse versa kwa maana ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi.Kutongoza ni kupoteza muda na kutumia nguvu bila sababu za msingi, mimi nikiona mwanamke mzuri namwita kwa heshima, namwambia umependeza, unamwonekano mzuri utasikia Asante, hapo naingia mfukoni nampa hata elfu 50 na business card.
Kati ya mabinti 13 niliofanya hivi nimetembea na 11.
Mkono mtupu Haulambwi.
Msalimie mama yakoAliyekwambia nimetowa maoni nani pimbi wewe, fact siyo maoni watch ur ass.
Nashauri EWURA ya mapenzi ianzishwe kwa ajili ya kudhibiti bei ya kuhonga.Kweli naona ni Bei elekezi kbsa Hii