Usitongoze mwanamke, fanya hivi utakuja kunishukuru

Usitongoze mwanamke, fanya hivi utakuja kunishukuru

50,000×13= 650,000/= Bado hujamnunulia chipsi kuku, nauli, lodge😏
Tupe hesabu zako za kwa mwaka unatumia sh. Ngapi kununua dada poa

At the same time kama unafamilia unakuta ndani Kuna kilo 5 za Michele in short stoo haisomeki.

Mdogo wako anekufatia Hana mbele Wala nyuma hata mtaji wa biashara Hana😏 (basi utajifanya last born🤣)

Alafu unakuta nyumbani kwao Kule kwa baba na mama hakuna hata tiles na Wanalima small scale agriculture.

Maisha mengine ni ubatili mtupu sura ikikushuka unaanza jiona ulivyo nyani wahedi.
Badili Uzi toa mwanamke andika dada poa.
Nipo lunch eeeh nawasubiri wale wa tafuta Hela, Hela my foot
 
Kutongoza ni kupoteza muda na kutumia nguvu bila sababu za msingi, mimi nikiona mwanamke mzuri namwita kwa heshima, namwambia umependeza, unamwonekano mzuri utasikia Asante, hapo naingia mfukoni nampa hata elfu 50 na business card.

Kati ya mabinti 13 niliofanya hivi nimetembea na 11.

Mkono mtupu Haulambwi.

Unaelewaje maana ya kutongoza? Maana hapo tayari umemtongoza
 
Sasa kama huna gari utambeba wapi akikubali? Nimezungumza hivyo nikimaanisha hiyo 50 ni zawadi tu ya kuambatanisha kwenye salamu.
Mwanamke mwenye kujielewa humpati kwa mtego huo.

Hizo ni mbinu za Pimbi.
 
Kweli bwana gari ndio kila kitu....maana kwa hii bodaboda tuu nawala hivi je ukiwa na range rover sii utakuwa unawakwepa
Kuna siku niliweka status ya gari kwenye whtsap status yangu,

Nikaandika .
ALHAMDULILAH.

nilipata simu za kuomba kuonana na kuwapa offer kutoka kwa warembo kadhaa.

Hakika gari ndy uchawi wa mwanamke,
Na ukiwa na gari hutumii nguvu nyingi kuwagegeda wanawake.

ukiwa na pesa bila gari utatumia nguvu nyingi Sana.
 
Kutongoza ni kupoteza muda na kutumia nguvu bila sababu za msingi, mimi nikiona mwanamke mzuri namwita kwa heshima, namwambia umependeza, unamwonekano mzuri utasikia Asante, hapo naingia mfukoni nampa hata elfu 50 na business card.

Kati ya mabinti 13 niliofanya hivi nimetembea na 11.

Mkono mtupu Haulambwi.
Ukiwa na hela wala hutoi hela, wanavutiwa na wewe automatically!
 
Kuna siku niliweka status ya gari kwenye whtsap status yangu,

Nikaandika .
ALHAMDULILAH.

nilipata simu za kuomba kuonana na kuwapa offer kutoka kwa warembo kadhaa.

Hakika gari ndy uchawi wa mwanamke,
Na ukiwa na gari hutumii nguvu nyingi kuwagegeda wanawake.

ukiwa na pesa bila gari utatumia nguvu nyingi Sana.
Kumbe ndio ujanja wenyewe...ngoja nikipata tu ndalama nitanunua na kuweka status alafu nione inakuwaje. Nitaleta mrejesho
 
50,000×13= 650,000/= Bado hujamnunulia chipsi kuku, nauli, lodge😏
Tupe hesabu zako za kwa mwaka unatumia sh. Ngapi kununua dada poa

At the same time kama unafamilia unakuta ndani Kuna kilo 5 za Michele in short stoo haisomeki.

Mdogo wako anekufatia Hana mbele Wala nyuma hata mtaji wa biashara Hana😏 (basi utajifanya last born🤣)

Alafu unakuta nyumbani kwao Kule kwa baba na mama hakuna hata tiles na Wanalima small scale agriculture.

Maisha mengine ni ubatili mtupu sura ikikushuka unaanza jiona ulivyo nyani wahedi.
Badili Uzi toa mwanamke andika dada poa.
Nipo lunch eeeh nawasubiri wale wa tafuta Hela, Hela my foot
Tafuta hela mkuu, acha kulalamika mtoto wa kiume.
 
Bana gari pia Ni uchawi

Namkumbuka nikiwa mji wa sumbawanga nilikuwa natumia gari ya ofc mji mzima ule. Hauna mademu wakali San ila wale wachache nimewachakata sna kwa kutumia hyo wakijuwa jamaa anazo pesa bas kumbe nalipwa laki sita tu

Nilimchakta demu mkali San
Bila shaka umepita na Irene pia😂
 
Unapatikana mitaa gani na mie nipite hapo leo maana nmeulambia kweli leo najua siwez kosa elfu hamisin business card nitatupa mbele ya safari.
 
Ndio Bei Elekezi kwa sasa km Jina lako,Kuwa makini Usikute unakutana na machangudoa!
 
Back
Top Bottom