Usitumie hii mbinu kwenye mapenzi utakuja kufa!

Sikuhizi nalipia delivery sina mambo ya kukabana na mtu nakula tunamalizana hapo hapo na uzuri wengi ninao kutana nao maelekezo ni hayo kula lipa tembea tusijuane sana ukihitaji tena siku ingine nichek kula lipa tembea

Nimeipenda hio mbwinu
Haya ndo maisha ya sasa hususani hapa Dar es salaam, ila kwa wageni wa jiji kina KENZY wanataka kugandana
 
Sawasawa bwana karungu yeye tumekusikia... Pole kwa masaibu yaliyokukuta ndugu
 
Umevuna ulichopanda mwanangu. Mshaambwa hasira hasara na hasira za mkizi tijira ya mvuvi. Mkizi wewe umepata mvuvi wacha akuvue vilivyo.
 
bila shaka we utakuwa msukuma maana ndo mnaongoza kwa ushamba chai na maparachichi wapi na wapi..😂
Huyo pasina shaka ni mnyakyusa ama muhehe usukumani hayo maparachichi ya ghrama kuliko supu yoyote unayoijua. huku parachichi dogo jero kubwa buku hadi buku jero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…