Usiwaamini sana marafiki wa ukubwani na ambao mmepotezana kipindi kirefu kisha kukutana tena

Aiseee kijana pombe sio sigara yani tukio lako wewe sisi ndio tushindwe kuwapa credit rafik zetu wa ukubwani kisa wewe???

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Baada ya mhudumu kutupa funguo hakuna na access tena, ila umeacha mlango wazi kwa nusu saa, hakika unamwonea jamaa, na huyo Mhudumu anaamini kabisa utamuwaza jamaa, ndo ujasiri alionao.
 
Ok, usikute kweli aisee ila eneo ilo tulikuwa watatu tu yeye,mimi na mhudumu WA iyo lodge,na naamini ni ngumu mhudumu kufanya wizi smart kama huo

Hakuna smart wowote kwenye huo wizi.
 
Watu wengine,wana akili sijui zikoje. Lodge nzima,mwizi ni mshikaji wako! We mwenyewe hujitambui. Ulikaa nae chumba kimoja ndo umtuhumu? Ulimuachia ufunguo akaingia? Kama hujafunga,unaanzaje kumlaumu! Bora aliekuibia angechukua zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…