Alichagua kuchukua kiasi tu na sio pesa yote ili nisigundue na kunihurumia Kwa sababu tunafanya kazi inayofanana,na alikuwa anajua Nina kiasi icho kwenye bag kupitia story story zetu,angekuwa mtu mwingine angechukua pesa zote,na vyumba vyetu vilikuwa vinatazamana na nilitoka Kwa muda WA nusu chumbani kwangu Kwa muda WA nusu saa na nilisahau kufunga mlango nahisi alikuja kunicheck na hakunikuta ivyo akapata kishawishi cha kufungua bag langu maana baada ya kuchukua pesa alirudishia zingine kama alivyozikuta na aliogopa kuchukua zote maana ningegundua mapema na kama angekuwa mwizi aliyetoka mbali angechukua zote na kutokomea , maana ilo eneo tulikuwa watu watatu tu mimi,mhudumu WA lodge na uyo jamaa yangu na baada ya mhudumu kutupa room tu hakuwa na access ya kuingia tena