Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Kubanjuliwa wanabanjuliwa sawa tu, wanywao na wasiokunywa.Soma uzi vizuri
jaggermaster ndo kitu gani?Hahah unatumia jaggermaster!?
Mimi ni mdau mzuri wa kinywaji barikiwa.Umewahi date na mlevi!? Kama bado jaribu uone
unaona kuna neno master apo? acha ushamba kijana
Hahaha sawaMimi ni mdau mzuri wa kinywaji barikiwa.
Yaani binti mwenye tabia zake nzuri hawezi kunywa mpaka ashindwe kujielewa akabanjuliwa bila kujitambua.
Mkuu hiyo ni tabia ya mtu, pombe inakupa ile confidence tu ila sio ndio inakuelekeza ufanye kitu kipya maishani mwako.
Kuna siku nilienda kijiwe kipya kula vyombo, nikakutana na wadau hata hatujuani. Wote ni wanaume tena niliowakuta yalikua majabali kwelikweli ila kilaji kilivyokolea kuna njema moja kumbe ni punga, likaanza kuonesha signs zake pale, kwahiyo sio pombe iliyomfanya vile ila ile ni tabia yake imejidhihirisha baada ya kupata confidence kashindwa kujificha.
huna tofauti na wale wahuni wanaojisifia kupiga ulabu kisawasawa ilhali wakinywa kvant ndogo tu wanaanza kujikojolea na kuwa kituko. focus tu na uji mkuuSijakariri maneno na wewe usikaze fuvu
Njoo tiny we Basi 😋Nakunywa gongo mimi
Unatumia pia au? Staki msabato mimiNjoo tiny we Basi 😋
Njoo na konyagi 😋Unatumia pia au? Staki msabato mimi
Ngoja nije 😹🙏tutoe stressNjoo na konyagi 😋
Utanipa pia? 🤔Ngoja nije 😹🙏tutoe stress
Mwanamke mlevi ni JANGA....Habarini za weeknd wana JF
Mimi swali langu ni moja tu kuna uhusiano gani kati ya unywaji pombe na umalaya au uchepukaji wa wanawake walio kwenye mahusiano ?
Yaani kama demu wako au mke wako anatumia pombe umeliwa mkuu we jua tu unagongewa vya kutosha wahuni wanamuinamisha vya kutosha niamini mimi
Mwanamke yeyote anayetumia pombe hadi kulewa kujikojolea au ku seize hana aibu kabisa anaweza hata kukutongoza mchana kweupe au kupitia mshkaji wako wa karibu mi huu ushenzi nimeshuhudia mara 3 wanawake wa bar, saloon na mama ntilie mmoja mlevi wa konyagi nilishangaa sana ila nilivyofanya uchunguzi nikagundua utumiaji wao wa pombe ndo unaweza kusababisha haya yote
Wengine unakuta anatembea na kinguo chepesi kama sketi fupi za kisasa au wengine madera akienda bar au club akinunuliwa bia mbili tatu unaenda kumuinamisha chooni unajipigia tu
Kama kuna mtu anajua uhusiano wa ulevi na nyege kwa wanawake aniambie asee maana jinsi wanavyoinamishwa ni huzuni sana
#Usiwe na mahusiano ya kudumu na mwanamke mlevi utanishukuru baadae #
Una ufwala mwingi we jombiKumbe kuna muda zinachaji fresh tu
"......halafu pombe zikiisha kichwani hakumbuki chochote" Ha ha ha ha haCHAPOMBE wa kike akishalewa chakari hatongozwi, ni kumshika mkono tu na kumuongoza kwenda machinjioni.
Chapombe akikolea anatinduliwa na yeyote, popote na muda wowote maana hana aibu!
Halafu pombe zikiisha kichwani hakumbuki chochote