Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka uoe kwann usioe una shida gani ?Wengine kataa ndoa mkuu hiyo labda kwa waliooa!
Baadae waanze kutusumbua oh kwa nini wanaume hawaoi single maza aua 30+Kila mtu aishi venye anataka
😹😹Tutakuja tuBaadae waanze kutusumbua oh kwa nini wanaume hawaoi single maza aua 30+
Amani bila ndoa? Kwamba ndoa Haina amani ?Nataka niishi kwa amani mkuu hivyo lazima niwe kataa ndoa
Habarini za weeknd wana JF
Mimi swali langu ni moja tu kuna uhusiano gani kati ya unywaji pombe na umalaya au uchepukaji wa wanawake walio kwenye mahusiano ?
Yaani kama demu wako au mke wako anatumia pombe umeliwa mkuu we jua tu unagongewa vya kutosha wahuni wanamuinamisha vya kutosha niamini mimi
Mwanamke yeyote anayetumia pombe hadi kulewa kujikojolea au ku seize hana aibu kabisa anaweza hata kukutongoza mchana kweupe au kupitia mshkaji wako wa karibu mi huu ushenzi nimeshuhudia mara 3 wanawake wa bar, saloon na mama ntilie mmoja mlevi wa konyagi nilishangaa sana ila nilivyofanya uchunguzi nikagundua utumiaji wao wa pombe ndo unaweza kusababisha haya yote
Wengine unakuta anatembea na kinguo chepesi kama sketi fupi za kisasa au wengine madera akienda bar au club akinunuliwa bia mbili tatu unaenda kumuinamisha chooni unajipigia tu
Kama kuna mtu anajua uhusiano wa ulevi na nyege kwa wanawake aniambie asee maana jinsi wanavyoinamishwa ni huzuni sana
#Usiwe na mahusiano ya kudumu na mwanamke mlevi utanishukuru baadae #
Hujalala mpk sasa?
Sikubaliani naweNdio haina
Kwani nikioa naoa kwa sababu ya mtu ama mzazi? Naoa kwa faida yangu mimi na mke wanguUsiwe na fikra za 1925 mkuu hii ni 2025 look around you
Sihitaji pole nataka uoe!Daaah pole sana bro pole sana
Kenya Development Budget of sh 4,791,772,950,556.28