Usiyoyajua kuhusu Daraja la Tanzanite. Kongole Rais Samia!

Yaani kumekuwa na foleni ya hatarii
Duh...naona kila mtu anataka kupita huko
Acha wapite walizoee wakichoka watarudi la zamani,tanzanite wataendelea kutumia kwa wanao kwenda obay,masaki

Ova
 
Kura yetu kama mwanachama wa Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa na ushawishi wa kisiasa na kidiplomasia Afrika imetupatia hilo daraja toka Korea Kusini. ( Ban Ki Moon kuweza pata nafasi ya ukatibu mkuu UN)

Hapa nguli Jakaya alicheza na diplomasia kuleta manufaa ya kiuchumi kwa nchi. Shukrani kwake.

Hongereni JPM na SAMiA kwa kusimamia ujenzi mpaka kuisha kwake.
 
Tulia mtoto wa kiume, wivu wa namna hiyo utaishia kubanduliwa!! Usijesema sikukwambia, wanaJF mashahidi
 
Kati ya hayo 10 ni la ngapi hili
 
Tazara bado panahitaji kuboreshwa Mandela Road bado ina foleni ya kutisha
 
Akafie mbali, ameligawa Taifa vipande vipande. Na katuachia umaskini kwa kukopa hela nyingi na kujenga kiwanja cha ndege chato na kununua ndege zisizo zalisha. Ametuachia majanga.
Pia wewe utakufa fala wewe sijui mfanyiwe nini malalamiko kila sku mtoto wakiume au unataka bolo yang??!!
 
Akili zako.fupi mno , unahisi korea , Japan na World Bank wametoa pesa bure ? Ndio maana bado tunatawaliwa kamamboleo , bado tuna mabogasi mengi sana
wewe ndio zimekaa kwenye makalio, nimemjibu mwenzako aliyesema ni pesa za Mwendazake ndio ana akili km zako za Chato?
TANROAD kuwajengea uwanja wa Ndege na traffic lights ndio mmeona mmeula, pesa si zetu NI ufadhili hata km ni deni
 
kwa akili zako kweli unaweza kwenda Chato kushangaa Kaburi au uwanja na taa za barabarani?
Mobutu alijenga Globetore Nani katika huko?
Mwendazake alishaipoteza Nchi hata daraja la Busisi linaishia kwa wakwe ningekua Mimi miradi yake hiyo ningezima km alivyoisahau kusini na Gesi yake na korosho mpaka mnyooke haturudii tena kuwapa nafasi za juu
 
Barabara ya Ali Hassan Mwinyi Nyeupee

Tunaserereka tu.
 
Na siyo Selander ni Seylander. Ndio alikuwa anaitwa John Einer Seylander 'y'baada ya e. Na hakuwa director of public works bali social climber enzi hizo za ukoloni na siyo 1929 bali 2019.

Acha kutupiga fiksi wewee
Acha uongo

wewe ndio fixer mkubwa yangu lini Selander alikuwa mpanda milima?
 
Ulishawahi kuvuka busisi wakati kivuko kimoja kibovu kati ya hivyo vitatu ukaona foleni ya hao unaowaita wakwe wa mwendazake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…