Mwanamke wa kijita kuolewa ata mara 4 anaachika anaacha watoto anahamia kwingine anazaa anatoka anaenda kwingine anazaa hainaga shida kwao, mjita anaongea sana kuliko vitendo wana umbea mbea flani si mwanaume si mwanamke, silaha kubwa kwao uchawi, si wachapakazi kama mkurya, mkurya anapatikana vijiji vya serengeti, tarime, sirari kwenda hadi huko kehancha upande wa Kenya karue wakurya hawaishi rorya huko wapo wajaluowajita na wakurya wanatoka seheme moja lakini kuna utifauti mkubwa ya kitabia kati ya hao wawili
wakulia ni watu wa mabavu wana loss temper kirahisi, hasira zao ni mapigano, lakini wajita sio watu wa mabavu ingawa nao wana loss temper kirahisi lakini atumii nguvu labda atakuwekea kisasi
wajita ni wavivu wanafanya kazi mpaka awe na mood mjita analima kasehem kadogo alafu anajisifia mbaya 'asee leo nimelima bwana'.. lakin wakurya wanapiga kazi wanajituma sana na wanataka kuona matoke ya kazi
wajita wana nature ya upole upole, sio wakorofi mpaka uwatibue na ukiwatibua ata deal na kiakili so kinguvu ingawa anaweza akatua nguvu pia, wakurya kwenye upole hawapo kabisaaa.. wakitaka kitu lazima nguvu itumie yani 'nguvu fuso akili kisoda'
wajita wanapenda kuvaa asee, yani mjita anaweza kwenda kulima anapaka mafuta mkanda nje na pen kwenye mfuko wa shati, wakurya hawana hizo tabiaa za kuvaa na awawezi kupanga mavazi
hii najua jf naweza msihamini
wajita kwenye upande wa mapenzi wapo romantic sana wanajua kuplease na wana penda sex, wapo emotional sana awajamaa.. tofauti na wakurya mapenzi wanayachanganya na vita... yani vita ni vita muraaah
kwenye chakula wote wanakula chakula cha kufanana
mwisho kabisa, hayo makabila mawili watu wanayafananisha sana kwasaababu wote wanatoka sehemu moja lakini deep inside.. hawafanani hata kidogoo hususani kwenye tabia
Nawasalimu kwa jina baba mwenyezi alie mbinguni
Wakurya na wajita ni makabila yanayopatikana mkoa wa Mara, wajita wakipatikazana zaidi Bunda na majita
Wakati wakurya wanapatikana kwa wingi Rorya na Tarime
Makabila haya ni ya watu wanaojiheshimu na wastaarabu Sana Tena Sana tatizo la haya makabila hawataki kuonewa, kunyanyaswa au kudhurumiwa kitu chake hapo mtamalizana papo kwa papo kwa mbinu yeyote anaeijua yeye.
Ukioa mwanamke wa kijita au kikurya umepata mwanamke wa familia ni wavumilivu mno, Tena mno.
Makabila haya watu wake hawajui kuongea kwa kubembelezana wao kuongea kwao ni Kama amri ya Jeshi
Ukiwa mgeni katika mkoa wa Mara utajua namaanisha Nini.
Wanapenba kula ugali wa mtama uliochanganywa kwa unga wa muhogo (udaga) pamoja na samaki na nyama
Haya ndiyo niliyaona miaka 5 niliyoishi mkoa wa Mara
Mkuu, pia wengi huwa wanadhani Mara ni mkoa wenye makabila machache kumbe yapo mengi, huwa wanadhani mara ni mkoa wa watu wasio na elimu kumbe wapo wengi, pia wanadhani wakurya wapo wengi kumbe kiuhalisia ni kabila ambalo ni la watu ambao idadi yao haifikii hata wajitaNiwajuavyo WAJITA kwa sababu nimeishi nao muda mrefu...
SIFA CHANYA
1.Wajita si kabila kubwa sana, ila wengi wao ni wasomi kuliko Wakurya na makabila mengi ya Kanda ya Ziwa (ukiondoa Wahaya na Wakerewe). Hasa levels za certificates,diploma, bachelor & masters' degree. Kule kwenye PhD ni wachache mno (mfano Prof.Biswalo,yule mtaalamu wa Psychology).
Walio wengi wamejazana kwenye Ualimu,Afya,majeshi, na kazi nyingine za elimu ya kawaida.
2.Wanapenda maendeleo na hushindana sana kutafuta maendeleo.Na akiyapatia maisha hanaga kujificha,lazima mtajua tu kuwa Bwire mambo yake sasa ni safi ile mbaya.
3.Ni moja ya makabila nadhifu kandokando ya Ziwa Victoria. Wanapenda kuvaa sana.Kuna mdau huko juu βkasema si ajabu kumuona Mjita anaenda shambani kulima ila amechomekea,miwani juu,na pen kwenye mfuko wa shati.Just imagine!
4.Ni wakarimu sana,na wana huruma kwa matatizo ya wengine.Ukiwa na tatizo anakusaidia.Ukiona hajakusaidia ujue hana.
5.Moja ya makabila around the interlucustrine yaliyo vizuri kwenye mapenzi na mambo ya ndoa.
6.Wanaomboleza kwenye misiba yao haooo!Kama unataka kuanzisha kikundi cha kukodisha cha waliaji kwenye misiba,watafute hawa.Usipompata Mjita basi option ya 2 mtafute Mjaluo.
Yaani Mjita anatoka kwake kwenda msibani macho makavu na story za kufa mtu njiani,ila akifika within 1 kilometer to the msiba area kilio atakachoangusha hapo ni balaa! "Mayaweee,Manyama weswe kagendelee..Uuwiii, π°ππ". Wanaliaga huku wanabwabwaja maneno kama yote yaani.
7.Wanapenda misosi ya asili sana.Hata kama umepika pilau lako siku ya Christmas au Eid,lazima na ugali wa muhogo umpikie. Wali sijui na pilau bila 'ubhusima' (ugali)? Hiyo siku mbona imekaa vibaya!
N.B:Utaamua kama hizo namba 6 & 7 ni sifa njema ama la.
SIFA ZAO HASI
1.Ni waongo waongo,wambeya, wachonganishi, na Wanapenda kufatilia maisha ya wengine:unakula nini,unavaa nini,n.k. Hawa wanajulikana kama 'Wazaramo wa Kanda ya Ziwa'. Lake Zone yote wanawagwaya wajita kwa mdomo.
Pamoja na kusoma kwao,kile kiingereza cha " Mind your own business " hawakukielewa hadi leo. And for your information, Cyprian Musiba is a Jita man.Anatoka Iramba,wilayani Bunda.
2.Pamoja na ukarimu walio nao,akikusaidia lazima akutangaze. Na pia akijua maisha unayoishi utakoma.Nadhani wanafaa sana kufanya kazi kwenye Media House.
3.Wanaoishi pembeni ya Ziwa Victoria huwa hawana mabafu,wao huenda kuoga ziwani tena uchi wakionekana na kila mtu.Margin unayotenga sehemu wanayoogea wanaume na wanawake ni ndogo sana.
Ukiwa mgeni Ujitani unaweza kudhani uko Miami beach au Bahamas 'mambele' huko.Yaani unamwona Irene aliyemtongoza akakukataa anaoga na kichupi in the open space tena mchana kweupe, na baadaye jirani kidogo unamwona,Nyamisi,dada yako wa tumbo moja anaoga chuchu zimesimama kama msumari na kisha anavua chupi yake anainama na kuinuka akiifua, huku akijua wewe kaka yake unamuona mubashara. Aiseee,maisha gani haya?...sisi makabila mengine tulikuwa tunafedheheka kwakweli.
4.Mengine wataendeleza wengine,maana namba 3 imenivuruga kichwa.
pia kenya wapo kuria east na kuria westMwanamke wa kijita kuolewa ata mara 4 anaachika anaacha watoto anahamia kwingine anazaa anatoka anaenda kwingine anazaa hainaga shida kwao, mjita anaongea sana kuliko vitendo wana umbea mbea flani si mwanaume si mwanamke, silaha kubwa kwao uchawi, si wachapakazi kama mkurya, mkurya anapatikana vijiji vya serengeti, tarime, sirari kwenda hadi huko kehancha upande wa Kenya @karue wakurya hawaishi rorya huko wapo wajaluo
Sio kweli Mara Kuna makabila matatu tu.WAKURYA,WAJITA na WALUO.Mara ina makabila zaidi ya 30.
Wewe ni mwenyeji huko Mara?Sio kweli Mara Kuna makabila matatu tu.WAKURYA,WAJITA na WALUO.
wazanaki,waikizu,waikoma,wanata hizo Ni Koo ndogo za kikurya zilizomezwa na Ila majina yao ni mamoja.lakini kwa Kenya Kuna wakisii Hawa Ni wakurya waliomezwa.
Hivyo si vya kijinga mkuu?Mkurya hakuui kwa kitu cha kijinga ni either mke, pesa, ana kisasi....
Haswaa,mie mwana MaraWewe ni mwenyeji huko Mara?
Aiseeeee!!wajita wanapenda kuvaa asee, yani mjita anaweza kwenda kulima anapaka mafuta mkanda nje na pen kwenye mfuko wa shati, wakurya hawana hizo tabiaa za kuvaa na awawezi kupanga mavazi
hii najua jf naweza msihamini
wajita kwenye upande wa mapenzi wapo romantic sana wanajua kuplease na wana penda sex,
Inatokea, wakurya hawabagui watoto.Kuna habari moja nilisikia mkurya akitengana kwa muda na mke wake alafu huyo mke akakutana na mwanaume mwingine na wakazaa watoto ikitokea tena mkurya akarudiana na huyo mke wake basi anadai na hao watoto aliozaa huyo mwanamke na mwanaume yule wapili,je habari hii ni kweli?
Wajaluo sio kabila la kuandikwa hovyoππMkuu niandikie na wajaluo
Mjiita mjivuni pia,mhaya anasubiriππMjita ni mbishi aisee
Mkurya ni mbabe..
Hizo namba ni hatari
Umenikumbusha yule jaluo alikuwa DG nasacoWajaluo sio kabila la kuandikwa hovyoππ
Ila ni wasomi wabobezi hasa kwenye sheria. Wanapiga ngeli hao. Wanaingiliana sana na wakenya.
Wajaluo wamebarikiwa kwenye Art ya kutengeneza vitu vinavyohusiana na vyuma. Ni wafua vyuma wazuri sana. Wanajua kula na vipofu hao. Akiwa hana kazi anajua unaweza kumpa kazi au kumpa connection, anakuwa very calm, anaweza hata kuosha vyombo na kufua nguo nguo zakoπππ. Ukimpa hiyo kazi anaweza kuitumia kukudondosha wewe.
Tatizo sasa
Hawajali kuhusu watu wengine hasa wasiokuwa wajaluo. Ni wachoyo balaa na wakabila sana. Ukikutana na mwenye roho nyeusi ni wana roho mbaya hasa. Ukikaa nao wana matendo ya kustaajibisha balaa, tena wakati mwingine ni matendo ya kuudhi. Ukifanya kazi na mjaluo muda wote wa maisha yenu ujue atakuwa anawaza cheo chako. Wanapenda vyeo haoo, na wakipata vyeo huwa hawako fair.
MJALUO KUKUFUKUZISHA KAZI NI KITENDO CHA KUFUMBA MACHO NA KUFUMBUA.
Asili yao hawatupendi wabantu, na kuna jina ambalo huwa wanatuita wabantu.
Mambo ya kushangaza au kuchekesha Ujaluoniππππ
Wasichana waliovunja ungo huwa wanajengewa nyumba zao za nje. Ili iwe rahisi kujifanyia mambo yao. Hasa yale yaππ
Zamani kumkuta mjaluo na govi ni jambo la kawaida. Walikuwa wanatahiriwa neno.
Wako very fanπππ. Wana life style zao za kipekee.
USHIRIKINA.
Kwa kweli hawa miamba Teknolojia yao ya ushirikina ni tofauti sana. π π
Kuna mambo ukiambiwa huwezi kuamini, unaweza kujua ni chai ila ni kweli kabisa.
Kwa mfano,
Unaweza kutegwa sumu kwenye sahani mnayokula watu wengi, ila sumu ukaila peke yako.
Kutegwa sumu kwa njia ya macho ni kawaida sana. Yaani mtu anaweza kukuloga kwa kukuangalia tu.
Maiti kulia akatoa machozi Ujaluoni ni jambo la kawaida.
KWA KWELI MAMBO HASI KWA WAJALUO NI MENGI KULIKO CHANYA.
Wakurya na jamii nyingi za kifugaji na wakulima hawabagui watoto.Kuna habari moja nilisikia mkurya akitengana kwa muda na mke wake alafu huyo mke akakutana na mwanaume mwingine na wakazaa watoto ikitokea tena mkurya akarudiana na huyo mke wake basi anadai na hao watoto aliozaa huyo mwanamke na yule mwanaume wapili,je habari hii ni kweli?