Uchawi ni makabila yote.Uchawi wa kutafuta mali wachaga wameingia kwa kasi Sana siku hiziNa uchawi vipi..?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawi ni makabila yote.Uchawi wa kutafuta mali wachaga wameingia kwa kasi Sana siku hiziNa uchawi vipi..?
Umesahau kitu, Wajita wanapenda sana kuendekeza masuala ya kishirikina, tofauti na Wakurya.wajita na wakurya wanatoka seheme moja lakini kuna utifauti mkubwa ya kitabia kati ya hao wawili
wakulia ni watu wa mabavu wana loss temper kirahisi, hasira zao ni mapigano, lakini wajita sio watu wa mabavu ingawa nao wana loss temper kirahisi lakini atumii nguvu labda atakuwekea kisasi
wajita ni wavivu wanafanya kazi mpaka awe na mood mjita analima kasehem kadogo alafu anajisifia mbaya 'asee leo nimelima bwana'.. lakin wakurya wanapiga kazi wanajituma sana na wanataka kuona matoke ya kazi
wajita wana nature ya upole upole, sio wakorofi mpaka uwatibue na ukiwatibua ata deal na kiakili so kinguvu ingawa anaweza akatua nguvu pia, wakurya kwenye upole hawapo kabisaaa.. wakitaka kitu lazima nguvu itumie yani 'nguvu fuso akili kisoda'
wajita wanapenda kuvaa asee, yani mjita anaweza kwenda kulima anapaka mafuta mkanda nje na pen kwenye mfuko wa shati, wakurya hawana hizo tabiaa za kuvaa na awawezi kupanga mavazi
hii najua jf naweza msihamini
wajita kwenye upande wa mapenzi wapo romantic sana wanajua kuplease na wana penda sex, wapo emotional sana awajamaa.. tofauti na wakurya mapenzi wanayachanganya na vita... yani vita ni vita muraaah
kwenye chakula wote wanakula chakula cha kufanana
mwisho kabisa, hayo makabila mawili watu wanayafananisha sana kwasaababu wote wanatoka sehemu moja lakini deep inside.. hawafanani hata kidogoo hususani kwenye tabia
Kwenye uongeaji sawa (hususani wanawake). Lakini katika suala zima la ubaguzi, nakataa.Wajita wana midomo kwelikweli halafu wabaguzi sana
Wakurya kwa zipu na kupiga wanawake hawajambo.Rafiki yangu alifunga ndoa na mdogo wake ili apate uhamisho kwa kuonyesha cheti Cha ndoa.Hii ilikuwa mwaka 1985 wakati dada yake ambaye alikuwa mwalimu alitembelea akiwa ameng'oka meno kwa kipigo na mumewe ambao walikuwa bado kufunga ndoa. Bwana huyu alikuwa akimpiga kwa kushindwa kumpa pesa ya kunywea pombe baada ya kupokea mshaharaNawasalimu kwa jina baba mwenyezi alie mbinguni
Wakurya na wajita ni makabila yanayopatikana mkoa wa Mara, wajita wakipatikazana zaidi Bunda na majita
Wakati wakurya wanapatikana kwa wingi Rorya na Tarime
Makabila haya ni ya watu wanaojiheshimu na wastaarabu Sana Tena Sana tatizo la haya makabila hawataki kuonewa, kunyanyaswa au kudhurumiwa kitu chake hapo mtamalizana papo kwa papo kwa mbinu yeyote anaeijua yeye.
Ukioa mwanamke wa kijita au kikurya umepata mwanamke wa familia ni wavumilivu mno, Tena mno.
Makabila haya watu wake hawajui kuongea kwa kubembelezana wao kuongea kwao ni Kama amri ya Jeshi
Ukiwa mgeni katika mkoa wa Mara utajua namaanisha Nini.
Wanapenba kula ugali wa mtama uliochanganywa kwa unga wa muhogo (udaga) pamoja na samaki na nyama
Haya ndiyo niliyaona miaka 5 niliyoishi mkoa wa Mara
Huyu mwongo kabisa, kama hujaishi Musoma usichonge sana. Wazanaki hawasikilizani kabisa na Wakurya labda kidogo na Waikizu na Washashi na kwa mbali Wakabhwa. Wajita wanasikiliza na na Waruli na Wakwaya , Wakerewe na Wakara. Wakurya wanasikilizana na Wasimbiti, Wanata, Waikenye, Wailegi na jamii hiyo. Makabila yote hayo yana mfanano mmoja: hawataki dharau.Wewe ni mwenyeji huko Mara?
(1) Wajaluo wanapenda uchawi sana.Wajaluo sio kabila la kuandikwa hovyo[emoji23][emoji23]
Ila ni wasomi wabobezi hasa kwenye sheria. Wanapiga ngeli hao. Wanaingiliana sana na wakenya.
Wajaluo wamebarikiwa kwenye Art ya kutengeneza vitu vinavyohusiana na vyuma. Ni wafua vyuma wazuri sana. Wanajua kula na vipofu hao. Akiwa hana kazi anajua unaweza kumpa kazi au kumpa connection, anakuwa very calm, anaweza hata kuosha vyombo na kufua nguo nguo zako[emoji23][emoji23][emoji23]. Ukimpa hiyo kazi anaweza kuitumia kukudondosha wewe.
Tatizo sasa
Hawajali kuhusu watu wengine hasa wasiokuwa wajaluo. Ni wachoyo balaa na wakabila sana. Ukikutana na mwenye roho nyeusi ni wana roho mbaya hasa. Ukikaa nao wana matendo ya kustaajibisha balaa, tena wakati mwingine ni matendo ya kuudhi. Ukifanya kazi na mjaluo muda wote wa maisha yenu ujue atakuwa anawaza cheo chako. Wanapenda vyeo haoo, na wakipata vyeo huwa hawako fair.
MJALUO KUKUFUKUZISHA KAZI NI KITENDO CHA KUFUMBA MACHO NA KUFUMBUA.
Asili yao hawatupendi wabantu, na kuna jina ambalo huwa wanatuita wabantu.
Mambo ya kushangaza au kuchekesha Ujaluoni[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wasichana waliovunja ungo huwa wanajengewa nyumba zao za nje. Ili iwe rahisi kujifanyia mambo yao. Hasa yale ya[emoji7][emoji7]
Zamani kumkuta mjaluo na govi ni jambo la kawaida. Walikuwa wanatahiriwa neno.
Wako very fan[emoji23][emoji23][emoji23]. Wana life style zao za kipekee.
USHIRIKINA.
Kwa kweli hawa miamba Teknolojia yao ya ushirikina ni tofauti sana. [emoji28][emoji28]
Kuna mambo ukiambiwa huwezi kuamini, unaweza kujua ni chai ila ni kweli kabisa.
Kwa mfano,
Unaweza kutegwa sumu kwenye sahani mnayokula watu wengi, ila sumu ukaila peke yako.
Kutegwa sumu kwa njia ya macho ni kawaida sana. Yaani mtu anaweza kukuloga kwa kukuangalia tu.
Maiti kulia akatoa machozi Ujaluoni ni jambo la kawaida.
KWA KWELI MAMBO HASI KWA WAJALUO NI MENGI KULIKO CHANYA.
Huyo mkaruka ni mtu wa mara siyo wewe, mara uko sehemu gani.Haswaa,mie mwana Mara
Alaf nampango wa kufanya hvyo nioe mjita na mm ni mhayahaha mjita ni maskini jeuri... maringo na kujidai kweli atofautiani na muhaya kabisa, sasa sijui mtija akizaa na muhaya huyo mtoto atakuaje 😂😂😂
Navyowafahamu wajita hawana kuteta. Labda hao si wajita original. Wajita wanakupa ukweli. Hawapendi kupindisha. Si wajita tu makabila mengi ya Mara. Ila wanao penda kuteta ni Waruli na wakwaya. Hawa wanakitabia hicho.
Na Waruli wananguvu za kichawi. Wajita na wakurya wako strong. Wajita wamegawanyika asili yao ikiwa ni kutoka Ethiopia. Walipo fika Musoma wakachanganyikana na makabila ya hapo, kama wakwaya hivyo wakiongea unatakiwa kuwa makini sana unaweza dhani ni kitu kimoja.
Wazalamo wa kanda ya ziwa. Alaf hamjui kutumia tasfida yan mtaan nilikuwa nawaona wakiongea neno linatoka kama lilivyo kama ni k*m# inatamkwa hvyo hvyoMimi ni mjita pure kabisa Toka Kisolya BUNDA.
Nyongeza.
1-Hakuna uhusiano wa kitabia Kati yetu na wakurya.
2-Katika Kabila letu hakuna msamiati wa R
Maneno yote hakuna R. Yaani Penye R sisi huweka L mfano wa maneno au Majina.
Lyagenda, lyasubha, Malima, Mbwila, Kalibhata, tegelesha, n.k hatuna R. Hata aliyesema Musiba anatoka Iramba Yuko Sawa Ila kakosea matamshi hicho kijiji kinaitwa Kwilamba na wengine huita Bhulamba. Siyo Iramba hiyo ni kwa Mwigulu Chemba huko.
3.Kabila letu ndo Kiboko ya Mawifi, yaani ukioa Mjita lazima Dada zako washike Adabu hakuna kuja home na kuleta tabia za kijinga jinga na kujipangia tu mambo wanavyotaka wao eti kisa wako kwa Kaka Yao NO.. wanapaswa Kutulia tuli.
4.Moja ya Mambo ambayo ni kipaumbele kwetu ni SEX.. Siyo ME Wala KE Tunapenda Sex kuliko kitu chochote.. asilimia Kubwa zaidi ya 85% Ya wanaume wa Kijita Wana uwezo wa Kumlidhisha mwanamke wa Aina yoyote akaEnjoy Sex to the maximum level, na wanawake wa Kijita zaidi ya 90% wana uwezo wa Kumlidhisha mwanamme, siyo Magogo Kitandani huenda ziwani kwenye mchanga Wakiwa wadogo na kufundishwa kukata viuno Tena BINTI huwekewa Sindano chini usawa wa kiuno.. akishuka tu anachomwa Hivyo kwa bed wako Vizuri..
5.Wanaume ni Watafutaji maana wanapenda Kula vizuri, wanawake ni Wavumilivu, Lakini wanawake huanza kwanza kumtingisha kidogo mwanamme na kuona msimamo wako, Ukilegea tu Anakukalia, Anakutawala Ila Ukionesha msimamo wa Kiume, ni wanyenyekevu na Wajenga miji.
6_Ubishi tunaongoza japo Tofauti yetu na waha sisi tuna uwezo mkubwa Wa kujenga hoja, Tunabisha kwa Logic.. Useng'enyaji na Majungu hatujambo..
Hao asili yao ni mkoa wa Manyara na ArushaMnata na Mkurya wapi na wapi mkuu?
Halafu wataturu kwa mfano inakuwa ni koo ya kabila gani? Nalo ni moja ya kabila liko Mara.
😳😅😅😅⁉️Mademu wa kikurya wanachura hatare
kwaiyo unapenda sifa sana ama ?ukifanya hivyo uyo mtoto utakayepata ndo mimi huyo
😂😂😂
Utakuwa hauna akili timamu wewe
Sio bure
tabia ya mtu mmoja unai generalize kabila zima?
Mbuzi kweli wewe!
Kwa hiyo tabia za wamachame ni tabia za wachaga wote?
Tabia za wasabato ni tabia za wakristo wote?
Tabia za washiha ni tabia za waislamu wote?
Kenge wewe!
Ukiamua ku trace asili halisi utakuta hata tunaweza kuikuta hii nchi iko empty😂😂Hao asili yao ni mkoa wa Manyara na Arusha
Ona hii ndezi nayo!! Unaona fahal gani kuandika uongo we pimbiUkitaka kuishi kwa raha kwenye ndoa yako kaa mbali na hili kabila LA wakurya waache waoane wenyewe kwa wenyewe watawezana. Hili kabila LA wakurya wanapenda sana na kuabudu matambiko na ushirikina. Mambo ya ukatili na kulogana kwao ni kawaida hawana hofu ya Mungu ukitamka habari za wokovu kwao ni kama unatangaza vita. Ni wapenda Shari hawajui neno samahani kila kitu kwao ni amri tu. Mila zao ni kama zakuita mashetani .mfano MTU wao akifa Leo wakishazika kesho asubuhi sana wanadamkia makaburini kwenda kupiga ukunga kumuamsha marehemu. Hivi nani kawadanganya kwamba marehemu anaamshwa? Huko sindio kuamsha roho za mauti watu waendelee kufa? Na ndio maana unakuta ukoo mmoja kila siku misiba haiishi kwasababu ya kutembea na roho za mauti .maandiko yanasema msitake kujua habari za waliolala. Hili kabila linahitaji wokovu kwa hali na Mali.