Mimi ni mjita pure kabisa Toka Kisolya BUNDA.
Nyongeza.
1-Hakuna uhusiano wa kitabia Kati yetu na wakurya.
2-Katika Kabila letu hakuna msamiati wa R
Maneno yote hakuna R. Yaani Penye R sisi huweka L mfano wa maneno au Majina.
Lyagenda, lyasubha, Malima, Mbwila, Kalibhata, tegelesha, n.k hatuna R. Hata aliyesema Musiba anatoka Iramba Yuko Sawa Ila kakosea matamshi hicho kijiji kinaitwa Kwilamba na wengine huita Bhulamba. Siyo Iramba hiyo ni kwa Mwigulu Chemba huko.
3.Kabila letu ndo Kiboko ya Mawifi, yaani ukioa Mjita lazima Dada zako washike Adabu hakuna kuja home na kuleta tabia za kijinga jinga na kujipangia tu mambo wanavyotaka wao eti kisa wako kwa Kaka Yao NO.. wanapaswa Kutulia tuli.
4.Moja ya Mambo ambayo ni kipaumbele kwetu ni SEX.. Siyo ME Wala KE Tunapenda Sex kuliko kitu chochote.. asilimia Kubwa zaidi ya 85% Ya wanaume wa Kijita Wana uwezo wa Kumlidhisha mwanamke wa Aina yoyote akaEnjoy Sex to the maximum level, na wanawake wa Kijita zaidi ya 90% wana uwezo wa Kumlidhisha mwanamme, siyo Magogo Kitandani huenda ziwani kwenye mchanga Wakiwa wadogo na kufundishwa kukata viuno Tena BINTI huwekewa Sindano chini usawa wa kiuno.. akishuka tu anachomwa Hivyo kwa bed wako Vizuri..
5.Wanaume ni Watafutaji maana wanapenda Kula vizuri, wanawake ni Wavumilivu, Lakini wanawake huanza kwanza kumtingisha kidogo mwanamme na kuona msimamo wako, Ukilegea tu Anakukalia, Anakutawala Ila Ukionesha msimamo wa Kiume, ni wanyenyekevu na Wajenga miji.
6_Ubishi tunaongoza japo Tofauti yetu na waha sisi tuna uwezo mkubwa Wa kujenga hoja, Tunabisha kwa Logic.. Useng'enyaji na Majungu hatujambo..