Usiyoyajua kuhusu Makabila ya Wajita na Wakurya

Kabila maaruf ndo tatizo wengne wanaongea kwa kuskiliza2 maneno ya kweny vijiwe vya kahawa
Shida sio umaarufu, hii inatokana na namna ilivyo kuwa ikifanyika. Kumbuka wakati wa binti kwenda kukeketwa huwa inapigwa bonge la sherehe
 
Wajaluo wana uwezo mkubwa sana, wewe utakuwa na wivu tu na wajaluo, hawapendi ujinga tu, hasa wa wizi wa ng'ombe.
Ndiyo, Wajaluo wana uwezo mkubwa sana kwenye hayo niliyoyataja (hususani uchawi).

Tupo pamoja mkuu, Wajaluo wanauwezo mkubwa kwenye mambo yenye kuleta taflani ktk taasisi au jamii.
 
Unaijua wilaya ya Serengeti?!
 
Isee wewe jamaa unasema hawana hofu ya Mungu na hapohapo unaonyesha wewe usivyo na hiyo hofu ya Mungu kwa kudai wakurya wanapenda kulogana?!
Wakurya na kulogana!!!
Ni kabila gani lina mila ambazo siyo za kuita mashetani?! Hebu taja kabila hilo na mila zao .......
 
Hapo Na.2 umekosea.

Kwiramba ni Kwiramba, hakuna kwilamba! Kuna Kwiramba, na ilikuwa inaitwa Iramba kama ilivyokuwa Singida. Hata shule ya Sekondari Kwiramba, iliwahi kuitwa Iramba na baadae pia Mwiruruma. Hiyo Kwiramba yenye R na siyo L kama ulivyosema ni kata inayounda vijiji vya Isanju (Kwisanju), Sikiro, Mwiruruma na Mugara( haya majina yote ya vijiji yana R na siyo L). R Wajita wanayo!

Pia, Kwiramba haijawahi kuitwa Bhulamba! Bulamba ni Kijiji kilichokuwa kata ya Butimba, kikipakana na Kijiji cha Buzimbwe kama unaelekea Bunda mjini kutoka uko kwenu Kisorya( ambayo wewe umeandika kimakosa kama kisolya(Kuna R na siyo L). Utasikia enija chisoria (siyo chisolia).

Hivyo unavyosema Wajita hawana R wana L siyo kweli. Wao wanazo zote yaani R na L. Kitu ambacho hawana ni H! Atakwambia Apana, ataki, aendi, anywi. Kwao H, ama hudondoka.
 
Niliwahi kukutana na mmissionari mmoja 'anachonga' kuwa wabongo hatuna neno wala tabia ya ku-beg tunasema tu 'give me....' blah blah blah. Nilichogundua ni kuwa hakuwa anakijua kiswahili kwa kiasi alichodhani kuwa anakijua! Nilipomuuliza kama anajua maana na tofauti ya maneno 'nipe' na 'naomba'....alibaki kung'aa macho na pua yake ndefu!
Sasa na wewe mkuu; unajua maana ya maneno ' tanyabhera', 'tantuuria', 'nkhogosabha' au mkurya akikuambia 'nkhogosasama-nde?!
Kujua na kuyaelewa makabila ya wengine siyo rahisi kama mnavyojidanganya.
 
Katika makabila hayana uchawi ni hili..huo uchawi unaufanya wapi wakati jamaa ugomvi nje nje, uwalogee ndugu yao waje wakuchomee ndani ya nyumba, na mifugo yako waikate kate.
Yaani huyo jamaa amenishangaza sana kwa uongo wake uliopindukia mipaka!!!
Anajidanganya kuwa anawajua wakurya
 

Unaongea vitu usivyovijua na pole sana
Wakurya na ushirikina ni vitu viwili tofaut
Hakuna mkurya mchawi hata mmoja dunia nzima
Wewe unaongelea matambiko ya wazee ndo unachanganya na uchawi hivyo ni vitu tifaut
Tambiko ziko kabila zote
 
Hata ubishe vipi, wakurya ni katili. Nani kawapeleka jeshini, Kanda maalum kule rorya nani kapeleka na kwanini
Isee wewe ni wa wapi?! Kwa hiyo dunia nzima nchi zisizo na wakurya hazina majeshi au?! Kuwa jeshini ni ukatili au ujasiri?!
Hivi kuuwa vitoto kichawi ni ukatili au upole?! Kumroga binadamu mwenzako ni ukatili au kinyume chake?! Nchi ya bongo makabila karibu yote ni 'matakatifu' lakini ukatili na roho mbaya vimetamalaki kila kona.....na hiyo ni kwa sababu ya wakurya🤣🤣🤣 .....uongo?!
 

Mkuu jibu na hoja ya kanda maalum ya Rorya imefuta nini? BTW Mtu jasiri ndio anaweza kufanya ukatili Note hilo. Halafu unasema wakurya ni Jasiri, ni wajasiri kwa lipi???

Mimi sijakaa huko Rorya nimekaa Dar es salaam Sehemu moja inaitwa Kitunda. Huko kuna wakurya nadhani ni Nusu ya walioko huko Dar nawajua Vyema. Mkurya hana Dogo ni katili balaa na kulipiz Visasi ndio usiseme. Ww ishi jirani na Mkurya ndio utajua shida yake mara 100 kelele za mhaya
 
Mkuu jifunze kusoma na kuelewa....hakuna sehemu nimeandika kuwa 'wakurya ni wajasiri'
Unamaanisha nijadili kanda maalumu Dar es Salaam?! Naona umekaririshwa Rorya....huko kuna wakurya lakini siyo wengi kihivyo....unadhani kuwa kwa kukaa Kitunda utawaelewa kwa usahihi wakurya?!
 
We huwajui wajita mkuu.

Huwezi kufananisha wajita na wakurya kitabia.
Wakurya ni watu hawanaga mambo za kiboya. Wajita 99% mambo ya kikekike sana.
Ukiangalia comenti za wadau humu utagundua kuwa wajita tabiabza hovyo tupu.
Kwa hiyo tabia za wakurya za ukatili wa kutoana ngeu, kuuana bila sababu za maana, wizi wa mifugo na kutahili wanawake ndio nzuri? Kwanza wakurya ndio wamefanya mkoa wote wa Mara kuwa na sifa mbaya kwa sababu ya mambo ya ki-primitive wanayoyafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…