USM Alger Bingwa Kombe la Shirikisho

USM Alger Bingwa Kombe la Shirikisho

Kombe ni moja, lazima lichukuliwe na timu moja, kama si Yanga ni USM Algiers. So usihangaike. Na timu zote zimepewa fursa ya kucheza nyumbani na ugenini.

Sisi kama waTz tunaiombea Yanga itumie fursa vizuri. Kama walivyokwisha kufanya huko nyuma hadi kufika final. Mengine yako ni UCHAWI TU.
Sema wewe peke yako usiwasemee watz wote.
 
Tunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.

Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.


View attachment 2628102
Nikiwaza matokeo ya Simba vs Wydad basi naona kati ya yanga na usm yeyote anabeba ndoo
 
Tunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.

Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.


View attachment 2628102
Basi sawa ndio mpira
 
Tunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.

Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.


View attachment 2628102
Unajipa kazi bure ya kuwatisha UTO.
Kwa uwezo, ari , umoja walionao na sapoti kutoka gavmenti, Yanga imeshahama huko kwenye kuwaogopa Waarabu.
 
Yanga wanastahili kwa asilimia 96 msimu huu kulibeba hilo kombe la Africa.
USM Alger nilivyo waangalia kwa umakini hawana stamina ya kuifunga Yanga.
Alger ni Marumo iliyochangamka kidogo.
 
Tunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.

Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.


View attachment 2628102
Sisi tuko bize na maandalizi ya fainali wewe uko unapiga ramli tu; tutakujibu tukimaliza fainali.
 
Tunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.

Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.


View attachment 2628102
🚮
 
Tunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.

Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.


View attachment 2628102
Kama USM Alger akibeba kombe mbele ya Yanga nipigwe ban ya miezi mitatu siku 90
 
First Leg.
YANGA 4-1 USM ALGERS

Second leg.

USM ALGERS 2-1 YANGA

MAGOLI YA YANGA.
MAYELE [emoji460]️[emoji460]️
AZIZI KI [emoji460]️
MORRISON [emoji460]️
MUSONDA [emoji460]️

YANGA anabeba huu UBINGWA.

Kama huu UBINGWA hautokuja TZ najiondoa NAWEKA PICHA ZANGU HALISI HUMU NDANI.
Kidogo nisituke.Nikajua utaweka picha zako za Utupu humu jukwaani
 
Kombe ni moja, lazima lichukuliwe na timu moja, kama si Yanga ni USM Algiers. So usihangaike. Na timu zote zimepewa fursa ya kucheza nyumbani na ugenini.

Sisi kama waTz tunaiombea Yanga itumie fursa vizuri. Kama walivyokwisha kufanya huko nyuma hadi kufika final. Mengine yako ni UCHAWI TU.
Mimi mtanzania lakini siiombei yanga ichukue kombe
 
Back
Top Bottom