KAGAMEE
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 4,457
- 5,454
HahaaYote yamesimama
Hii yanaliaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaYote yamesimama
Hii yanaliaa
Sema wewe peke yako usiwasemee watz wote.Kombe ni moja, lazima lichukuliwe na timu moja, kama si Yanga ni USM Algiers. So usihangaike. Na timu zote zimepewa fursa ya kucheza nyumbani na ugenini.
Sisi kama waTz tunaiombea Yanga itumie fursa vizuri. Kama walivyokwisha kufanya huko nyuma hadi kufika final. Mengine yako ni UCHAWI TU.
Nikiwaza matokeo ya Simba vs Wydad basi naona kati ya yanga na usm yeyote anabeba ndooTunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.
Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.
View attachment 2628102
Sawa m Algeria.Sema wewe peke yako usiwasemee watz wote.
Mkuu c tumekubakiana we ni ke sasa huku kwenye mpira vpMawawa mawewe mawowo mawiwi mawuwu
Mkuu c tumekubakiana we ni ke sasa huku kwenye mpira vp
Hakuna cha penalty Hawa wanapigwa nje ndani tunza hii commentTunachukua kwa penati sisi kama yanga kumbuka hii comment
Basi sawa ndio mpiraTunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.
Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.
View attachment 2628102
Unajipa kazi bure ya kuwatisha UTO.Tunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.
Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.
View attachment 2628102
Sisi tuko bize na maandalizi ya fainali wewe uko unapiga ramli tu; tutakujibu tukimaliza fainali.Tunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.
Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.
View attachment 2628102
🚮Tunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.
Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.
View attachment 2628102
Kama USM Alger akibeba kombe mbele ya Yanga nipigwe ban ya miezi mitatu siku 90Tunawapongeza Yanga kwa hatua hii mliofikia hakika ni kubwa sana kwenu na kwa nchi kwa ujumla.
Kwa mazingira ya mechi yalivyo USM ni bingwa. Najua mtapinga ila huo ndio ukweli hata nyie mnajua, na ndio maana mmeshaanza kuhangaika kwa waganga ili wawasaidie mmeshachelewa.
View attachment 2628102
Ban miei mitatu ndio nini? 😃😃Kama USM Alger akibeba kombe mbele ya Yanga nipigwe ban ya miezi mitatu siku 90
Usikasirike mkuu maisha mtu hawezi kupangiwa jfTusipangiane maisha mkuu. Kwani Ke hana haki ya kushabikia mpira?
Kidogo nisituke.Nikajua utaweka picha zako za Utupu humu jukwaaniFirst Leg.
YANGA 4-1 USM ALGERS
Second leg.
USM ALGERS 2-1 YANGA
MAGOLI YA YANGA.
MAYELE [emoji460]️[emoji460]️
AZIZI KI [emoji460]️
MORRISON [emoji460]️
MUSONDA [emoji460]️
YANGA anabeba huu UBINGWA.
Kama huu UBINGWA hautokuja TZ najiondoa NAWEKA PICHA ZANGU HALISI HUMU NDANI.
Kama TP Mazembe vile alipigwa nje ndani!Hakuna cha penalty Hawa wanapigwa nje ndani tunza hii comment
Yanga itasumbua Sana soka la africa kuwa miaka mingi Sana ijayo!!.
Mimi mtanzania lakini siiombei yanga ichukue kombeKombe ni moja, lazima lichukuliwe na timu moja, kama si Yanga ni USM Algiers. So usihangaike. Na timu zote zimepewa fursa ya kucheza nyumbani na ugenini.
Sisi kama waTz tunaiombea Yanga itumie fursa vizuri. Kama walivyokwisha kufanya huko nyuma hadi kufika final. Mengine yako ni UCHAWI TU.