cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namba zinaonesha ni dhahili YANGA anachukua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namba zinaonesha ni dhahili YANGA anachukua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunachukua kwa penati sisi kama yanga kumbuka hii comment
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]First Leg.
YANGA 4-1 USM ALGERS
Second leg.
USM ALGERS 2-1 YANGA
MAGOLI YA YANGA.
MAYELE [emoji460]️[emoji460]️
AZIZI KI [emoji460]️
MORRISON [emoji460]️
MUSONDA [emoji460]️
YANGA anabeba huu UBINGWA.
Kama huu UBINGWA hautokuja TZ najiondoa NAWEKA PICHA ZANGU HALISI HUMU NDANI.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakutafutaaaa sanaaa mbna huonekaniii jamviniii?? Vipii kwemaaaaa?[emoji706]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njooo usemee tenaaaHakuna cha penalty Hawa wanapigwa nje ndani tunza hii comment
Yanga itasumbua Sana soka la africa kuwa miaka mingi Sana ijayo!!.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haswaaaaaaaaYanga wanastahili kwa asilimia 96 msimu huu kulibeba hilo kombe la Africa.
USM Alger nilivyo waangalia kwa umakini hawana stamina ya kuifunga Yanga.
Alger ni Marumo iliyochangamka kidogo.
Bado yuko sahihi USM Alger atapigika 2-0, tunza huu ujumbe tukiomba heri ya uzima.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haswaaaaaaaa
Hebuuu njoo utoe maneno kidogooo
Amkaaa wee ni mchanaa sahivi, utajikojoleaa buree [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bado yuko sahihi USM Alger atapigika 2-0, tunza huu ujumbe tukiomba heri ya uzima.
Bahati ya Ubingwa wa Yanga FC wa CAFCCL 2023 upo ugenini 03/06/2023.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app