Usomi wa Dkt. Rugemeleza Nshala (PhD Harvard Mikataba ya Kimataifa ya Biashara)haumpi uzito mkubwa kwenye suala DP-WORLD

Usomi wa Dkt. Rugemeleza Nshala (PhD Harvard Mikataba ya Kimataifa ya Biashara)haumpi uzito mkubwa kwenye suala DP-WORLD

Comte wakili ana hoja ni vzr hoja zake zijibiwe na sio kumjadili personally na achievement zake!! Haijalishi mafanikio yake yakoje kulingana na PhD yake. Kikubwa ana hoja na ajibiwe! NB: Jifunzeni au someni ili muweze kuwajibu wasomi msilete uccm kweny mamb ya msingi!!
Mkuu mimi hoja yangu iko kwa huyo aliyetueleza kwa nia ya kututisha kuwa Mh. Wakili ana PHD ya Havard na eneo la ubobezi ni miktaba ya kimataifa ya biashara. Mie nikatafuta machapisho maana wabobezi hupewa heshimazaidi siyo kwa kuwa na PHD bali kwa michango yao kwenye eneo la ubobezi kupitia machapisho. Nilichokikuta ni hiki:
Publications (3)

1. Local Communities and Wildlife Management Reform in Tanzania

Article (Jan 2008)Fred Nelson, Rugemeleza Nshala, Alan Rodgers

2. The Evolution and Reform of Tanzanian Wildlife Management

Article (Jan 2007) Fred Nelson, Rugemeleza Nshala , & W. A. Rodgers

3. Management of Natural Resources in Tanzania: Is the Public Trust Doctrine of Any Relevance?

Article Rugemeleza Nshala
Huyu ni mpiga kelele tu kama sisi wote
 
Sakata kuhusu mkataba wa DP World limevuta hisia na mijadala ya watu wengi sana makini. Huwezi ku "question" umahiri wa mtu katika taaluma yake, bali jikite katika vile vifungu ambavyo amevitilia mashaka.Mbona kuna watu wengi ikiwamo wanasheria wamejitokeza katika kujadili na kukosoa baadhi ya vipengele vilivyomo katika mkataba!? Watu hao ni wenye viwango na sifa tofauti za kielimu, kitaaluma, utaalamu, uzoefu na hata weledi pia. Wamo watu maarufu na wa kawaida pia.

Yaani hao wote wala huangaiki nao isipokuwa PhD na maandiko yake. Acha uvivu wa kufikiri wewe.
Mkuu sasa kwa nini mtutitshe na PHD ya Harvard katika mikataba ya biashara ya kimataifa? Mtu wenu huyu mue na mahaba naye ila ni mweupe
 
Dr Nshala ni Practising Advocate na siyo Full Time Academic, kiasi cha kusema akaguliwe machapisho.

Utafanya vyema kutuonesha Consultations za kibiashara, Arbitrations na Investment Contracts alizozifanya kama Practicising Advocate. Maana hivi ndivyo vigezo ambavyo vinatumika kwenye tasnia ya sheria. Hatuangalii uzoefu wa mtu kwa machapisho peke yake, bali pia kazi alizozifanya.

Ndiyo maana kuna wanasheria wakubwa hapa Tanzania wana shahada za kwanza (L.L.B) na pili (L.L.M), lakini ni BARRISTERS wenye uzoefu mkubwa kwenye INTERNATIONAL COMMERCIAL ARBITRATION kuliko hata wanazuoni wa pale UDSM. Ukiangalia kanzi-data ya wanasheria wa IMMMA, REX, BOWMANS nk huwezi kukuta PhD au machapisho peke yake, bali hata CONSULTATIONS, ARBITRATIONS, LITIGATION and DRAFTINGS ambazo zimefanywa na mwanasheria husika.

Sasa bwana comte utatenda haki kama utatuletea wasifu mzima wa Dr Nshala....​
 
Dr Nshala ni Practising Advocate na siyo Full Time Academic, kiasi cha kusema akaguliwe machapisho.
Labda niulize wewe mwenzangu comte una machapisho mangapi kwenye sheria za uwekezaji ?
Mkuu alitaka PHD ya nini kama mchango wake kwenye eneo lake la ubobezi ni ZERO. Pili miye sijamsikia akijitapa na PHD ya mikataba ya biashara ya kimataifa- hoja yangu iko kwa huyo aliyempa hicho kivumishi- alitaka kututisha kwamba mhusika ni AUTHORITY?
 
Kwahiyo utahira wa mwijaku, Kitenge, Zembwela na ajuza wa jf @FaizaFoxy ndio unawapa kiherehere kutueleza upuuzi huo?
Mkuu yaani hao ni afadhali maana hawajaja na kivumishi kuwa wana PHD ya Havard katika mikataba ya biashara ya kimataifa
 
Mkuu alitaka PHD ya nini kama mchango wake kwenye eneo lake la ubobezi ni ZERO. Pili miye sijamsikia akijitapa na PHD ya mikataba ya biashara ya kimataifa- hoja yangu iko kwa huyo aliyempa hicho kivumishi- alitaka kututisha kwamba mhusika ni AUTHORITY?
Lengo la kusoma PhD ya sheria ni nini bwana comte ?
 


sijaona machapisho yoyote ya Dr. kwenye eneo lake la ubobezi yaani Mikataba ya Kimataifa ya Biashara badala yake ana machapisho matatu (3) mawali akiwa ameshirikiana na wenzake na moja peke yake. Machapisho yake yote yako nje ya eneo lake la ubobezi

Publications (3)

Local Communities and Wildlife Management Reform in Tanzania

Article (Jan 2008)Fred Nelson, Rugemeleza Nshala, Alan Rodgers

The Evolution and Reform of Tanzanian Wildlife Management

Article (Jan 2007) Fred Nelson, Rugemeleza Nshala , & W. A. Rodgers

Management of Natural Resources in Tanzania: Is the Public Trust Doctrine of Any Relevance?

Article Rugemeleza Nshala

Kwangu PHD ya Dkt. Rugemeleza Nshalla ni ya kutishai watu kwenye baa tu.
Hivi ndugu, unafikiri katika chapisho ulilolitaja, "Management of Natural Resources in Tanzania, is the Public Trust Doctrine of any Relevance?" hiyo " Public Trust Doctrine " ni " local doctrine" ya hapa Tanzania au ya nje? Je uliwahi jifunza katika usomi wako kuhusu dhana ya dunia ya siku hizi kuhusu utandawazi inayoshauri "Think global but act local"? Hayo machapisho uliyoyataja yanamchanganuo gani ambao unaonesha hayana weledi?
 
Dr Nshala ni Practising Advocate na siyo Full Time Academic, kiasi cha kusema akaguliwe machapisho.
Utafanya vyema kutuonesha Consultations za kibiashara, Arbitrations na Investment Contracts alizozifanya kama Practicising Advocate. Maana hivi ndivyo vigezo ambavyo vinatumika kwenye tasnia ya sheria. Hatuangalii uzoefu wa mtu kwa machapisho peke yake, bali pia kazi alizozifanya.

Ndiyo maana kuna wanasheria wakubwa hapa Tanzania wana shahada za kwanza (L.L.B) na pili (L.L.M), lakini ni BARRISTERS wenye uzoefu mkubwa kwenye INTERNATIONAL COMMERCIAL ARBITRATION kuliko hata wanazuoni wa pale UDSM. Ukiangalia kanzi-data ya wanasheria wa EMMMA, REX, nk huwezi kukuta PhD au machapisho, bali CONSULTATIONS, ARBITRATIONS, LITIGATION and DRAFTINGS ambazo zimefanywa na mwanasheria husika.

Sasa bwana comte utatenda haki kama utatuletea wasifu mzima wa Dr Nshala....​
Mkuu nakuelewa, je ilikuwa ni lazima na umuhimu gani wa kutwambia ana PHD ya Havard katika mikatba ya biashara ya kimataifa? mlitaka kututisha? Ndiyo maana tukataka kujua how does he apply that massive knowledge? Tukapata jibu zero
 
Lengo la kusoma PhD ya sheria ni nini bwana comte ?

Rugemeleza Nshala's scientific contributions. Na contribution zake ndo hizi:​

Publications (3)

Local Communities and Wildlife Management Reform in Tanzania

Article (Jan 2008)Fred Nelson, Rugemeleza Nshala, Alan Rodgers

The Evolution and Reform of Tanzanian Wildlife Management

Article (Jan 2007) Fred Nelson, Rugemeleza Nshala , & W. A. Rodgers

Management of Natural Resources in Tanzania: Is the Public Trust Doctrine of Any Relevance?

Article Rugemeleza Nshala
 
Mkuu nakuelewa, je ilikuwa ni lazima na umuhimu gani wa kutwambia ana PHD ya Havard katika mikatba ya biashara ya kimataifa? mlitaka kututisha? Ndiyo maana tukataka kujua how does he apply that massive knowledge? Tukapata jibu zero
Mkuu Comte, nimeuliza swali rahisi mno hujajibu.
Lengo la kusoma PhD ni nini haswa ?
 

Rugemeleza Nshala's scientific contributions. Na contribution zake ndo hizi:​

Publications (3)

Local Communities and Wildlife Management Reform in Tanzania

Article (Jan 2008)Fred Nelson, Rugemeleza Nshala, Alan Rodgers

The Evolution and Reform of Tanzanian Wildlife Management

Article (Jan 2007) Fred Nelson, Rugemeleza Nshala , & W. A. Rodgers

Management of Natural Resources in Tanzania: Is the Public Trust Doctrine of Any Relevance?

Article Rugemeleza Nshala
Regemeleza Nshala is a Practising Advocate. Utatenda haki kama utaweka na Practising Resume yake.
Uzoefu wa kada ya sheria hauji pekee kupitia Research & Publications, hiyo ni kazi ya Jurists na Academics. Uzoefu huja pia kupitia Practice (Litigation, Consultation, Drafting, Arbitration). Ndiyo maana wakili aliyeanza kazi mwaka 2010 hawezi kuwa na uzoefu sawa na wakili aliyenza kazi mwaka 1990, hata kama huyo aliyeanza mwaka 2010 ana PhD tatu na kachapisha sana.

Sasa naomba unisaidie tuone kesi, ushauri gani na nyaraka za kisheria ambazo zimeandaliwa na Dr Rugemeleza Nshala ili nitoe huku yangu. Hayo mengine tutakuwa tunafanya siasa.​
 
Hivi ndugu, unafikiri katika chapisho ulilolitaja, "Management of Natural Resources in Tanzania, is the Public Trust Doctrine of any Relevance?" hiyo " Public Trust Doctrine " ni " local doctrine" ya hapa Tanzania au ya nje? Je uliwahi jifunza katika usomi wako kuhusu dhana ya dunia ya siku hizi kuhusu utandawazi inayoshauri "Think global but act local"? Hayo machapisho uliyoyataja yanamchanganuo gani ambao unaonesha hayana weledi?
Mkuu yana mchango ili siyo katika eneo lake la ubobezi, ambako kuna ombwe kubwa ndiyo maana hadi sasa hatujui ka IGA ni mkataba au maelewano kumbe tuna mtu ana PHD.
 
Mkuu Comte, nimeuliza swali rahisi mno hujajibu.
Lengo la kusoma PhD ni nini haswa ?
Lengo la kusoma PhD ya sheria ni nini bwana @comte ?

Rugemeleza Nshala's scientific contributions. Na contribution zake ndo hizi:​

Publications (3)

Local Communities and Wildlife Management Reform in Tanzania

Article (Jan 2008)Fred Nelson, Rugemeleza Nshala, Alan Rodgers

The Evolution and Reform of Tanzanian Wildlife Management

Article (Jan 2007) Fred Nelson, Rugemeleza Nshala , & W. A. Rodgers

Management of Natural Resources in Tanzania: Is the Public Trust Doctrine of Any Relevance?

Article Rugemeleza Nshala
 
Regemeleza Nshala is a Practising Advocate. Utatenda haki kama utaweka na Practising Resume yake.
Uzoefu wa kada ya sheria hauji pekee kupitia Research & Publications, hiyo ni kazi ya Jurists na Academics. Uzoefu huja pia kupitia Practice (Litigation, Consultation, Drafting, Arbitration). Ndiyo maana wakili aliyeanza kazi mwaka 2010 hawezi kuwa na uzoefu sawa na wakili aliyenza kazi mwaka 1990.​
Mkuu- focus yetu ni mikataba ya biashara ya kimataifa- michango yake siioni? kama unayo iweke hapa au mwambie atuwekee hapa.
 
CCM ni laana kwa Taifa hili, ipo siku hii nchi itaangamia kwa hii dhambi ya kuilea CCM iendelee kuitawala Nchi tukufu hii.
Mmeacha kujadili mnachishauriwa kuhusu Mikataba mibovu mpo busy kujadili watu badala ya hoja. Nyinyi tofauti yenu na shetani ni kwamba nyinyi tunawaona shetani yupo gizani.
 
Mkuu- focus yetu ni mikataba ya biashara ya kimataifa- michango yake siioni? kama unayo iweke hapa au mwambie atuwekee hapa.
Hebu ongea kama mtu aliyeenda shule bwana comte.
Kwani mikataba ya biashara ya kimataifa inataka wakili awe na machapisho mengi peke yake ?
 


sijaona machapisho yoyote ya Dr. kwenye eneo lake la ubobezi yaani Mikataba ya Kimataifa ya Biashara badala yake ana machapisho matatu (3) mawali akiwa ameshirikiana na wenzake na moja peke yake. Machapisho yake yote yako nje ya eneo lake la ubobezi

Publications (3)

Local Communities and Wildlife Management Reform in Tanzania

Article (Jan 2008)Fred Nelson, Rugemeleza Nshala, Alan Rodgers

The Evolution and Reform of Tanzanian Wildlife Management

Article (Jan 2007) Fred Nelson, Rugemeleza Nshala , & W. A. Rodgers

Management of Natural Resources in Tanzania: Is the Public Trust Doctrine of Any Relevance?

Article Rugemeleza Nshala

Kwangu PHD ya Dkt. Rugemeleza Nshalla ni ya kutishai watu kwenye baa tu.

Yale yale ya kina Steve Nyerere na Shehe Mwaipopo kudharau wasomi.

Sasa wewe ulitaka awe na publications ngapi!? Tatu kwa PhD is more than enough. More than that unless uwe academician au Researcher.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Mkuu umenena vyema- sasa huyu PHD ya Mikataba ya Kimataifa ya Biashara mbona hatuoni wapi ameutumia huo utalaam badala yake
Publications (3)

1. Local Communities and Wildlife Management Reform in Tanzania

Article (Jan 2008)Fred Nelson, Rugemeleza Nshala, Alan Rodgers

2. The Evolution and Reform of Tanzanian Wildlife Management

Article (Jan 2007) Fred Nelson, Rugemeleza Nshala , & W. A. Rodgers

3. Management of Natural Resources in Tanzania: Is the Public Trust Doctrine of Any Relevance?

Article Rugemeleza Nshala

Pamoja na kuwa simfahamu vizuri, lakini tofautisheni kati ya academics na practitioners. Huyo siyo academic kwahiyo CV yake haibebwi na machapisho bali kazi alizowahi shiriki...Na pia angalia vyeti vyake.

And tusiangalie nani anamtisha nani, tabia mbaya za mtu mweusi, angalieni hoja anazoziweka mezani. Mkianza hizi personal attacks mnapoteza focus na kuonekana mmeenda kwenye defensive side zaidi kuliko kujibu hoja
 
Kwani mikataba ya biashara ya kimataifa inataka wakili awe na machapisho mengi peke yake ?
Swali zuri sana...Badala waende kwenye CV yake waone amefanya kazi gani na zipi wanarudi kwenye academics...Huku bongo kuna kukosa maarifa kwingi sana, naafikiana na wale wanaosema watoto wetu wapelekwe nje wapate exposure ya kutosha. Wengi wa wasomi na practioners wetu wapo so confined kwenye local environment. Tunakuwa so myopic na watu wasioweza ku analyse wala ku articulate issues
 


sijaona machapisho yoyote ya Dr. kwenye eneo lake la ubobezi yaani Mikataba ya Kimataifa ya Biashara badala yake ana machapisho matatu (3) mawali akiwa ameshirikiana na wenzake na moja peke yake. Machapisho yake yote yako nje ya eneo lake la ubobezi

Publications (3)

Local Communities and Wildlife Management Reform in Tanzania

Article (Jan 2008)Fred Nelson, Rugemeleza Nshala, Alan Rodgers

The Evolution and Reform of Tanzanian Wildlife Management

Article (Jan 2007) Fred Nelson, Rugemeleza Nshala , & W. A. Rodgers

Management of Natural Resources in Tanzania: Is the Public Trust Doctrine of Any Relevance?

Article Rugemeleza Nshala

Kwangu PHD ya Dkt. Rugemeleza Nshalla ni ya kutishai watu kwenye baa tu.

Hata kama angekuwa na elimu ya kuungaunga kama yako maadam yuko upande wa wananchi yuko sahihi tu.
 
Back
Top Bottom