Usomi wa Dkt. Rugemeleza Nshala (PhD Harvard Mikataba ya Kimataifa ya Biashara)haumpi uzito mkubwa kwenye suala DP-WORLD

Usomi wa Dkt. Rugemeleza Nshala (PhD Harvard Mikataba ya Kimataifa ya Biashara)haumpi uzito mkubwa kwenye suala DP-WORLD

Mkuu, CCM Apparatchik is facing a crisis of relative decline. Wao wanaendelea kutumia mifumo ambayo iliundwa na Mzee Nyerere kuwathibiti raia wa Tanzania wa karne ya 20. Bahati mbaya sana CCM Apparatchik haijaweza kukua na kutengeneza mifumo ya kuwathibiti Millenials (Cohorts of Gen Y and Z) kizazi ambacho kina ulimwengi kiganjani.

Millenials wamekuwa na ufahamu na maarifa makubwa kuliko CCM Apparatchik ambayo inadhani bado Tanzania ina raia wenye akili za kipindi cha Nyerere, Mwinyi na Mkapa wenye kupelekeshwa kama mifugo ya chama. Hili haliwezekani kabisa dunia hii ya leo, ambayo mtu anaweza kwenye mtandaoni na kuona nini kinafanyika huko duniani kote kuhusu hii mikataba ya uwekezaji.

Sasa bwana Comte ni moja ya watu wanaodhani kwamba watanzania wote ni wale vijana wa UVCCM ambao wao hufanya mambo kwa mbeleko (Average Joes). Kaja na propaganda za kitoto kutaka kuchafua watu, lakini nimeshukuru hata wewe umeweza kumpa maswali mazito kuhusu tasnia ya sheria hadi ameshindwa kujibu analazimisha kwamba Nshala ana machapisho machache.

Kuna wanasheria Tanzania nawafahamu wana Masters Degree (LLM), lakini ni Barristers na wamefanya Consultations, International Commercial Arbitrations, Drafting Legal Documents na Investment Litigations kuliko hata wasomi wetu wa Mlimani pale ambao siyo Full-Time-Practitioners.

This is the beginning of the end for CCM, kifaransa tunasema Fin de siècle..
Nakubaliana na wewe kwa mantiki ila na mimi ni CCM ujue kama ninaufahamu huu basi jua hata huku CCM wenye ufahamu na exposure wapo wengi. Tatizo kubwa ni ile generation generation X and baby boomers kushindwa kutambua alama za nyakati huku wakikumbatia watoto na wajukuu wao ambao ni lazy in thinking...wamezoezwa kubebwa na kufanyiwa kila jambo.

Nokuhakikishie sisi tupo imara na bila CCM hakuna nchi imara. Nikubali tu kwamba we need to reform and remove this old school wabakie kuwa washauri tu ila wastaafu na kuachia watu wenye substance waendeshe nchi
 
Wapo wengi wenye changamoto za aina hiyo, kuna wengine hata kutoa chapisho moja kwa mwaka la kuitetea PhD yake ni tatizo; inawezekana labda mazingira sio wezeshi.​
Ni kweli ingawa kajitahidi ingawa pia tafiti zake zote ni funded na wanaharakati - hivyo zilikuwa na maelekezo; yeye akaishia kupata hela na nchi ikabaki kulishwa matango pori
 
Mkuu, CCM Apparatchik is facing a crisis of relative decline. Wao wanaendelea kutumia mifumo ambayo iliundwa na Mzee Nyerere kuwathibiti raia wa Tanzania wa karne ya 20. Bahati mbaya sana CCM Apparatchik haijaweza kukua na kutengeneza mifumo ya kuwathibiti Millenials (Cohorts of Gen Y and Z) kizazi ambacho kina ulimwengi kiganjani.

Millenials wamekuwa na ufahamu na maarifa makubwa kuliko CCM Apparatchik ambayo inadhani bado Tanzania ina raia wenye akili za kipindi cha Nyerere, Mwinyi na Mkapa wenye kupelekeshwa kama mifugo ya chama. Hili haliwezekani kabisa dunia hii ya leo, ambayo mtu anaweza kwenye mtandaoni na kuona nini kinafanyika huko duniani kote kuhusu hii mikataba ya uwekezaji.

Sasa bwana Comte ni moja ya watu wanaodhani kwamba watanzania wote ni wale vijana wa UVCCM ambao wao hufanya mambo kwa mbeleko (Average Joes). Kaja na propaganda za kitoto kutaka kuchafua watu, lakini nimeshukuru hata wewe umeweza kumpa maswali mazito kuhusu tasnia ya sheria hadi ameshindwa kujibu analazimisha kwamba Nshala ana machapisho machache.

Kuna wanasheria Tanzania nawafahamu wana Masters Degree (LLM), lakini ni Barristers na wamefanya Consultations, International Commercial Arbitrations, Drafting Legal Documents na Investment Litigations kuliko hata wasomi wetu wa Mlimani pale ambao siyo Full-Time-Practitioners.

This is the beginning of the end for CCM, kifaransa tunasema Fin de siècle..
UTASUBIRI SANA kama tegemeo lenu ni PHD ZA AKINA HAVARD
 
UTASUBIRI SANA kama tegemeo lenu ni PHD ZA AKINA HAVARD
Simuombei mabaya Raisi Samia, lakini 2025 itakuwa mbali sana kwake.
Mtandao hausahau, tuombe Mungu atupe uzima tutarudi kwenye uzi.
 
Mkuu alitaka PHD ya nini kama mchango wake kwenye eneo lake la ubobezi ni ZERO. Pili miye sijamsikia akijitapa na PHD ya mikataba ya biashara ya kimataifa- hoja yangu iko kwa huyo aliyempa hicho kivumishi- alitaka kututisha kwamba mhusika ni AUTHORITY?
Mwigulu ana machapisho mangapi kwenye eneo la Uchumi mpaka mumemuamini kuwa Waziri wa fedha!
 
Kwahiyo huyo mlopokaji wa serikali ana authority kujadili huu mkataba?, Msukuma, Kibajaji,Zembwela kweli wewe ni mpuuzi.
Hoja yangu ni kuwa kwenye mikataba ya kimataifa ya biashara huyo uliye na mahaba naye ni mweupe hana authority kwa maana hana machapisho. Ukitaka umsikilize msikilize ila siyo kama mtu mwenye authoruty
 
Mkuu mimi hoja yangu iko kwa huyo aliyetueleza kwa nia ya kututisha kuwa Mh. Wakili ana PHD ya Havard na eneo la ubobezi ni miktaba ya kimataifa ya biashara. Mie nikatafuta machapisho maana wabobezi hupewa heshimazaidi siyo kwa kuwa na PHD bali kwa michango yao kwenye eneo la ubobezi kupitia machapisho. Nilichokikuta ni hiki:
Publications (3)

1. Local Communities and Wildlife Management Reform in Tanzania

Article (Jan 2008)Fred Nelson, Rugemeleza Nshala, Alan Rodgers

2. The Evolution and Reform of Tanzanian Wildlife Management

Article (Jan 2007) Fred Nelson, Rugemeleza Nshala , & W. A. Rodgers

3. Management of Natural Resources in Tanzania: Is the Public Trust Doctrine of Any Relevance?

Article Rugemeleza Nshala
Huyu ni mpiga kelele tu kama sisi wote
So according to those publications hastahili kukosoa jambo lenye ukakasi kwa maslah ya Taifa?
 
Uko sahihi, je ilikuwa ni lazima maoni ya huyo mtu yavumishwe na kivumishi cha Dr Rugemeleza Nshala (PhD Harvard Mikataba ya Kimataifa ya Biashara)? Huu ni ushamba tu
Kwani ni uwongo kuwa Dr Nshala ana PhD ya Havard?
 
Mkuu- focus yetu ni mikataba ya biashara ya kimataifa- michango yake siioni? kama unayo iweke hapa au mwambie atuwekee hapa.
Sio lazima uione wewe.acha kuchosha watu.
 
Nakubaliana na wewe kwa mantiki ila na mimi ni CCM ujue kama ninaufahamu huu basi jua hata huku CCM wenye ufahamu na exposure wapo wengi. Tatizo kubwa ni ile generation generation X and baby boomers kushindwa kutambua alama za nyakati huku wakikumbatia watoto na wajukuu wao ambao ni lazy in thinking...wamezoezwa kubebwa na kufanyiwa kila jambo.

Nokuhakikishie sisi tupo imara na bila CCM hakuna nchi imara. Nikubali tu kwamba we need to reform and remove this old school wabakie kuwa washauri tu ila wastaafu na kuachia watu wenye substance waendeshe nchi
Mkuu, wazazi wangu na baadhi ya wanafamilia yangu walikuwepo CCM muda mrefu, huku wengine wakiwa makada wakubwa kabisa. Hivyo nasema kitu ambacho binafsi nakiona. CCM haijajipanga kuweza kukabiliana na changamoto za ulimwengu wa karne ya 21. Ndiyo maana mambo ambayo kiuhalisia ni marahisi yanageuka kuwa mjadala wa kitaifa ambao umeleta mpasuko mkubwa.

Kiufupi ukitoa zile mbilinge za G-55 na Mauaji ya Zanzibar 2001 hakuna kipindi ambacho wananchi wamefikia hatua mbaya kama hiki. Siku hizi kuna mzanzibari na mtanganyika, muislamu na mkristo, mambo ambayo kiuhalisia CCM iliweza kuyathibiti kwa miaka zaidi ya 50. Ubaya unakuja hapa tu, mbali na katiba mpya wapinzani walikuwa hawana hoja kubwa tokea 2015. Ila kwasababu ya uzembe wa CCM hoja kubwa ambazo watazitumia kuelekea 2025 ni TANGANYIKA, DINI, UFISADI na KATIBA MPYA.

Kiuhalisia huwezi kuzungumzia Tanganyika na Zanzibar bila kuingiza suala la udini. Tanzania ukabila hatuna sana, ila dini ndiyo udhaifu wetu mkubwa. Mpaka sasa ukifuatilia kwa ukaribu watu wenye nia ovu wameshaanza kuleta minong'ono ya kidini. Hizi ajenda za TANGANYIKA, KATIBA MPYA, DINI na UFISADI unaofanywa na kiongozi mzanzibari kuuza mali za Tanganyika zikianza kutumika kama hoja za kampeni za kisiasa, huwezi kuwa tena na Tanzania moja.

Hili ukubali, ukatae, na CCM haijajipanga kukabiliana nalo kwasababu kiuhalisia tokea uhuru malalamiko yamekuwepo upande wa Zanzibar tu ambao walikuwa wanazimwa kwasababu ya udogo na uchache wao. Hili la Tanganyika ni la kipekee kidigo, na hatarishi kwa usalama wa nchi. Hivi unadhani watu wakitaka Tanganyika, Tanzania hiyo mnayoisema itakuwepo moja kweli ? Ndiyo maana nasema mpaka sasa kama CCM ilishindwa kuona mbali haya yanayotokea sasa itaweza kweli kuivusha nchi, au ndiyo yaleyale ya YUGOSLAVIA ?

Mazee, tuko mahali pabaya sana na mbali na kutumia nguvu ya dola, hakuna kiongozi mwenye mikono safi (Moral Authority) kuweza kuwaambia watanganyika wajadili huu mjadala wa bandari bila kuingiza hoja za kibaguzi kama UTANGANYIKA, UZANZIBARI, UISLAMU NA UKRISTO.

This is a new cloud in the horizon, a potential storm...
Sisi yetu macho na masikio...​
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kwahiyo huyo mlopokaji wa serikali ana authority kujadili huu mkataba?, Msukuma, Kibajaji,Zembwela kweli wewe ni mpuuzi.
Hawajawatisha watu na PHD za mapambo kama nyinyi mnavyojaribu kutisha watu
 
Mkuu, wazazi wangu na baadhi ya wanafamilia yangu walikuwepo CCM muda mrefu, huku wengine wakiwa makada wakubwa kabisa. Hivyo nasema kitu ambacho binafsi nakiona. CCM haijajipanga kuweza kukabiliana na changamoto za ulimwengu wa karne ya 21. Ndiyo maana mambo ambayo kiuhalisia ni marahisi yanageuka kuwa mjadala wa kitaifa ambao umeleta mpasuko mkubwa.

Kiufupi ukitoa zile mbilinge za G-55 na Mauaji ya Zanzibar 2001 hakuna kipindi ambacho wananchi wamefikia hatua mbaya kama hiki. Siku hizi kuna mzanzibari na mtanganyika, muislamu na mkristo, mambo ambayo kiuhalisia CCM iliweza kuyathibiti kwa miaka zaidi ya 50. Ubaya unakuja hapa tu, mbali na katiba mpya wapinzani walikuwa hawana hoja kubwa tokea 2015. Ila kwasababu ya uzembe wa CCM hoja kubwa ambazo watazitumia kuelekea 2025 ni TANGANYIKA, DINI, UFISADI na KATIBA MPYA.

Kiuhalisia huwezi kuzungumzia Tanganyika na Zanzibar bila kuingiza suala la udini. Tanzania ukabila hatuna sana, ila dini ndiyo udhaifu wetu mkubwa. Mpaka sasa ukifuatilia kwa ukaribu watu wenye nia ovu wameshaanza kuleta minong'ono ya kidini. Hizi ajenda za TANGANYIKA, KATIBA MPYA, DINI na UFISADI unaofanywa na kiongozi mzanzibari kuuza mali za Tanganyika zikianza kutumika kama hoja za kampeni za kisiasa, huwezi kuwa tena na Tanzania moja.

Hili ukubali, ukatae, na CCM haijajipanga kukabiliana nalo kwasababu kiuhalisia tokea uhuru malalamiko yamekuwepo upande wa Zanzibar tu ambao walikuwa wanazimwa kwasababu ya udogo na uchache wao. Hili la Tanganyika ni la kipekee kidigo, na hatarishi kwa usalama wa nchi. Hivi unadhani watu wakitaka Tanganyika, Tanzania hiyo mnayoisema itakuwepo moja kweli ? Ndiyo maana nasema mpaka sasa kama CCM ilishindwa kuona mbali haya yanayotokea sasa itaweza kweli kuivusha nchi, au ndiyo yaleyale ya YUGOSLAVIA ?

Mazee, tuko mahali pabaya sana na mbali na kutumia nguvu ya dola, hakuna kiongozi mwenye mikono safi (Moral Authority) kuweza kuwaambia watanganyika wajadili huu mjadala wa bandari bila kuingiza hoja za kibaguzi kama UTANGANYIKA, UZANZIBARI, UISLAMU NA UKRISTO.

This is a new cloud in the horizon, a potential storm...
Sisi yetu macho na masikio...​
Mkuu kura hazipingwi na mtandao na wala idadi ya like siyo inayohesabiwa
 
So according to those publications hastahili kukosoa jambo lenye ukakasi kwa maslah ya Taifa?
Akosoe kama mimi na wewe bila kivumisho cha PHD ya Havard ya mikataba ya biashara ya kimataifa
 
Mkuu kura hazipingwi na mtandao na wala idadi ya like siyo inayohesabiwa
Mkuu, nakubaliana na wewe kuhusu hili asilimia 100%
Ila muda ni mwalimu mzuri sana, tuombe uzima tutarudi hapa!
 


sijaona machapisho yoyote ya Dr. kwenye eneo lake la ubobezi yaani Mikataba ya Kimataifa ya Biashara badala yake ana machapisho matatu (3) mawali akiwa ameshirikiana na wenzake na moja peke yake. Machapisho yake yote yako nje ya eneo lake la ubobezi

Publications (3)

Local Communities and Wildlife Management Reform in Tanzania

Article (Jan 2008)Fred Nelson, Rugemeleza Nshala, Alan Rodgers

The Evolution and Reform of Tanzanian Wildlife Management

Article (Jan 2007) Fred Nelson, Rugemeleza Nshala , & W. A. Rodgers

Management of Natural Resources in Tanzania: Is the Public Trust Doctrine of Any Relevance?

Article Rugemeleza Nshala

Kwangu PHD ya Dkt. Rugemeleza Nshalla ni ya kutishai watu kwenye baa tu.

inampa


sijaona machapisho yoyote ya Dr. kwenye eneo lake la ubobezi yaani Mikataba ya Kimataifa ya Biashara badala yake ana machapisho matatu (3) mawali akiwa ameshirikiana na wenzake na moja peke yake. Machapisho yake yote yako nje ya eneo lake la ubobezi

Publications (3)

Local Communities and Wildlife Management Reform in Tanzania

Article (Jan 2008)Fred Nelson, Rugemeleza Nshala, Alan Rodgers

The Evolution and Reform of Tanzanian Wildlife Management

Article (Jan 2007) Fred Nelson, Rugemeleza Nshala , & W. A. Rodgers

Management of Natural Resources in Tanzania: Is the Public Trust Doctrine of Any Relevance?

Article Rugemeleza Nshala

Kwangu PHD ya Dkt. Rugemeleza Nshalla ni ya kutishai watu kwenye baa tu.

inampa uzito Shekhe Mwaipopo Ubwabwa?
 
Back
Top Bottom