Utabiri : Azam FC atashinda au atadroo dhidi ya Simba Sc kwenye huu mchuano wa Kombe la Shirikisho

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Kocha na benchi la ufundi la Simba sc pamoja na mashabiki wa Simba bado hawajarudi mchezoni toka wafe kiume kule uarabuni.

Mbaya zaidi na namungo kapiga kwenye mshono /kadroo na Simba hicho ndicho kimewanyong'onyesha kabisa.

Utabiri wangu Azam atashinda huko mtwara au kudroo.


Njoo dakika tisini baada ya mpira kuisha.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hivi kuna siku utaitabiria Simba jema?Ndiyo maana unajiira "NALIAGA SANA"!😜
 

Mkuu hapo hakuna droo, lazima mmoja afe. Simba wanalitaka hili kombe, tena wanaenda kumkanda Yanga pale Tanga.
 
Mimi wasiwasi wangu marefarii wasiomuogopa Mungu tu basi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…