Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Hakuna cha kuongezewa muda wala penati, Azam anakufa ndani ya dk. 90. Simba haiwezi kukubali msimu uishe bila kumpiga Azam. Leo lambalamba anakufa.
Mazishi wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna cha kuongezewa muda wala penati, Azam anakufa ndani ya dk. 90. Simba haiwezi kukubali msimu uishe bila kumpiga Azam. Leo lambalamba anakufa.
Mkuu kwema?🤣🤣🤣🤣Hakuna cha kuongezewa muda wala penati, Azam anakufa ndani ya dk. 90. Simba haiwezi kukubali msimu uishe bila kumpiga Azam. Leo lambalamba anakufa.
Akikujibu nitag [emoji16]Mkuu kwema?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣Makolo bhana
Nirudishie hela yangu😎Kama kuna mechi ya kuweka hela ndefu na kumpa Simba kushinda ni leo. Nilifanya hivyo dhidi ya Yanga na dhidi ya Wydad hapa nyumbani.
Wekeni mpunga mumpe Simba,mtakuja kunishukuru.
Umeona utabiri?Hivi kuna siku utaitabiria Simba jema?Ndiyo maana unajiira "NALIAGA SANA"!😜
[emoji23] pole sana mkuuNirudishie hela yangu[emoji41]
Wanaruka na kukanyagana.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Makolo bhana
[emoji3061][emoji3061]Kama kuna mechi ya kuweka hela ndefu na kumpa Simba kushinda ni leo. Nilifanya hivyo dhidi ya Yanga na dhidi ya Wydad hapa nyumbani.
Wekeni mpunga mumpe Simba,mtakuja kunishukuru.
Chukua maua yako[emoji253][emoji257][emoji1651][emoji272][emoji258][emoji2530][emoji254][emoji255]Azam 2-1 Simba
[emoji16]Chukua maua yako[emoji253][emoji257][emoji1651][emoji272][emoji258][emoji2530][emoji254][emoji255]
MO hana udhibiti wa 100% ya Simba.Tatizo liko kwa Mo, Mo hajawalipa mishahara yao wachezaji na benchi la ufundi ya miezi 4 sasa. Na ile bonus 300m ya timu kuifunga yanga hajawapa hadi leo. Ndio maana wachezaji wakasema kama mbwai na iwe mbwai tu.
Mo ndiyo kila kitu pale aise na ana sauti kubwa kuliko hao wengine.MO hana udhibiti wa 100% ya Simba.
Kuna watu hawana mchango ila wao ndo wana hisa nyingi, je hao kazi yao iko wapi?
Hao wengine wametoa pesa gani?Mo ndiyo kila kitu pale aise na ana sauti kubwa kuliko hao wengine.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwani moo anatoa pesa mfukoni mwakeHao wengine wametoa pesa gani?
MO si mjinga kuharibu pesa kwa kina Banda
Kazi yetu sisi tusio na mchango ila tuna hisa 51 ni fitna na majungu tu mpaka Mo atuachie timu yetuMO hana udhibiti wa 100% ya Simba.
Kuna watu hawana mchango ila wao ndo wana hisa nyingi, je hao kazi yao iko wapi?
Lipeni hela alizotumia kusaidia timu kwa miaka yote maana zile pesa simba inakopeshwaKazi yetu sisi tusio na mchango ila tuna hisa 51 ni fitna na majungu tu mpaka Mo atuachie timu yetu
Hatujamuomba wala hakulazimishwa. Akileta za kuleta tunamfanyia jambo kama ManjiLipeni hela alizotumia kusaidia timu kwa miaka yote maana zile pesa simba inakopeshwa
Mikataba inawabana, unadhani anatoa pesa hivi hivi?Hatujamuomba wala hakulazimishwa. Akileta za kuleta tunamfanyia jambo kama Manji