Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Bora kufa kabisa.Yanga?Holy Moly!Yanga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kufa kabisa.Yanga?Holy Moly!Yanga?
Tatizo liko kwa Mo, Mo hajawalipa mishahara yao wachezaji na benchi la ufundi ya miezi 4 sasa. Na ile bonus 300m ya timu kuifunga yanga hajawapa hadi leo. Ndio maana wachezaji wakasema kama mbwai na iwe mbwai tu.Kocha na benchi la ufundi la Simba sc pamoja na mashabiki wa Simba bado hawajarudi mchezoni toka wafe kiume kule uarabuni.
Mbaya zaidi na namungo kapiga kwenye mshono /kadroo na Simba hicho ndicho kimewanyong'onyesha kabisa.
Utabiri wangu Azam atashinda huko mtwara au kudroo.
Njoo dakika tisini baada ya mpira kuisha.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndiyo kisingizio chenu.Tatizo liko kwa Mo, Mo hajawalipa mishahara yao wachezaji na benchi la ufundi ya miezi 4 sasa. Na ile bonus 300m ya timu kuifunga yanga hajawapa hadi leo. Ndio maana wachezaji wakasema kama mbwai na iwe mbwai tu.
Uongo wako huo!Tatizo liko kwa Mo, Mo hajawalipa mishahara yao wachezaji na benchi la ufundi ya miezi 4 sasa. Na ile bonus 300m ya timu kuifunga yanga hajawapa hadi leo. Ndio maana wachezaji wakasema kama mbwai na iwe mbwai tu.
🤣🤣🤣Baada ya mechi,uwe unarelpy,usikimbie uzi wako
Hakuna cha kuongezewa muda wala penati, Azam anakufa ndani ya dk. 90. Simba haiwezi kukubali msimu uishe bila kumpiga Azam. Leo lambalamba anakufa.
Mpigie Bocco umuulize. Kama hapokei simu mpigie ashura cheupe (manara)-huyu ana data zoteUongo wako huo!
Ashura naniii?🙏😂😂😂Mpigie Bocco umuulize. Kama hapokei simu mpigie ashura cheupe (manara)-huyu ana data zote
Broo mbona Kama umepanikiMpigie Bocco umuulize. Kama hapokei simu mpigie ashura cheupe (manara)-huyu ana data zote
Nalia ww mshabiki wa vyura ilasimpenzi/chambuzi wa mpira. ..unavyoandika vingi niushabiki na siuhalisia
Ashura Cheupe aka Miss Kombe la Losers. Yule msemaji chochote wenu mliyempiga kibuti akaenda upande wa pili na huko FAT au saa tiefuefu wakampa kifungo cha 2 yrs na $ 20k fineAshura naniii?🙏😂😂😂
Astaghifilullah!Msalie Mtume(SAW) ndugu!Ashura Cheupe aka Miss Kombe la Losers. Yule msemaji chochote wenu mliyempiga kibuti akaenda upande wa pili na huko FAT au saa tiefuefu wakampa kifungo cha 2 yrs na $ 20k fine
Punguza hasira [emoji16]Nalia ww mshabiki wa vyura ilasimpenzi/chambuzi wa mpira. ..unavyoandika vingi niushabiki na siuhalisia
Pole sana maana umezungumza kwa hasira [emoji16]Ashura Cheupe aka Miss Kombe la Losers. Yule msemaji chochote wenu mliyempiga kibuti akaenda upande wa pili na huko FAT au saa tiefuefu wakampa kifungo cha 2 yrs na $ 20k fine
Tsh.40,000/= Ndugu yangu. Hii Simba yangu pumbavu sana.Uliweka kiasi gani mkuu?? Pole sana mwanalunyasi
Tunakushukuru Kwa kutuingiza mkenge!Kama kuna mechi ya kuweka hela ndefu na kumpa Simba kushinda ni leo. Nilifanya hivyo dhidi ya Yanga na dhidi ya Wydad hapa nyumbani.
Wekeni mpunga mumpe Simba,mtakuja kunishukuru.
[emoji23]Tunakushukuru Kwa kutuingiza mkenge!
Aisee umewafelisha wenzakoKama kuna mechi ya kuweka hela ndefu na kumpa Simba kushinda ni leo. Nilifanya hivyo dhidi ya Yanga na dhidi ya Wydad hapa nyumbani.
Wekeni mpunga mumpe Simba,mtakuja kunishukuru.