Utabiri : Azam FC atashinda au atadroo dhidi ya Simba Sc kwenye huu mchuano wa Kombe la Shirikisho

Utabiri : Azam FC atashinda au atadroo dhidi ya Simba Sc kwenye huu mchuano wa Kombe la Shirikisho

Kama kuna mechi ya kuweka hela ndefu na kumpa Simba kushinda ni leo. Nilifanya hivyo dhidi ya Yanga na dhidi ya Wydad hapa nyumbani.

Wekeni mpunga mumpe Simba,mtakuja kunishukuru.
Uliweka kiasi gani mkuu?? Pole sana mwanalunyasi
 
Kama kuna mechi ya kuweka hela ndefu na kumpa Simba kushinda ni leo. Nilifanya hivyo dhidi ya Yanga na dhidi ya Wydad hapa nyumbani.

Wekeni mpunga mumpe Simba,mtakuja kunishukuru.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Pasta mashimo kwanini hukomi kudanganya wateule?
 
Back
Top Bottom