Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Uliweka kiasi gani mkuu?? Pole sana mwanalunyasiKama kuna mechi ya kuweka hela ndefu na kumpa Simba kushinda ni leo. Nilifanya hivyo dhidi ya Yanga na dhidi ya Wydad hapa nyumbani.
Wekeni mpunga mumpe Simba,mtakuja kunishukuru.