abdulatif himid
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 326
- 814
TRUMP Anashinda huu Uchaguzi.Mark my Words.Umenisemea mkuu. Uko njema sana. Nilitaka kusema uchaguzi wa marekani una mchango mkubwa kujua hatma ya Ukraine na Mambo mengine. Akishinda Democrat Kutatokea maafa ya Damu nyingi kama kawaida yao, akishinda Republican urusi inapata tena nguvu.
Huenda warukuzi wa Russia wako Stand By kwa huu uchaguzi.
Nikwamba mkuu unaijua urudi kuliko hata putin😂😂Ulaya yoote ukijumlisha hawaifikii Urusi kwa ukubwa, silaha za nyuklia zote Duniani ukizijumlisha huwafikii warusi, Urusi amezamisha mavifaa ya nyuklia kwenye Ncha za kaskazini na kusini mwa Dunia yako kwenye barafu siku wakilianzisha hakutakuwepo na ulaya na Marekani yote
Ebanae kwa hio ndio kusemaje?Hizo ni dalili za madhara ya Silaha za nyuklia kabla haxijatumika....! Angalia ukiwa ukweni usinywe maji mengi inapoenda kulala😆😆!
Kusumbuana for what. You get what you wanted.Hivi kukubariwa kirahisi na mademu ni dalili ya nini? Yaan demu hakusumbui umegusa tu na yeye kanyooka mule mule alafu kageukia kibra hadi unajiuliza imekuaje hii? Yaan hata sijaimbisha mtoto tayari kajaa kwenye Mstari
Demi
Akili zako ndogo vita siyo vya putin na NATO ni urussi na NATO tena putin wanamchokoza kwa sababu ni mstaharabu siku urusi ikiangukia mikononi mwa kichaa ndiyo utajua kuwa USA NA NATO NI SISIMIZI TU na ninacho kuambia hata NATO wanakijua ....Putin hapendi kutisha siku akija rais wa urussi mwenye kutisha ni lazima NATO walie na kusagameno.Nilazima tumsimamishe Putin. Nilazima ajuwe hii vita hatoshinda. NATO members ukisikiliza maneno ya viongozi wa NATO utajuwa kile kipo mbele Dunia ya majasusi.
Wanajambo lao ambalo huwendavmm na wewe hatujuwi wao hawatishii tumia nuke ila vifaa kulinda anga ya Ukraine hawatishii matumizi ya Silaha. Ni wapole ila wanakula kwa moto
USA haiongozwi kiimla kama Russia.Lile robot la USA linalosalimiana na upepo ndo linaweza kukata moto kwanza
Huyo kesha kata gogoAmka ndotoni,utajikojolea muda si mrefu.
Aisee niliwahi ku-date binti mmoja wa kilokole sasa zikapita siku ikafika siku Mchungaji akawaambia Mwanaume wa hivi na hivi muache achana nae acha kua na Mwanaume wa hivi na hivi siku hio hio binti kamwaga manyanga nikaapa kwa Mungu mbinguni huko Juu km yupo kweli kwamba sitokuja kamwe kupita na Wanawake wa kilokole wale mikesha makongamano sijui semina zimefanyaje ebwana ni kisanga wale wote unaowaona mikeshamikesha sijui kufanya nini makolokolo kibao Mume wao wa kwanza ni Mchungaji yaan wewe Mwanaume umewekwa sub Mchungaji ndio anaesikilizwa zaidi km alama ya Mume sahihi na sio Wewe inafika hatua Mwanamke wa kilokole anaona Bora mara 800 angeolewa na Mchungaji tu na sio Wewe na unakua Mume wa Pili yaani anaanza Mume Mkubwa ambae ni Mchungaji alafu unafuata Wewe Mume wa Pili this is very stupidityKusumbuana for what. You get what you wanted.
Kwani Putin mwenyewe anasemaje?
Urusi hakutaka vita kivipi wakati yeye ndio aliivamia ukraine embu tuambie ukraine aliichokoza urusi kivipi?Urusi hakuitaka hii Vita,walioanzisha vita ndio watakaoimaliza.
Hao Nato acha waruke waruke tu,mwisho wao tunaujua.
Watakuja wenyewe mezani,mikono nyuma.
Hayo ni machuma chakavu bro 🙄😜Ulaya yoote ukijumlisha hawaifikii Urusi kwa ukubwa, silaha za nyuklia zote Duniani ukizijumlisha huwafikii warusi, Urusi amezamisha mavifaa ya nyuklia kwenye Ncha za kaskazini na kusini mwa Dunia yako kwenye barafu siku wakilianzisha hakutakuwepo na ulaya na Marekani yote
Huyo Baba yako alikuwa mnywa vodka huko urusiMimi nawaangalia tu hawa wajinga.Mimi Baba yangu mzazi ameishi Urusi zaidi ya Miaka 10 kwa Mafunzo.
Mzee wangu ananiambia anaogopa jinsi Urusi wanavyokuwa Provoked.
Anasema siku Urusi wakiamua kweli kwenda Vitani,siku hiyo ndiyo itakuwa Kiama.
Fuatilia mwenyewe.Ukweli utakaopata kaa nao mwenyewe.Kwa sasa Sina muda wa kuandika makala ndefu.Urusi hakutaka vita kivipi wakati yeye ndio aliivamia ukraine embu tuambie ukraine aliichokoza urusi kivipi?
Bila vodka UBONGO unagandaHuyo Baba yako alikuwa mnywa vodka huko urusi
Sasa kama nato ndio wanapigana mbona mbona hatuoni ndege za nato hapo ukraine?NATO ndio wanao pigana vita hi Ukraine ni battlefield tu, hawana lolote Putin ni mwanaume
Utaratibu wa mawaziri wakuu wa uingereza kujiuzulu ni utamaduni wao. Anza na magreth Thatcher Hadi sasa bwana steirmer. Siasa za UK ziko hivyoPutin
Russia sio Bongo, Russia ni War mafia mpaka sasa amewaondosha mawaziri wakuu watatu wa Uingereza Boris Johnson out, Truss out, Rish sunak out, huyu naye akishupaza shingo steirmer ataondoka, Na Bado Biden ataondoka Urusi sio zimbabwe
Kwa Baridi ya Urusi!!Huyo Baba yako alikuwa mnywa vodka huko urusi