Utabiri: Huenda siku za Putin zinakaribia ukingoni

Utabiri: Huenda siku za Putin zinakaribia ukingoni

Ulaya yoote ukijumlisha hawaifikii Urusi kwa ukubwa, silaha za nyuklia zote Duniani ukizijumlisha huwafikii warusi, Urusi amezamisha mavifaa ya nyuklia kwenye Ncha za kaskazini na kusini mwa Dunia yako kwenye barafu siku wakilianzisha hakutakuwepo na ulaya na Marekani yote
Wewe kiparangoto punguza kuangalia movies.zinakufanywa uwe boya..
 
Ni aibu, ujinga,fedheha na udhaifu mkubwa sana wa nchi za NATO kama wana mipango ya kumuua Putin.
Hii maana yake kwamba wamemshindwa Putin katika mikakati kama kiongozi na wameshindwa Urusi katika medani za kivita,kisillaha na kijasusi.
Kutaka kumuua inaonesha wazi kua amewashinda Viongozi zaidi ya 40 kimipango na kimbinu.
Hivyo wameamua kutumia mbinu za kigaidi ambazo wao west wamekua wakizipinga na kuziita ni za ki uwoga zaidi.
Kwa hiyo wewe mwenyewe unatuthibitishia kua NATO mbele ya Urusi ni dhaifu mno kijeshi kiasi kwamba hawawezi Tena kukabiliana nae vitani Bali wanamvizia kumuua Kwa njia za kigaidi.
Kumbuka kama wakifanikiwa kumuua ujue Mungu ameridhia,lkn kama Mungu hajaridhia ujue Putin ataendelew kuwepo na kuwapiga kijeshi.
Ref Tundu Lissu na risasi 30
 
Binadamu wajinga kila mtu aishi kweny nchi yake , watu wanazaliwa nyie mnatakata kuwamaliza ..Mambo ya vita ni ammbo ya kipumbavu hayafai hata kushabikia .

Ukiuliza vita ya kwanza & pili duniani utaona watu walipigana kwa sababu za kijinga .
 
Kama hujakojoa kitandani sijui..wahi amka mzee...Unaongelea Putin huyu au wa hapo Sangamwarugesha?? hao NATO wenyewe woote combined akili zao ndio ujinga wa Lavrov hata sio Putin..Lavrov mwenyewe jasusi ana akili na mikakati kuliko wote wale sasa hujamfikia Putin.
 
Mimi nawaangalia tu hawa wajinga.Mimi Baba yangu mzazi ameishi Urusi zaidi ya Miaka 10 kwa Mafunzo.
Mzee wangu ananiambia anaogopa jinsi Urusi wanavyokuwa Provoked.
Anasema siku Urusi wakiamua kweli kwenda Vitani,siku hiyo ndiyo itakuwa Kiama.
Nonesense
 
Sasa kama nato ndio wanapigana mbona mbona hatuoni ndege za nato hapo ukraine?
Bro una ubongo wa hand to mouth kiufupi huna akili ya kufikiri nje ya box.. huwezi elewa mifumo inavyoenda kama utaishi miaka 20 ijayo utapata shida kuendana na hii dunia.
 
Akili zako ndogo vita siyo vya putin na NATO ni urussi na NATO tena putin wanamchokoza kwa sababu ni mstaharabu siku urusi ikiangukia mikononi mwa kichaa ndiyo utajua kuwa USA NA NATO NI SISIMIZI TU na ninacho kuambia hata NATO wanakijua ....Putin hapendi kutisha siku akija rais wa urussi mwenye kutisha ni lazima NATO walie na kusagameno.
Angekuwa anatawala Urusi mtu Harsh kama Dimitri Medvedev,hawa Nato wangeipata joto ya jiwe.
 
Yaani Kenge moja ya Bonyokwa unataka umsimamishe Urusi?
Kalio la njiwa.
 
Nilazima tumsimamishe Putin. Nilazima ajuwe hii vita hatoshinda. NATO members ukisikiliza maneno ya viongozi wa NATO utajuwa kile kipo mbele Dunia ya majasusi.

Wanajambo lao ambalo huwendavmm na wewe hatujuwi wao hawatishii tumia nuke ila vifaa kulinda anga ya Ukraine hawatishii matumizi ya Silaha. Ni wapole ila wanakula kwa moto
Asee mwaka wa ngapi mnarudia hili,,,,,,,,,,,,Putin sio Gadafi huyo,,,, anawamega huko ukraine na atawamega popote pale mtakapopeleka viherehere vyenu.....

Ukraine raia wanasaka kila mbinu wasiende uwanja wa mapambano , baadae itabidi tu Zelensky aingie mwenyewe maana hali ni mbaya
Screenshot_20240711-082356_RT News.jpg
 
Back
Top Bottom