Utabiri: Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Sugu atavunja record kwa kupata kura ambazo hakuna mgombea mwingine aliwahi kupata

Una utani na jadi na Lucas mwashambwa? Akiamka usingizini atakuja na thread ndefu hadi utashangae.
Kwani Lucas mwashambwa yeye si CCM?
Sasa haya mambo ya Sugu kupitishwa na chama chake kugombea uraisi yeye yanamhusu nini mkuu?

Au unamaanisha kuwa yeye ataona bora apitishwe Lisu kupambana na mgombea wa CCM kuliko kupitishwa Sugu?
 
Kwani Sugu alivyoshinda uchaguzi wa ubunge jimbo la Mbeya mjini, tume ya uchaguzi ilikuwa ipi?Mkishinda all is allright mkishindwa tume ya uchaguzi haitendi haki!!!
You cannnot have both ways.You cannot have your cake and eat it too.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kumbe na wewe ni team Sugu!!
 
Ungepitia kwanza Sheria inayoelezea sifa na vigezo vya mgombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Utagundua kuwa Sugu anakosa baadhi ya Sifa na Vigezo vya kisheria na kikatiba.
Kumbe baadhi yenu mnamchukulia Sugu poa kuhusu elimu aisee...
 
Kwani Lucas mwashambwa yeye si CCM?
Sasa haya mambo ya Sugu kupitishwa na chama chake kugombea uraisi yeye yanamhusu nini mkuu?

Au unamaanisha kuwa yeye ataona bora apitishwe Lisu kupambana na mgombea wa CCM kuliko kupitishwa Sugu?
Hataki kusikia kuna kitu kinaitwa Sugu nchi hii, iwe Mbeya au popote pale. Iwe udiwani au ubunge Leo iwe Urais?!
 
Mkuu Pascal Mayalla hili swala litaenda kushangaza wengi wakiwemo Chadema wenyewe.
Tanzania hakuna uchaguzi, Bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Cdm kama Chama wanaweza kushiriki, lakini sisi watanzania tunaojitambua hatutajitokeza kushiriki hizi chaguzi za kishenzi. Kama mnategemea tena Yale mafuriko ya wapiga kura, mjiandae kisaikolojia kujotokeza wachache kushiriki huo uhayawani.
 
Usisahau kwa Chama Cha Majambazi/Majizi hakishindi uchaguzi kwa sanduku la kura.Zingatia hilo.
 
Hilo la kushindwa uchaguzi kutokana na sababu ulizozieleza hapo juu linaeleweka, lkn sasa Chadema ni lazima watashiriki ili kupata ruzuku ya kukisadia chama na viongozi wa chama.
 
Usisahau kwa Chama Cha Majambazi/Majizi hakishindi uchaguzi kwa sanduku la kura.Zingatia hilo.
Yani Sugu hatoshinda uchaguzi na kuwa raisi kutokana na sababu ulizozieleza, ila atashinda katika kinyanganyiro cha kumchagua mgombea atakaepeperusha bendera ya chama kwa ajili ya uraisi.

Na pia atapata kura nyingi zaidi ya walizowahi kupata wagombea wengine wa upinzani, plus atakisaidia chama chake kupata wabunge wengi kuliko mgombea yoyote wa upinzani aliewahi kugombea kabla yake.

I think umenielewa nilichomaanisha.
 
Reactions: Tui
Hilo la kushindwa uchaguzi kutokana na sababu ulizozieleza hapo juu linaeleweka, lkn sasa Chadema ni lazima watashiriki ili kupata ruzuku ya kukisadia chama na viongozi wa chama.
Kungekuwa na uchaguzi wa kushindana hapa tungesema Kuna ushindani, sio kwa upuuzi ule unaojitokeza kwenye chaguzi zetu. Kama cdm wanatafuta ruzuku hiyo ni haki Yao, lakini kwa uhayawani ule wa kwenye chaguzi, msitegemee tena wanaojitambua kushiriki. Machafuko au mapinduzi ya kijeshi pekee ndio yataleta mabadiliko ya kweli.
 
Hapa nimekuelewa vizuri mkuu Tindo
 
Pumba ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ