Utabiri: Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Sugu atavunja record kwa kupata kura ambazo hakuna mgombea mwingine aliwahi kupata

Utabiri: Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Sugu atavunja record kwa kupata kura ambazo hakuna mgombea mwingine aliwahi kupata

Hili siyo jukwaa la wavuta bange pumbafu sana
Wavuta bangi wana akili zaidi ya nyinyi wanywa gongo. Fuatilia kwa makini maneno ya Bob Marley katika nyimbo zake, au 2pac nk, alafu fananisha na uharo kutoka kwa wanywa gongo wenzako uone tofauti yake.
 
Mbona kuna taarifa kuwa Mhe. Spika sasa hivi amekwishampiku Sugu. Wana Jiji la Mbeya wana upendo sana na Mhe. Spika. Je Ni kweli?.
Hii mada inahusiana na uraisi sio ubunge kaka...
 
Mnajaribu ku create atmosphere ya bibi njiti kubaki na ubunge wake alioupata kihuni?
Sugu anataka jimbo lake la Mbeya
 
Mnajaribu ku create atmosphere ya bibi njiti kubaki na ubunge wake alioupata kihuni?
Sugu anataka jimbo lake la Mbeya
Siyo Betina wala Sugu atakayepita Mbeya. Wote hawafai. Mbeya inahitaji damu mpya
 
Bang
Wavuta bangi wana akili zaidi ya nyinyi wanywa gongo. Fuatilia kwa makini maneno ya Bob Marley katika nyimbo zake, au 2pac nk, alafu fananisha na uharo kutoka kwa wanywa gongo wenzako uone tofauti yake.
Bangi ni tiba na mti wa uzima
 
Back
Top Bottom