Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wavuta bangi wana akili zaidi ya nyinyi wanywa gongo. Fuatilia kwa makini maneno ya Bob Marley katika nyimbo zake, au 2pac nk, alafu fananisha na uharo kutoka kwa wanywa gongo wenzako uone tofauti yake.Hili siyo jukwaa la wavuta bange pumbafu sana
Hivyo unaamini anaweza kushinda Mbeya tu kama mbunge, lkn sio Tanzania kama raisi?Sugu kushinda Mbeya siyo kitu cha ajabu anaweza sn
Hii mada inahusiana na uraisi sio ubunge kaka...Mbona kuna taarifa kuwa Mhe. Spika sasa hivi amekwishampiku Sugu. Wana Jiji la Mbeya wana upendo sana na Mhe. Spika. Je Ni kweli?.
Hatari snHivyo unaamini anaweza kushinda Mbeya tu kama mbunge, lkn sio Tanzania kama raisi?
Siyo Betina wala Sugu atakayepita Mbeya. Wote hawafai. Mbeya inahitaji damu mpyaMnajaribu ku create atmosphere ya bibi njiti kubaki na ubunge wake alioupata kihuni?
Sugu anataka jimbo lake la Mbeya
Mkuu hilo jina lako limenikunbusha bush stars 🌟 enzi zile.Siyo Betina wala Sugu atakayepita Mbeya. Wote hawafai. Mbeya inahitaji damu mpya
Bangi ni tiba na mti wa uzimaWavuta bangi wana akili zaidi ya nyinyi wanywa gongo. Fuatilia kwa makini maneno ya Bob Marley katika nyimbo zake, au 2pac nk, alafu fananisha na uharo kutoka kwa wanywa gongo wenzako uone tofauti yake.
Sugu mwenyewe ndani ya CHADEMA hapiti. CHADEMA wanamtaka MwambigijaMkuu hilo jina lako limenikunbusha bush stars 🌟 enzi zile.
Sioni kama kuna mpinzani wa Sugu mbeya
Wanambeya wataamua nani awe mbunge waoSugu mwenyewe ndani ya CHADEMA hapiti. CHADEMA wanamtaka Mwambigija
Haswa hilo ndiyo la muhimuWanambeya wataamua nani awe mbunge wao