Utabiri: Katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, Sugu atavunja record kwa kupata kura ambazo hakuna mgombea mwingine aliwahi kupata

Pumba 🚮🚮
Naona team Lisu umekuja kumtetea raisi wa mioyo yenu, ila mwambieni kuwa utabiri unaonesha kuwa mwaka 2025 jina lake halitokuwepo katika kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea wa chama 😂😂
 
Sugu akigombea Urais wa Chadema Mbowe na Lisu watakuwa Wapi?

Ameamua kumkimbia Rais wa Mabunge Duniani Dr.Tulia Jimbo la Mbeya Mjini au?
Utabiri unaonesha kuwa Sugu ana baraka zote za mwenyekiti wa chama, hivyo Lisu hatokuwa na cha kumfanya.
 
Naona team Lisu umekuja kumtetea raisi wa mioyo yenu, ila mwambieni kuwa utabiri unaonesha kuwa mwaka 2025 jina lake halitokuwepo katika kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea wa chama 😂😂
Asipokuepo wewe unaumia nini , bakin mafisadi yenu ccm huko, nchi inawashinda mpo busy na Chadema
 
Hata Mbeya kwenyewe huyu pimbi wa Kipangwa (japo mnamuita Mkinga) hatoboi.

Msimpotezee direction akaenda kukopa fedha benki kwa dhamana ya Desideria hotel kwa ajili ya mambo ya ndotoni.
 
Hata Mbeya kwenyewe huyu pimbi wa Kipangwa (japo mnamuita Mkinga) hatoboi.

Msimpotezee direction akaenda kukopa fedha benki kwa dhamana ya Desideria hotel kwa ajili ya mambo ya ndotoni.
Kamanda Sugu ashindwe au ashinde uchaguzi hilo sio tatizo. Kikubwa utabiri unaonesha kuwa, lazima atapitishwa na chama chake ili agombee uraisi na utabiri utimie.
 
Sugu ni kama ashavuka swala la ubunge, Sasa anaandaliwa kuwa zaidi ya mbunge.

We subiri utaona kitachotokea.
Sugu NI form four, sheria za tume mgombea Urais anatakiwa mwenye degree, hii sheria alitungiwa Mrema lakini akatobowa alipata shahada online.

Kwahiyo mshaurini ajiendeleze na Aache utoto wa kujisifu anavaa Vitu vya gharama na designer fulani, huyu siyo Presidential material.

Wahuni wote waishie kwenye ubunge Tu.
 
Kamanda Sugu ashindwe au ashinde uchaguzi hilo sio tatizo. Kikubwa utabiri unaonesha kuwa, lazima atapitishwa na chama chake ili agombee uraisi na utabiri utimie.
Akiwekewa pingamizi maana yake Chadema haitokuwa na mgombea Urais.

Sugu Hana sifa za kugombea Urais Kwa sheria za Nec.

Sifa kujuwa kusoma na kuandika inaishia kwenye ubunge Tu
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mbona kuna taarifa kuwa Mhe. Spika sasa hivi amekwishampiku Sugu. Wana Jiji la Mbeya wana upendo sana na Mhe. Spika. Je Ni kweli?.
 
Inasemekana alivyoingia USA aliongeza alimu yake kimya kimya, hivyo kama ni kweli basi sifa anazo labda awekewe pingamizi lingine lkn sio elimu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…