Utabiri kwa yale yatatokea 2023 fungua macho naombea taifa

Utabiri kwa yale yatatokea 2023 fungua macho naombea taifa

Uko sawa kabisa,

Mungu hatafanya jambo lolote ktk Nchi bila kuwaarifu watumishi wake.

Niliwahi andika ktk Uzi wa YOGA Kwa habari ya yatakayojiri 2023.

Timeframe ni 20 Oct 2022 Hadi 20 March 2023.

Ni dhahiri mabadiliko hayo yanaenda gusa nafasi ambazo hatujawahi fikiria zinaweza gusika.

Ktk mataifa mengi patakuwa na vita, machafuko nk.

Pamoja na kuarifiwa yajayo, Badala ya kubadilika watu watashupaza shingo na kusubiri yatokee Badala ya kuvaa MAGUNIA kuomba TOBA Ili kuiponya nafsi Yako, familia, Taifa na Ulimwengu.

Habari njema Kwa Tanzania ni kuwa itakuwa Nchi kimbilio Kwa mataifa mengi ULIMWENGUNI.

Aaamen
Hii mambo kwakweli itimie haraka sana tunaisubiri kwa mikono miwili, Na andiko lako likatimie. Amina.
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
Yajayo kiukweli yanafurahisha.Mimi niseme wala si swala la utabiri,the information is out there for everybody to see.It is already planned,and it will be implemented.Ni onye hata hivyo,kwamba tofauti na ulivyo outline in a sense indicating that the nation will be moral,the opposite will be true:the nation and the World in general will be extremely immoral and immorality will be institutionalized.

Kwa mfano,kama wewe sio part of the World immoral system,you will not be allowed to be part of the World Economy.What that means I hope is pretty clear,infact mengine umeshayasema.So let me say this, to everybody,2023 to 2030 and if we happen to survive beyond 2030 through the mercy of God,humanity will pass through very trying times indeed,matumbo yatauma.
 
[QUOTE="Ngungenge, post: 44703292, member
Ishu ya njaa Iko wazi sababu hivi tunavyo ongea mbolea ya ruzuku haijafika Kwa wakulima na huh nduo ukwel
[/QUOTE]
Nimeshangaa kuona ITV kuwa mbolea ya ruzuku ya kupanda imeingia Jana Mbeya, wakati kwa Kanda Ile mazao yameota muda mrefu, maana yake hakuna aliepandia mbolea. Sijui shida ilikuwa fedha au nini, maana bajeti imepitishwa muda mrefu.
 
Franklin D Roosevelt, ni raisi wa marekani aliyetawala miaka 12.(?)
Means that kuna 2023 Mama yenu is Either aded au aachie madaraka halafu aiingie mwingine kwa miaka hiyo 2 (Assumed/ing office) kisha ndio agombee 2025 kama FRD alivyofenya
Itawezekanaje hii?
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
Uwimara = uiamara, uwenda = huenda, vibaruwa.... inawezekana una point ila kwa uandishi huu naona nikupuuze tu.
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea

Hakuna utabiri hapo. Umebahatisha.
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
Umeandika Kweli yote.

Nawaasa ndugu zangu kuwekeza ktk KILIMO.

Walio mijini tunzeni chakula, Dunia nzima itatikiswa.

Litatimia neno lisemalo " Mwenye HAKI wangu ataishi Kwa IMANI".

Habari ni mbaya Kwa Wezi, Malaya, wabadhilifu nk nk, msipotubu hakuna RANGI ambayo hamtaona.

Aaamen.
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
Wewe TumainiEl you are just a prophet of doom. Mnaiombea nchi hii ikwame ikiwa chini ya Rais Samia kwa kuwa mlikuwa mumepewa nafasi na marehemu Magufuli aliyekuwa Dikteta akiirarua nchi vipande vipande. Hayo uliyoandika ni njozi, ila endelea kulala ili uendelee kuota zaidi
 
Wewe TumainiEl you are just a prophet of doom. Mnaiombea nchi hii ikwame ikiwa chini ya Rais Samia kwa kuwa mlikuwa mumepewa nafasi na marehemu Magufuli aliyekuwa Dikteta akiirarua nchi vipande vipande. Hayo uliyoandika ni njozi, ila endelea kulala ili uendelee kuota zaidi
Wewe u KIPOFU unayeamini unaona.

TumainiEl hahusiki na ubaya wowote ktk Nchi, Anasimamia palipo na HAKI na KWELI ya Mungu Kwa maslah mapana ya nchi.

Wananchi pale KIEV na Ukraine walikuwa wakiendelea na shughuli zao kama kawaida, wakalala usiku,

Walipoamka walikuta Kila kitu kimebadilika,

Barabarani Badala ya kutembea magari ya wafanyakazi kwenda kazini, VIFARU na Tanks vilitamalaki.

KAZI ya MWONAJI, MJUMBE, WATCHMAN aliye ktk malango ya nchi ni kuona yajayo na kupress BUTTON au kupuliza filimbi ya kuashiria hatari inayoenda tokea.

MJUMBE hauwawi, chukueni hatua Kuomba na kujiandaa na yajayo Ili vyuma na upanga usipenye ktk miili ya ndugu zetu.

Asomaye na Afahamu.

Aamen.
 
Back
Top Bottom