Utabiri kwa yale yatatokea 2023 fungua macho naombea taifa

Utabiri kwa yale yatatokea 2023 fungua macho naombea taifa

Wewe u KIPOFU unayeamini unaona.

TumainiEl hahusiki na ubaya wowote ktk Nchi, Anasimamia palipo na HAKI na KWELI ya Mungu Kwa maslah mapana ya nchi.

Wananchi pale KIEV na Ukraine walikuwa wakiendelea na shughuli zao kama kawaida, wakalala usiku,

Walipoamka walikuta Kila kitu kimebadilika,

Barabarani Badala ya kutembea magari ya wafanyakazi kwenda kazini, VIFARU na Tanks vilitamalaki.

KAZI ya MWONAJI, MJUMBE, WATCHMAN aliye ktk malango ya nchi ni kuona yajayo na kupress BUTTON au kupuliza filimbi ya kuashiria hatari inayoenda tokea.

MJUMBE hauwawi, chukueni hatua Kuomba na kujiandaa na yajayo Ili vyuma na upanga usipenye ktk miili ya ndugu zetu.

Asomaye na Afahamu.

Aamen.
Hizi ulizoandika ni pumba tupu, peleka kawape nguruwe ndiyo chakula chao
 
Njaa hapa Tanzania itoke wapi na mvua zinamiminika Sasa Mikoa ya uzalishaji wa Chakula kuliko hata mwaka unaoisha,Niko mojawapo ya hiyo Mikoa watu Wana uhakika na misosi this time around na Mazao mashambani yamechanua na yanapendeza..

Naomba hiyo njaa itokee huko kwenu ili tupige Pesa .
Joseph alipooteshwa ndoto juu ya njaa itakayochukua miaka 7, palikuwa na mvua tele na mambo yalikuwa MAZURI.

Unapokuwa huna uwezo wa kuyaona yajayo, usijitutumue kubisha usoyajua.

MPUMBAVU akinyamaza huonekana kama ana busara- The Bible says.

Sometimes nyamaza kuficha ujinga wako.
 
Joseph alipooteshwa ndoto juu ya njaa itakayochukua miaka 7, palikuwa na mvua tele na mambo yalikuwa MAZURI.

Unapokuwa huna uwezo wa kuyaona yajayo, usijitutumue kubisha usoyajua.

MPUMBAVU akinyamaza huonekana kama ana busara- The Bible says.

Sometimes nyamaza kuficha ujinga wako.
Nina Miaka 37 sijawahi ona mvua imegoma Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini,huko kwenu ndio mtapata njaa na tutawapiga Pesa kweli kweli.
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
Wanamsubiri Kila kitu kitokee ndo waseme tulisema.

Nchi ihakikishe inanunua na kutunza chakula na Akiba itoshe Kwa miaka hata 3 tunapuuzwa.

BASHE unataka kitokee nini Ili ustuke?
 
What is this Mungu anasema na watu endeleeni kupinga
Hapo kwenye serikali kuondoa watumishi wabadhirifu sio kwa serikali ya mama..kwanza hata hii amsha amsha ya kassim mama haipendi, ye anataka wafanyakazi wawe na nidhamu ya moyoni.
Hujuwi Kuna sheria zimepita
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
"Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023"
Mkuu TumainiEl now tunaelekea July 2023 ktk haya uliyosema hakuna watumishi wa umma waliowajishwa nimeona mkuu wa mkoa wa Dar Es salaam akihamishiwa mkoa mwingine na makosa mbalimbali yakifanywa na baadhi ya watendaji lkn hamna kuwajishwa.
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
.
 
Wanamsubiri Kila kitu kitokee ndo waseme tulisema.

Nchi ihakikishe inanunua na kutunza chakula na Akiba itoshe Kwa miaka hata 3 tunapuuzwa.

BASHE unataka kitokee nini Ili ustuke?
Tanalelewa na mabeberu. Kwasasa tumerudi kule kwenye kuamini kuwa sisi hatuwezi kitu. Hata kukiwa na njaa tutalia njaa mabwana wakubwa watakuja kutusaidia. Tutawagawia rasilimali zetu.
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
Mtikisiko Kutoka vilindi vya Bahari Hadi Nchi kavu tayari umetangazwa,

Wakazi wa Bandari salama, wanaaswa kuhama haraka kabla ya April.

Wazee wenye mvi chama kikubwa kunusuru Nchi na mtanziko naamini huu ni muda muafaka!!
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
Nimeona lile la uhaba wa Fedha za kigeni japo halijafikia viwango ulivyoeleza.

Pia Kuna mtifuano na mtikisiko wa Kisiasa kwenye chama,pia Kuna sheria zitabadilishwa kuelekea uchaguzi Mkuu.

Mwisho Nasubiria nione mwisho wa DP World kama itaondokaena vigogo.
 
"Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023"
Mkuu TumainiEl now tunaelekea July 2023 ktk haya uliyosema hakuna watumishi wa umma waliowajishwa nimeona mkuu wa mkoa wa Dar Es salaam akihamishiwa mkoa mwingine na makosa mbalimbali yakifanywa na baadhi ya watendaji lkn hamna kuwajishwa.
Wapo Mkuu
Screenshot_20230822-154541.jpg
 
Nimeona lile la uhaba wa Fedha za kigeni japo halijafikia viwango ulivyoeleza.

Pia Kuna mtifuano na mtikisiko wa Kisiasa kwenye chama,pia Kuna sheria zitabadilishwa kuelekea uchaguzi Mkuu.

Mwisho Nasubiria nione mwisho wa DP World kama itaondokaena vigogo.
Na kama ni mkazi wa Bandari salama uhame kabla ya April Ili mtikisiko Kutoka vilindi vya Bahari usikukumbe.

Njaa pia is loading ..
 
Back
Top Bottom