Utabiri kwa yale yatatokea 2023 fungua macho naombea taifa

Utabiri kwa yale yatatokea 2023 fungua macho naombea taifa

"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
Utabiri umetimia kwa 85% hongera mleta mada.
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.
 
Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.
 
Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.
Dec2022 todate
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
Tukiona ila hatukujuwa Muda. Mungu liponye Taifa. Tumechoka kulia...
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea

View: https://youtu.be/foxbPifoQmE?si=HJlrc3y9uLlZJlYx
Pita humu kidogo!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea

View: https://youtu.be/foxbPifoQmE?si=HJlrc3y9uLlZJlYx

Pita humu kidogo!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.
Dec2022 todate
Huu utabiri wako umeshatimia kwa asilimia mia Mkuu, maana hadi leo, bank nyingi za hapa kwetu, kupata USD zaidi ya 100 siku hizi ni changamoto sana. Kama kuna mtu anabisha, kesho aende bank yoyote ajifanye anataka kununua dola za Marekani 200!
Kama atazipata, basi aje hapa atusunte kwa kusambaza umbeya!
 
"Watu wangu wana angamia kwa kukosa maarifa na kwa kuwa umeyakataa maarifa na mimi nimekukataa."

Hili ndio neno lakutiongoza kama Taifa kuelekea mwaka 2023. Nikwanini Mungu analiambia Taifa juu ya maarifa majibu mnayo kwakuhisi au kwakuwa kile Manisha.

Mwaka 2023 ni mwaka wa maarifa ni mwaka ambao Uhai wa Taifa na uwimara wa Taifa utaongozwa na maarifa na akili nyingi ktk kuongoza na kustawisha uchumi wa Taifa husika.

Mungu anazungumza na Taifa nakuwahusia maarifa maana ndimo uchungu utatokea. Zipo dalili Taifa likakumbwa na njaa Kali ambayo haijawai kuwepo kwa miaka kadhaa ewe mtanzania na kila kiongozi unashauriwa kuishi kwa akili na maarifa mengi kuiponya nafsi yako.

Mtikisiko utaikumba nchi kutoka ktk vilindi vya bahari mpaka nchi kavu unashauriwa kuishi kwa akili ili mtikisiko huwo usikusumbuwe mahala utakuepo ishi kwa akili.

Hali ya mzunguko wa pesa uwenda isiwe nzuri sana ila itategemea na upepo wa Dunia kuadimika kwa pesa za kigeni kutasumbuwa masoko ya fedha zakigeni na hata manunuzi ya nje jambo litasababisha maisha kupanda Waka mfukoni hakuna kitu inashauriwa kuishi kwa akili na kuwa na matumizi yasio zidi kipato.

Utabiri unaonyesha kuna kila dalili ya kuwepo misuguano mikali ktk bunge kiasi misuguano hiyo itapoteza vibaruwa vya Mawaziri na manaibu wao mpaka makatibu wakuu.

Utabiri unaonyesha kutakuwepo na mabadiliko makubwa ktk Baraza la Mawaziri jambo hili kilikuwa litokee kabla ya mwaka kuisha ila upo uwezekano jambo hili likafanyika 2023.

Utabiri kwa watumishi wa serikali naomba usome na upate kuelewa ktk mwaka 2023 serikali itakuwa Haina msalia mtume na watumishi wasio kuwa waaminifu tayari sheria zimewekwa na sasa ni utekelezaji wale mmekuwa mkifanya tukio hapa nakuhamia kwingine mkae mkao wa kula hakuna tena hiyo mambo na mbaya kuliko yote kupoteza kazi itakuwa rahisi kuliko kupata kazi.

adhani mnanielewa kupoteza kazi 2023 ndani ya serikali itakuwa rahisi sana kuliko kuipata kazi... Mbaya zaid kufilisiwa Mali zako kwa ufisadi ni rahisi zaidi kuliko kuitafuta hiyo Mali. Mwenye akili amenielewa. Wale mnadhani mkipata kaz serikalini basi mnaanza wizi kazi mnayo 2023.

Utabiri unaonyesha mtifuwano ndani ya chama kikubwa Tz utafanya wazee wenye mvi kufanya maamuzi magumu kunusuru chama ni maamuzi gani na nn kitatokea subiri 2023. Soko la ajira halitokuwa zuri sana ila kutokana na safisha safisha ya serikali ndani ya serikali ajira zitakuwa nyingi kuziba mianya ya walio ondolewa kwa uzembe na Mambo mengine.

Upo uwezekano mkubwa sana kutokana na hali ya uchumi wetu na Dunia pamoja na mashinikizo ya jumuiya za kimataifa 2023 kukawa na pendekezo la mabadiliko ktk katiba na sheria kandamizi.

Itaendelea
Umepatia mengi sana ila sio utabiri Bali ni Hali halisi ambayo hupangwa na kuwa forecasted Kwa sababu viashiria Huwa vipo.
 
Back
Top Bottom