Utabiri: Mbowe utaalikwa kwenda Magogoni, ila nakushauri ukienda kwa siku hizi za karibuni

Utabiri: Mbowe utaalikwa kwenda Magogoni, ila nakushauri ukienda kwa siku hizi za karibuni

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.

Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.

Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.

Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.

Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
 
Kama waliweza kukutana na Ndugai hata kwa Mbowe itawezekana, japo binafsi naona nafasi hiyo inaweza kutumiwa vizuri kuzika tofauti baina yao kama zilikuwepo.

Waache siasa ichukue mkondo wake, na pasiwepo na mtu anayedhani anadharauliwa kwa matendo au kauli za mwingine, kuliko kususa halafu waendelee kuishi kwa mashaka kati yao mwishowe Mbowe anaweza kurudishwa tena kule alipotoka leo kwa makosa ya kubambikiwa ili kumkomoa.
 
Kijana tuliza mzuka!

IMG_20220304_154503_924.jpg
 
Kwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.

Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.


Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.

Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.

Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
Mkuu shikamoo...
 
Kwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.

Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.


Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.

Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.

Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
Yametimia !!
 
Kwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.

Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.


Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.

Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.

Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
Kisha enda wamemtime bado hajatulia
 
Hakuna Tatizo Mbowe kwenda Ikulu kwa sasa. Upinzani nchi hii hauonekani kuweza au hii sio rahisi kuitoa CCM madarakani bila CCM yenyewe kugawanyika. Mojawapo ya mambo yanayowaunganisha CCM kwa sasa ni msimamo mkali wa CHADEMA dhidi ya CCM yote, Mbowe kukubali mkono wa amani wa upande mmoja ni pigo kubwa kwa hardliners/mataga na itazidisha ufa ndani yao ambalo ni jambo jema kwa CDM
Kwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.

Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.


Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.

Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.

Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
 
Back
Top Bottom