Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Wengine wapo hukohuko kwenye mfumo,wanachoongea wanakijuaJ4 watu wanaona mbali sana.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine wapo hukohuko kwenye mfumo,wanachoongea wanakijuaJ4 watu wanaona mbali sana.....
Yametimia !!
Kabisa bwashe.....Huyu baada ya kupata update ya viongozi wa CDM anakuja kama mtabirj. Salary Slip unatuchosha kwa ujinga wako huu. Hili jambo halitaki sanaa wala mzaha. Achana na utabiri wa kiwango cha mfalme zumaridi. Ni ujuhaKijana tuliza mzuka!
You have nailed it!Hakuna Tatizo Mbowe kwenda Ikulu kwa sasa. Upinzani nchi hii hauonekani kuweza au hii sio rahisi kuitoa CCM madarakani bila CCM yenyewe kugawanyika. Mojawapo ya mambo yanayowaunganisha CCM kwa sasa ni msimamo mkali wa CHADEMA dhidi ya CCM yote, Mbowe kukubali mkono wa amani wa upande mmoja ni pigo kubwa kwa hardliners/mataga na itazidisha ufa ndani yao ambalo ni jambo jema kwa CDM
Kweli umeona mbaliKwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.
Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.
Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.
Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.
Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
Una hoja nzuri mkuu lakini katika harakati za mapambano kama hizi sio BUSARA wala HEKIMA, KUSUSIA (Sulk!) kukutana na mshindani wako (pratagonist) hususani pale wote mnapoamini kwamba "Round table" aka meza ya mazungumzo ndio suluhu, tofauti na hivyo ni kuchukua silaha na kusahau AMANI!Kwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.
Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.
Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.
Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.
Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
Yaani Mchaga kaalikwa halafu ashindwe kwenda Ikulu?????Kwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.
Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.
Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.
Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.
Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
Uliona mbali kijanaKwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.
Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.
Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.
Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.
Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
Kwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.
Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.
Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.
Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.
Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.Kwa jinsi navyozijua siasa za nchi hii, Mbowe ataalikwa kwenda Magogoni either yeye kama yeye, au ataambatana na viongozi wengine wa CHADEMA.
Watafanya yote ila target yao kubwa itakuwa ni kupata picha ya Mbowe na Mama lengo likiwa kuhadaa umma kuwa Mama hakuwa na ubaya na Mbowe wakati si kweli.
Kingine watachoweza kufanya, ni kuandaa mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa ili Mama apige nao picha na hapa namshauri Mbowe amtume Katibu mkuu wa chama au makama mwenyekiti Visiwani na yeye atulie nyumbani au ofisini kwake kuondoa kinachotafutwa.
Haiwezekani wakutese halafu tena wajisafishe kupitia wewe, kama ni waungwana, wakuombe kwanza radhi ndio mambo mengine yaendelee.
Watatamani kufanya hivyo sasa kwasababu jambo hili bado liko vichwani mwa watu(bado halijapoa), hivyo wakikualika, usienda kipindi hiki labda baada ya mwakani mmoja au miwili baade lakini sio sasa.
Tula wewe..limewashuka shuuKijana tuliza mzuka!
Mbowe sio dhaifu kiasi hichoKichwa cha habari kitakuwa mbowe amekubaliwa ombi lake la kukutana na raisi.
Mmefanana Jo[emoji23]Simbilisi huyo!