UTABIRI: Oktoba 23, Simba 3 - 0 Yanga

Simba akishindwa kumfunga Yanga hii mechi itakuwa ni timu ya hovyo sana ma dhaifu.
 
Nimeitazama mechi tayari..Simba ameshinda goli moja lililopatikana dakika tano za mwisho..kikubwa point tatu.
 
Anza kuandaa uzi mwingine kuhusu kumfukuza Matola kwani kipigo hakiepukiki.
 
Badilisha nafasi ya tatu owe sifuri na sifuri owe tatu.Majina yaache kwenye nafasi zake🤸🤸
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…