Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hata mimi.. Yanga atapigwa kipigo cha umbwa kokoMimi naziona 4 au 5 kwa simba afu uto 0
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi.. Yanga atapigwa kipigo cha umbwa kokoMimi naziona 4 au 5 kwa simba afu uto 0
Hahaha[emoji23]Lawama ziwaendee wafuatao:-
- Marefa
- Bodi ya ligi
- Marefa
- Management ya uwanja
- Polisi walinzi wa uwanja
- Kiwanda cha kutengeneza mipira
- Na kiwanda cha jezi, jezi zina majengo, mitaa na makaburi unategemea nini? Mshana Jr alishasema kuhusu ile jersey
Ikawe hivyo ili wauane vzr. Utopolo labda watajitambuaHata mimi.. Yanga atapigwa kipigo cha umbwa koko
Jmapili baada ya mechi mrudi hapaMimi naziona 4 au 5 kwa simba afu uto 0
Sisi tupo hapa kila wakati uzuri hatuna kususa tushakomaa now days
Anza kuandaa uzi mwingine kuhusu kumfukuza Matola kwani kipigo hakiepukiki.Declaration of interest.
Mimi ni Yanga kindakindaki na sina mkia wowote maungoni mwangu na moyoni mwangu.
Utabiri huu umeegemea upande wa kiroho zaidi kuliko upande wa kimwili ambao unajumuisha ubora wa timu, ubora wa wachezaji mmoja mmoja, mbinu za uwanjani na za nje ya uwanja.
Jambo lolote lile liwe la heri ama shari huanzia rohoni na ndipo hudhihirika mwilini. Mechi ya Simba na Yanga imechezwa leo kwenye ulimwengu wa roho, na Simba imeshinda kwa bao 3 na Yanga wamepata 0.
Hongereni sana Mshana Jr, OKW BOBAN SUNZU , GENTAMYCINE na wana Simba wengine.
Yanga wenzangu tuanze kujiandaa tu kisaikolojia kukabiliana na huu ukweli mchungu.
Ngoja wale machizi wa Utopolo wamshukie kama mwewe
Wanapata wivu ila wamekosa mipango. Utopwinyo
Asiye mwana aeleke jiweAnza kuandaa uzi mwingine kuhusu kumfukuza Matola kwani kipigo hakiepukiki.
Hapa ndipo ulipoharibu punguani wewe!!Mimi ni @Yanga kindakindaki na sina mkia wowote maungoni mwangu na moyoni mwangu.
Badilisha nafasi ya tatu owe sifuri na sifuri owe tatu.Majina yaache kwenye nafasi zake🤸🤸Declaration of interest.
Mimi ni Yanga kindakindaki na sina mkia wowote maungoni mwangu na moyoni mwangu.
Utabiri huu umeegemea upande wa kiroho zaidi kuliko upande wa kimwili ambao unajumuisha ubora wa timu, ubora wa wachezaji mmoja mmoja, mbinu za uwanjani na za nje ya uwanja.
Jambo lolote lile liwe la heri ama shari huanzia rohoni na ndipo hudhihirika mwilini. Mechi ya Simba na Yanga imechezwa leo kwenye ulimwengu wa roho, na Simba imeshinda kwa bao 3 na Yanga wamepata 0.
Hongereni sana Mshana Jr, OKW BOBAN SUNZU , GENTAMYCINE na wana Simba wengine.
Yanga wenzangu tuanze kujiandaa tu kisaikolojia kukabiliana na huu ukweli mchungu.
Uongo wa 🦁Mechi ya Simba na Yanga imechezwa leo kwenye ulimwengu wa roho, na Simba imeshinda kwa bao 3 na Yanga wamepata 0.[emoji1752]