Utabiri: PSG Ndio Mabingwa Wa UEFA Champions League 2021

Utabiri: PSG Ndio Mabingwa Wa UEFA Champions League 2021

N'golo kante= Rodri+Gundogan+Kelvin de bruyne
Tukutane Istanbul .
Unawaza final wakati Madrid yuko hapo nje kwenu anawasubiri, ile game ya kwanza second half Madrid hakucheza akijua mngeweza muotea ya ugenini, leo ndio mtajua Madrid ni nani.

Ramos akiwepo kwenye timu wale jamaa ndio huwa vichaa zaidi, full mibangi, ogopeni sana corner na faulu za Madrid Ramos atawapiga vichwa hafai.
 
Unawaza final wakati Madrid yuko hapo nje kwenu anawasubiri, ile game ya kwanza second half Madrid hakucheza akijua mngeweza muotea ya ugenini, leo ndio mtajua Madrid ni nani.

Ramos akiwepo kwenye timu wale jamaa ndio huwa vichaa zaidi, full mibangi, ogopeni sana corner na faulu za Madrid Ramos atawapiga vichwa hafai.
Halafu. Muda huo wanafanya hayo yote N'golo kante atakuwa wapi?
 
Habari.

Hadi sasa zimebaki timu nne ambazo zitacheza hatua ya nusu fainali na ratiba:

Leg 1.
27 April 2021 Tuesday

Paris Saint Germain Vs Manchester City


Real Madrid Vs Chelsea


Leg 2.
04 May 2021 Tuesday

Manchester City Vs Paris Saint-Germain

Chelsea Vs Real Madrid


Hapo bila kupepesa macho mpira anaocheza Paris Saint Germain dhidi ya kocha wao Pochettino umekuwa na nidhamu ya kutafuta matokeo tu hakuna kingine.

Hivyo basiasi ubishe usibishe Paris Saint Germain atakuwa Champion wa ligi ya mabingwa ulaya.

Final itachezwa 29 May 2021 Ataturk Olympics Stadium.

Final itakuwa ni Paris Saint Germain Vs Real Madrid na bingwa atakuwa Paris Saint Germain.


Updates. 29/04/2021

Baada ya first leg matokeo yamekuwa yakishangaza kulingana na uzi wenyewe ila amini nawaambia wengi watashangazwa zaidi baada ya 2nd leg.

1st leg.

Real Madrid 1 - 1 Chelsea
✓Pulisic[emoji460]
✓Benzema[emoji460]

PSG 1 - 2 Manchester city
✓Marquinhos[emoji460]
✓De Bruyne [emoji460]
✓Mahrez [emoji460]

Hakika naendelea kuona PSG bado ana nafasi ya kusonga mbele vizuri kabisa kwa mpira niliyoona jana kwa zaidi ya dakika 50 alipiga mpira mwingi sana na hata Etihad nategemea wataweza kupindua meza vyema.

Real Madrid ana nafasi ngumu japo Chelsea waliweza kupambana na kucheza mpira mwingi ila pale darajani naona watalala na viatu pia naendelea kumpa nafasi Real Madrid kuendelea mbele.


Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
Halafu ikawaje ?
 

Habari.

Hadi sasa zimebaki timu nne ambazo zitacheza hatua ya nusu fainali na ratiba:

Leg 1.
27 April 2021 Tuesday

Paris Saint Germain Vs Manchester City


Real Madrid Vs Chelsea


Leg 2.
04 May 2021 Tuesday

Manchester City Vs Paris Saint-Germain

Chelsea Vs Real Madrid


Hapo bila kupepesa macho mpira anaocheza Paris Saint Germain dhidi ya kocha wao Pochettino umekuwa na nidhamu ya kutafuta matokeo tu hakuna kingine.

Hivyo basiasi ubishe usibishe Paris Saint Germain atakuwa Champion wa ligi ya mabingwa ulaya.

Final itachezwa 29 May 2021 Ataturk Olympics Stadium.

Final itakuwa ni Paris Saint Germain Vs Real Madrid na bingwa atakuwa Paris Saint Germain.


Updates. 29/04/2021

Baada ya first leg matokeo yamekuwa yakishangaza kulingana na uzi wenyewe ila amini nawaambia wengi watashangazwa zaidi baada ya 2nd leg.

1st leg.

Real Madrid 1 - 1 Chelsea
✓Pulisic[emoji460]
✓Benzema[emoji460]

PSG 1 - 2 Manchester city
✓Marquinhos[emoji460]
✓De Bruyne [emoji460]
✓Mahrez [emoji460]

Hakika naendelea kuona PSG bado ana nafasi ya kusonga mbele vizuri kabisa kwa mpira niliyoona jana kwa zaidi ya dakika 50 alipiga mpira mwingi sana na hata Etihad nategemea wataweza kupindua meza vyema.

Real Madrid ana nafasi ngumu japo Chelsea waliweza kupambana na kucheza mpira mwingi ila pale darajani naona watalala na viatu pia naendelea kumpa nafasi Real Madrid kuendelea mbele.


Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
We mganga KULIKONI?
 
kwani KDB hatacheza final? zile kadi hazifutwi kwa game inayofata?..hebu nipe ufafanuzi mkuu
ili usicheze match inayofuata lazima uwe na kadi za njano tatu mfululizo ..

Sasa kdb ana kadi mbili tu ...


Ndio maana alipopewa ile kadi hawakuandika "misses next match " kwa iyo final kdb yupo bila wasiwasi
..



Hao Chelsea wanajua moto wake ndio maana wanajipa moyo saizi..!
 
Back
Top Bottom