Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
- Thread starter
- #261
Hakika Huu Uzi Sina Mahusiano Nao!Huu uzi mbona unatelekezwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Huu Uzi Sina Mahusiano Nao!Huu uzi mbona unatelekezwa?
Yote yalikuwa yamejieleza toka mwanzo wa uzi.Jaribu leo nani atapita
Roma atapindua meza? Arsenal je?Huu uzi sijui nani ameandika?
Naona kaandika vitu hawiendani kabisa na soka.
NB: HUU UZI NIMEUKANA KWA AKILI ZANGU TIMAMU SI MIMI.
Nilikuwa PSG nikavuliwa nguo, nikahamia Madrid nikanyolewa bila ganzi.Mkuu Tupo Aisee!
Rudi tena uandike upya comment yako...Unawaza final wakati Madrid yuko hapo nje kwenu anawasubiri, ile game ya kwanza second half Madrid hakucheza akijua mngeweza muotea ya ugenini, leo ndio mtajua Madrid ni nani.
Ramos akiwepo kwenye timu wale jamaa ndio huwa vichaa zaidi, full mibangi, ogopeni sana corner na faulu za Madrid Ramos atawapiga vichwa hafai.
Hakika wewe unajua mpira...Madrid hii haitaweza Chelsea ata wangekuwepo Ramos wawili uwanjani, Quality ya Madrid imepungua.
"Kila game ina mahitaji tofauti" ndio utajua hata ile mliyomfunga City FA itakuwa ni tofauti na hii fainali ya UEFA.Man city tulimpiga fa na sisi ndio tulioposses game kitu ambacho unapaswa kujua kila game inamahitaji tofauti game approach ya game ya 1 kwanza dhidi ya Madrid tofauti na hii kwa sababu Tuchel alijua Madrid atakuja kushambulia Sana na ndio akaanda hii approach ya hii game
safi bila shaka utacheza pia"Kila game ina mahitaji tofauti" ndio utajua hata ile mliyomfunga City FA itakuwa ni tofauti na hii fainali ya UEFA.
Bado mnashupaza shingo tu? Huu mtiti hauhitaji hasira, chuki wala papara. Guardiola anafahamu kabisa tarehe 29 kazi ipo."Kila game ina mahitaji tofauti" ndio utajua hata ile mliyomfunga City FA itakuwa ni tofauti na hii fainali ya UEFA.
[emoji16][emoji16][emoji16]mwisho utajikuta umeangukia The Gunners[emoji16]Nilikuwa PSG nikavuliwa nguo, nikahamia Madrid nikanyolewa bila ganzi.
Sasa nasimama na chama langu la muda mrefu la enzi za kina Essien pamoja na kocha wetu mstaafu.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]unaukana mara tatu!Hakika Huu Uzi Sina Mahusiano Nao!
Hahahaaaa.[emoji16][emoji16][emoji16]mwisho utajikuta umeangukia The Gunners[emoji16]
safi bila shaka utacheza pia
Nyie underdogs mna viburi sana, viboko vyenu tarehe 29.05.2021 The Ataturk Stadium.Bado mnashupaza shingo tu? Huu mtiti hauhitaji hasira, chuki wala papara. Guardiola anafahamu kabisa tarehe 29 kazi ipo.
Kwa Man city sawa, ila hawatakuwa na mteremko sanaHao ndio nime-prove wamezeeka, ngoja the Citizens wakawafundishe mpira.