Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Linakuwaje wazi wakati mpira haujapigwa hata sekunde moja? Si ninyi ndio mlikuwa mnasema Final itakuwa Madrid versus PSG?Mzee city bingwa hilo lipo wazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Linakuwaje wazi wakati mpira haujapigwa hata sekunde moja? Si ninyi ndio mlikuwa mnasema Final itakuwa Madrid versus PSG?Mzee city bingwa hilo lipo wazi
Ni kweli. Na wamebebwabebwa mno mpaka hapo Final, si ndio jombi?😉Chelsea watoto wadogo sana hao, watapasuliwa vibaya.
Hatimaye nyama zimeonekana.Msiichukulie poa Chelsea ya Tuchel. Yule Tactician na yeye ni mzee wa kutafuta matokeo.
Toka mechi ya kwanza naamini pep msimu wake huuLinakuwaje wazi wakati mpira haujapigwa hata sekunde moja? Si ninyi ndio mlikuwa mnasema Final itakuwa Madrid versus PSG?
Mlianzia Athletico,mkahamia Porto,mkahamia Madrid Sasa hivi mmehamia Man city [emoji3][emoji1787][emoji1787]Ndio utajua hujui, Chelsea hiyo game ni underdogs wanaojua mpira wote wanajua hili.
Tupe sababu mkuuChelsea ni underdog mbele ya city ...
Mtajionea wenyewe Jumamosi
Guardiola Hana first 11Nyie underdogs mna viburi sana, viboko vyenu tarehe 29.05.2021 The Ataturk Stadium.
Nashangaa Chelsea kuwafunga wale wazee mnajiona mmemaliza kazi, ile game yenu ya FA Guardiola ali rotate kikosi, ile haikuwa first eleven.
Kwani Chelsea kawatoa Madrid tuu??Chelsea wasipoongeza umakini wa kufunga watalikosa kombe maana Man City Wana ukuta mzuri na pressing yao iko bora
Madrid ni dhaifu Sana msimu huu wasije kujipa kichwa kuwatoa ,wazee kina Ramos hamna kitu yaani pale ni Benzema na kipa tuu
Kupata vichekesho vingine kama hivi tunabonyeza namba ngapi ndugu mleta mada? Maana safari ya PSG ndo ishaisha hivyo
Habari.
Hadi sasa zimebaki timu nne ambazo zitacheza hatua ya nusu fainali na ratiba:
Leg 1.
27 April 2021 Tuesday
Paris Saint Germain Vs Manchester City
Real Madrid Vs Chelsea
Leg 2.
04 May 2021 Tuesday
Manchester City Vs Paris Saint-Germain
Chelsea Vs Real Madrid
Hapo bila kupepesa macho mpira anaocheza Paris Saint Germain dhidi ya kocha wao Pochettino umekuwa na nidhamu ya kutafuta matokeo tu hakuna kingine.
Hivyo basiasi ubishe usibishe Paris Saint Germain atakuwa Champion wa ligi ya mabingwa ulaya.
Final itachezwa 29 May 2021 Ataturk Olympics Stadium.
Final itakuwa ni Paris Saint Germain Vs Real Madrid na bingwa atakuwa Paris Saint Germain.
Updates. 29/04/2021
Baada ya first leg matokeo yamekuwa yakishangaza kulingana na uzi wenyewe ila amini nawaambia wengi watashangazwa zaidi baada ya 2nd leg.
1st leg.
Real Madrid 1 - 1 Chelsea
✓Pulisic[emoji460]
✓Benzema[emoji460]
PSG 1 - 2 Manchester city
✓Marquinhos[emoji460]
✓De Bruyne [emoji460]
✓Mahrez [emoji460]
Hakika naendelea kuona PSG bado ana nafasi ya kusonga mbele vizuri kabisa kwa mpira niliyoona jana kwa zaidi ya dakika 50 alipiga mpira mwingi sana na hata Etihad nategemea wataweza kupindua meza vyema.
Real Madrid ana nafasi ngumu japo Chelsea waliweza kupambana na kucheza mpira mwingi ila pale darajani naona watalala na viatu pia naendelea kumpa nafasi Real Madrid kuendelea mbele.
Updates. 06/05/2021
Baada ya 2nd leg iliyochezwa tar 4th & 5th May 2021.
Hakika matokeo yamekuwa tofauti kabisa na maudhuhi ya huu uzi maana timu zote zikizopewa nafasi na huu uzi zimepokea kipigo cha mbwa mwizi yaani kipigo cha mtema-kuni.
Chelsea 2 - 1 Real Madrid
✓Timo Werner[emoji460]
✓Mason Mount[emoji460]
Manchester city 2 - 0 PSG
✓Mahrez[emoji460]
✓Mahrez [emoji460]
Hivyo kufanya vikongwe kutoka spain kulamba mwiko mkavu huku hawa wakulima kutoka ufaransa wakirudi na majembe pamoja na vifaa vyote vya shambani kwao wakiambulia patupu. Na kufanya marudio ya kuingia timu zote kutoka England.
Chelsea. Vs Manchester city
Tusubiri fainali hiyo ikiwa wengi wana prediction tofauti tofauti ila upande wangu hadi sasa sijui nani na sina prediction yeyote yangu ni macho kama ni usambuzi basi nimepiga F.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
Sasa Buyern bila Lewandosky ni timu ileKwani Chelsea kawatoa Madrid tuu??
ni nini?? mbona timu hazina lewandoski na zimefika fainali??Sasa Buyern bila Lewandosky ni timu ile
Acha kufukua makaburi 🤣
Kidato cha pili lugha Kama hiyo inafundishwa!Wako vizuri vibaya maana yake nini?
Hapo bado hujamjibia kwa usahihiKidato cha pili lugha Kama hiyo inafundishwa!
Matumizi ya lugha ktk mkutadha mbalimbali. Kajikumbushe mkuu
Yupo sahihiKwenye soka lolote linaweza kutokea na hutakiwi kubeza.
Kuna mwana kakomaa kabisa anakwambia piga uwa Chealsea anabeba ubingwa,na ukimbishia anakwambia minaweka laki moja wewe weka kishkizo cha shati.
Nyie watoto mmezaliwa lini? kocha ku rotate kikosi kila mmoja apate nafasi ya kucheza sio kukosa first eleven dogo, first eleven ipo inawasubiri tar. 29 mtaiona.Guardiola Hana first 11
Mkimaliza maneno yote midomoni ndio City wataianza kazi yao tar 29.Ni kweli. Na wamebebwabebwa mno mpaka hapo Final, si ndio jombi?[emoji6]
itaje hio first 11 acha porojoNyie watoto mmezaliwa lini? kocha ku rotate kikosi kila mmoja apate nafasi ya kucheza sio kukosa first eleven dogo, first eleven ipo inawasubiri tar. 29 mtaiona.
Vipi mzee na leo City hawakuwa serious na match au sio?🤣🤣Eroo nimekwambia match ya FA Man City wali-rotate kikosi watu kama Mahrez, Gundogan, B. Silva, Foden, wote hawakuanza, tulia siku inakuja ushuhudie mateso mtakayopata.
Kuhusu Namungo kujitutumua una uwezo wakati ukweli hauna ni kama kaulevi flani hivi.