Utabiri: PSG Ndio Mabingwa Wa UEFA Champions League 2021

Utabiri: PSG Ndio Mabingwa Wa UEFA Champions League 2021

Nyie underdogs mna viburi sana, viboko vyenu tarehe 29.05.2021 The Ataturk Stadium.

Nashangaa Chelsea kuwafunga wale wazee mnajiona mmemaliza kazi, ile game yenu ya FA Guardiola ali rotate kikosi, ile haikuwa first eleven.
[emoji16][emoji16][emoji16]jiwe walilolikataa waashi litatuletea wokovu. Hata kwa Bayern mlisema sana, wakaucheza mwingi sana, baada ya dakika 120+ matuta, akina Schweinsteiger walikuwa wakilia na makamasi yanawadondoka.

Msiichukulie poa Chelsea.
 
Chelsea wasipoongeza umakini wa kufunga watalikosa kombe maana Man City Wana ukuta mzuri na pressing yao iko bora

Madrid ni dhaifu Sana msimu huu wasije kujipa kichwa kuwatoa ,wazee kina Ramos hamna kitu yaani pale ni Benzema na kipa tuu
 
Bado mnashupaza shingo tu? Huu mtiti hauhitaji hasira, chuki wala papara. Guardiola anafahamu kabisa tarehe 29 kazi ipo.
Hata yeye angependelea kukutana na Madrid kuliko Chelsea maana yeye anataka kuweka historia Man City na wale watoto wa Chelsea na kocha wao wanataka kuweka historia pia.

Yaani hiyo fainali ni 50/50 japo mimi napenda Man City achukue kombe
 
Updates. 06/05/2021

Baada ya 2nd Leg iliyochezwa tar 4th & 5th May 2021.

Hakika matokeo yamekuwa tofauti kabisa na maudhuhi ya huu uzi maana timu zote zikizopewa nafasi na huu uzi zimepokea kipigo cha mbwa mwizi yaani kipigo cha mtema-kuni.

Chelsea 2 - 1 Real Madrid
✓Timo Werner[emoji460]
✓Mason Mount[emoji460]

Manchester city 2 - 0 PSG
✓Mahrez[emoji460]
✓Mahrez [emoji460]



Hivyo kufanya vikongwe kutoka spain kulamba mwiko mkavu huku hawa wakulima kutoka ufaransa wakirudi na majembe pamoja na vifaa vyote vya shambani kwao wakiambulia patupu. Na kufanya marudio ya kuingia timu zote kutoka England.

Chelsea. Vs Manchester city

Tusubiri fainali hiyo ikiwa wengi wana prediction tofauti tofauti ila upande wangu hadi sasa sijui nani na sina prediction yeyote yangu ni macho kama ni usambuzi basi nimepiga F.
 
Updates. 06/05/2021

Baada ya 2nd Leg iliyochezwa tar 4th & 5th May 2021.

Hakika matokeo yamekuwa tofauti kabisa na maudhuhi ya huu uzi maana timu zote zikizopewa nafasi na huu uzi zimepokea kipigo cha mbwa mwizi yaani kipigo cha mtema-kuni.

Chelsea 2 - 1 Real Madrid
✓Timo Werner[emoji460]
✓Mason Mount[emoji460]

Manchester city 2 - 0 PSG
✓Mahrez[emoji460]
✓Mahrez [emoji460]



Hivyo kufanya vikongwe kutoka spain kulamba mwiko mkavu huku hawa wakulima kutoka ufaransa wakirudi na majembe pamoja na vifaa vyote vya shambani kwao wakiambulia patupu. Na kufanya marudio ya kuingia timu zote kutoka England.

Chelsea. Vs Manchester city

Tusubiri fainali hiyo ikiwa wengi wana prediction tofauti tofauti ila upande wangu hadi sasa sijui nani na sina prediction yeyote yangu ni macho kama ni usambuzi basi nimepiga F.
Wewe takataka huna uwezo wa kutabili chochote ,tabili zako zote zimeenda kombo..
 
Karibu mjini. Rotation ya kikosi ndio iliwaua City kwenye ile game, first eleven ya City inamtandika Chelsea vizuri kabisa.

Wewe hata Namungo uliwaamini Confederations!, ila kilichowakuta siri yako.
Kwanini hiyo first eleven haikufanya kazi kwenye match ya FA au lile lilikuwa bonanza tu??

Hata Madrid si ndivyo mlivyo sema kuwa itawatandika tu hao Chelsea kilicho tokea wote tumekiona?

Namungo nilicho kupinga mimi ni tabia ya kukiri udhaifu tu ovyo eti kisa tumepangwa na Raja, pyramids na Nkama basi ndio kiwe kigezo cha sisi tukubali kujiona kama mapanzi kabla hata match kuchezwa?
Hiyo hapana kabisa kule lazima ukutane na vigogo na hakuna namna lazima upambane na sio kukata kata tamaa kabla hata ya kujaribu.
 
Wewe takataka huna uwezo wa kutabili chochote ,tabili zako zote zimeenda kombo..
Hakika kwa uzi huu sikatai kuitwa takataka boss wangu.

Maana kama kuingia mkenge huu ni zaidi ya mkenge.

Ni utabiri si utabili kiongozi.
 
Kwanini hiyo first eleven haikufanya kazi kwenye match ya FA au lile lilikuwa bonanza tu??

Hata Madrid si ndivyo mlivyo sema kuwa itawatandika tu hao Chelsea kilicho tokea wote tumekiona?

Namungo nilicho kupinga mimi ni tabia ya kukiri udhaifu tu ovyo eti kisa tumepangwa na Raja, pyramids na Nkama basi ndio kiwe kigezo cha sisi tukubali kujiona kama mapanzi kabla hata match kuchezwa?
Hiyo hapana kabisa kule lazima ukutane na vigogo na hakuna namna lazima upambane na sio kukata kata tamaa kabla hata ya kujaribu.
Eroo nimekwambia match ya FA Man City wali-rotate kikosi watu kama Mahrez, Gundogan, B. Silva, Foden, wote hawakuanza, tulia siku inakuja ushuhudie mateso mtakayopata.

Kuhusu Namungo kujitutumua una uwezo wakati ukweli hauna ni kama kaulevi flani hivi.
 
Back
Top Bottom