Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo umekariri hata hufuatilii form mpya!! Huyo man City kafungashwa virago na Chelsea kombe la FA!! Hana ubavu wa kuinyanyasa Chelsea! Shilingi yangu naiweka kwa Chelsea!Chelsea akienda final akakutana na Man City hiyo game ndio itaisha first half, City bingwa.
Real Madrid hoi na wapambe wake! Psg hoi na wapambe wake! Kwa hiyo uzi umekata steam!Huu uzi mbona unatelekezwa?
Nyie mtakua mnafwatilia matokeo tu,mpira huwa hamuangalii kabisaUnawaza final wakati Madrid yuko hapo nje kwenu anawasubiri, ile game ya kwanza second half Madrid hakucheza akijua mngeweza muotea ya ugenini, leo ndio mtajua Madrid ni nani.
Ramos akiwepo kwenye timu wale jamaa ndio huwa vichaa zaidi, full mibangi, ogopeni sana corner na faulu za Madrid Ramos atawapiga vichwa hafai.
Watu wanabashiri kwa mahaba, sasa mahaba yamewaua na kuwagaragaza!Real Madrid hoi na wapambe wake! Psg hoi na wapambe wake! Kwa hiyo uzi umekata steam!
Vijana wanasikiliza habari za michezo clouds fm, ufuatiliaji wao unaishia hapoNyie mtakua mnafwatilia matokeo tu,mpira huwa hamuangalii kabisa
Kwahiyo kwa ile game ya kwanza ilivyokua ulidhani Madrid angekua na kipya leo, Ramos nilimuona alivyopata yellow tu
Ndio maana mhindi anawatandika kila siku kwenye bettingHivyo basiasi ubishe usibishe Paris Saint Germain atakuwa Champion wa ligi ya mabingwa ulaya.
Final itachezwa 29 May 2021 Ataturk Olympics Stadium.
Final itakuwa ni Paris Saint Germain Vs Real Madrid na bingwa atakuwa Paris Saint Germain.
Hahaha yaani match ya Final ya FA alafu eti hakuwa serious nayo ??!!Ile game ya FA Guardiola hakuwa serious nayo, alipomuingiza Gundogan na Foden ghafla mambo yakabadilika bahati nzuri kwa Chelsea dkk zilikuwa zimeshaenda, naamini City akicheza na yoyote kati ya Chelsea au Madrid anachukua kombe, kuna kitu muhimu sana wameongeza kwenye mpira wao; DEFENCE, jamaa wamekuwa solid at the back mpaka nimeshangaa, & that guy Dias, to me is my man of the match today.
#steel.
City possesses quality everywhere, you need to be very lucky to beat 'em.
Ndio utajua hujui, Chelsea hiyo game ni underdogs wanaojua mpira wote wanajua hili.Tatizo umekariri hata hufuatilii form mpya!! Huyo man City kafungashwa virago na Chelsea kombe la FA!! Hana ubavu wa kuinyanyasa Chelsea! Shilingi yangu naiweka kwa Chelsea!
Karibu mjini. Rotation ya kikosi ndio iliwaua City kwenye ile game, first eleven ya City inamtandika Chelsea vizuri kabisa.Hahaha yaani match ya Final ya FA alafu eti hakuwa serious nayo ??!!
Huu ushabiki utawaisha lini hahahaha haya sasa hao hapo wamekutana kaimalizeni sasa game first half.
Yaani mtu upambane hadi final alafu eti usiwe serious na mechi unachekesha sana mkuu dooh
Na kweli imewadia na kante magoli yote yameanzia kwake na kuwafurumusha Madrid Ramos anageuzwa tu ka mtumba ivi na captain America purisic sjui angeingia mwanzo ingekuaje na uzee hule goli kwanza linafugwa kakalishwa chin la pili purisc ana potisha pasi mbele yake anapiga magoti aisee mkongwe kapatikana.Kante ndio nini mangi, subiri siku ifike ujionee.
Hao ndio nime-prove wamezeeka, ngoja the Citizens wakawafundishe mpira.Nyie mtakua mnafwatilia matokeo tu,mpira huwa hamuangalii kabisa
Kwahiyo kwa ile game ya kwanza ilivyokua ulidhani Madrid angekua na kipya leo, Ramos nilimuona alivyopata yellow tu
Uzee ule na hakuwa na match fitness, sasa Chelsea wajiandae kupaki basi haswa.Na kweli imewadia na kante magoli yote yameanzia kwake na kuwafurumusha Madrid Ramos anageuzwa tu ka mtumba ivi na captain America purisic sjui angeingia mwanzo ingekuaje na uzee hule goli kwanza linafugwa kakalishwa chin la pili purisc ana potisha pasi mbele yake anapiga magoti aisee mkongwe kapatikana.
Man city tulimpiga fa na sisi ndio tulioposses game kitu ambacho unapaswa kujua kila game inamahitaji tofauti game approach ya game ya 1 kwanza dhidi ya Madrid tofauti na hii kwa sababu Tuchel alijua Madrid atakuja kushambulia Sana na ndio akaanda hii approach ya hii gameUzee ule na hakuwa na match fitness, sasa Chelsea wajiandae kupaki basi haswa.
Kweny kupaki Chelsea mafund city akipgwa moko kwaheri na kaunta anaziweza ebu fikiria kam sio utu uzima chelsea kuogopa kumzallisha Madrid angekula mkono LeoUzee ule na hakuwa na match fitness, sasa Chelsea wajiandae kupaki basi haswa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Updates
Baada ya first leg matokeo yamekuwa yakishangaza kulingana na uzi wenyewe ila amini nawaambia wengi watashangazwa zaidi baada ya 2nd leg.
1st leg.
Real Madrid 1 - 1 Chelsea
✓Pulisic[emoji460]
✓Benzema[emoji460]
PSG 1 - 2 Manchester city
✓Marquinhos[emoji460]
✓De Bruyne [emoji460]
✓Mahrez [emoji460]
Hakika naendelea kuona PSG bado ana nafasi ya kusonga mbele vizuri kabisa kwa mpira niliyoona jana kwa zaidi ya dakika 50 alipiga mpira mwingi sana na hata Etihad nategemea wataweza kupindua meza vyema.
Real Madrid ana nafasi ngumu japo Chelsea waliweza kupambana na kucheza mpira mwingi ila pale darajani naona watalala na viatu pia naendelea kumpa nafasi Real Madrid kuendelea mbele.