Utabiri: PSG Ndio Mabingwa Wa UEFA Champions League 2021

Utabiri: PSG Ndio Mabingwa Wa UEFA Champions League 2021

Unawaza final wakati Madrid yuko hapo nje kwenu anawasubiri, ile game ya kwanza second half Madrid hakucheza akijua mngeweza muotea ya ugenini, leo ndio mtajua Madrid ni nani.

Ramos akiwepo kwenye timu wale jamaa ndio huwa vichaa zaidi, full mibangi, ogopeni sana corner na faulu za Madrid Ramos atawapiga vichwa hafai.
Nyie mtakua mnafwatilia matokeo tu,mpira huwa hamuangalii kabisa

Kwahiyo kwa ile game ya kwanza ilivyokua ulidhani Madrid angekua na kipya leo, Ramos nilimuona alivyopata yellow tu
 
Hivyo basiasi ubishe usibishe Paris Saint Germain atakuwa Champion wa ligi ya mabingwa ulaya.

Final itachezwa 29 May 2021 Ataturk Olympics Stadium.

Final itakuwa ni Paris Saint Germain Vs Real Madrid na bingwa atakuwa Paris Saint Germain.
Ndio maana mhindi anawatandika kila siku kwenye betting
 
Ile game ya FA Guardiola hakuwa serious nayo, alipomuingiza Gundogan na Foden ghafla mambo yakabadilika bahati nzuri kwa Chelsea dkk zilikuwa zimeshaenda, naamini City akicheza na yoyote kati ya Chelsea au Madrid anachukua kombe, kuna kitu muhimu sana wameongeza kwenye mpira wao; DEFENCE, jamaa wamekuwa solid at the back mpaka nimeshangaa, & that guy Dias, to me is my man of the match today.
#steel.

City possesses quality everywhere, you need to be very lucky to beat 'em.
Hahaha yaani match ya Final ya FA alafu eti hakuwa serious nayo ??!!

Huu ushabiki utawaisha lini hahahaha haya sasa hao hapo wamekutana kaimalizeni sasa game first half.

Yaani mtu upambane hadi final alafu eti usiwe serious na mechi unachekesha sana mkuu dooh
 
Tatizo umekariri hata hufuatilii form mpya!! Huyo man City kafungashwa virago na Chelsea kombe la FA!! Hana ubavu wa kuinyanyasa Chelsea! Shilingi yangu naiweka kwa Chelsea!
Ndio utajua hujui, Chelsea hiyo game ni underdogs wanaojua mpira wote wanajua hili.
 
Hahaha yaani match ya Final ya FA alafu eti hakuwa serious nayo ??!!

Huu ushabiki utawaisha lini hahahaha haya sasa hao hapo wamekutana kaimalizeni sasa game first half.

Yaani mtu upambane hadi final alafu eti usiwe serious na mechi unachekesha sana mkuu dooh
Karibu mjini. Rotation ya kikosi ndio iliwaua City kwenye ile game, first eleven ya City inamtandika Chelsea vizuri kabisa.

Wewe hata Namungo uliwaamini Confederations!, ila kilichowakuta siri yako.
 
Kante ndio nini mangi, subiri siku ifike ujionee.
Na kweli imewadia na kante magoli yote yameanzia kwake na kuwafurumusha Madrid Ramos anageuzwa tu ka mtumba ivi na captain America purisic sjui angeingia mwanzo ingekuaje na uzee hule goli kwanza linafugwa kakalishwa chin la pili purisc ana potisha pasi mbele yake anapiga magoti aisee mkongwe kapatikana.
 
Na kweli imewadia na kante magoli yote yameanzia kwake na kuwafurumusha Madrid Ramos anageuzwa tu ka mtumba ivi na captain America purisic sjui angeingia mwanzo ingekuaje na uzee hule goli kwanza linafugwa kakalishwa chin la pili purisc ana potisha pasi mbele yake anapiga magoti aisee mkongwe kapatikana.
Uzee ule na hakuwa na match fitness, sasa Chelsea wajiandae kupaki basi haswa.
 
Uzee ule na hakuwa na match fitness, sasa Chelsea wajiandae kupaki basi haswa.
Man city tulimpiga fa na sisi ndio tulioposses game kitu ambacho unapaswa kujua kila game inamahitaji tofauti game approach ya game ya 1 kwanza dhidi ya Madrid tofauti na hii kwa sababu Tuchel alijua Madrid atakuja kushambulia Sana na ndio akaanda hii approach ya hii game
 
Updates

Baada ya first leg matokeo yamekuwa yakishangaza kulingana na uzi wenyewe ila amini nawaambia wengi watashangazwa zaidi baada ya 2nd leg.

1st leg.

Real Madrid 1 - 1 Chelsea
✓Pulisic[emoji460]
✓Benzema[emoji460]

PSG 1 - 2 Manchester city
✓Marquinhos[emoji460]
✓De Bruyne [emoji460]
✓Mahrez [emoji460]

Hakika naendelea kuona PSG bado ana nafasi ya kusonga mbele vizuri kabisa kwa mpira niliyoona jana kwa zaidi ya dakika 50 alipiga mpira mwingi sana na hata Etihad nategemea wataweza kupindua meza vyema.

Real Madrid ana nafasi ngumu japo Chelsea waliweza kupambana na kucheza mpira mwingi ila pale darajani naona watalala na viatu pia naendelea kumpa nafasi Real Madrid kuendelea mbele.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom