Unawaza final wakati Madrid yuko hapo nje kwenu anawasubiri, ile game ya kwanza second half Madrid hakucheza akijua mngeweza muotea ya ugenini, leo ndio mtajua Madrid ni nani.N'golo kante= Rodri+Gundogan+Kelvin de bruyne
Tukutane Istanbul .
Kawaombe Mods waedit na waseme “ Chelsea ya Tuchel ndio Mabingwa wa UEFA mwaka 2021”Imefika mahali uzi huu imenibidi kuukana kwa nguvu zote kuwa sikuandika mimi.
Hata kama niliuandika basi nilikuwa na akili si zangu.
Kwa akili zangu timamu bila kulazimishwa huu uzi si wangu.[emoji38]
Hawawezi ile sio FAKawaombe Mods waedit na waseme “ Chelsea ya Tuchel ndio Mabingwa wa UEFA mwaka 2021”
Bishana na kanji tu kaka stake dau kubwa tulia.Madrid hii haitaweza Chelsea ata wangekuwepo Ramos wawili uwanjani, Quality ya Madrid imepungua.
Halafu. Muda huo wanafanya hayo yote N'golo kante atakuwa wapi?Unawaza final wakati Madrid yuko hapo nje kwenu anawasubiri, ile game ya kwanza second half Madrid hakucheza akijua mngeweza muotea ya ugenini, leo ndio mtajua Madrid ni nani.
Ramos akiwepo kwenye timu wale jamaa ndio huwa vichaa zaidi, full mibangi, ogopeni sana corner na faulu za Madrid Ramos atawapiga vichwa hafai.
Tukishawang'oa Real Madrid, Man City tunawamudu vizuri sana. Tunafahamu wanavyocheza by now. Formation yao ya kuwa na "false 9" mtaalamu Tuchel keshajua dawa yake. Utarudi hapa kusema kitu.Hawawezi ile sio FA
Halafu ikawaje ?Habari.
Hadi sasa zimebaki timu nne ambazo zitacheza hatua ya nusu fainali na ratiba:
Leg 1.
27 April 2021 Tuesday
Paris Saint Germain Vs Manchester City
Real Madrid Vs Chelsea
Leg 2.
04 May 2021 Tuesday
Manchester City Vs Paris Saint-Germain
Chelsea Vs Real Madrid
Hapo bila kupepesa macho mpira anaocheza Paris Saint Germain dhidi ya kocha wao Pochettino umekuwa na nidhamu ya kutafuta matokeo tu hakuna kingine.
Hivyo basiasi ubishe usibishe Paris Saint Germain atakuwa Champion wa ligi ya mabingwa ulaya.
Final itachezwa 29 May 2021 Ataturk Olympics Stadium.
Final itakuwa ni Paris Saint Germain Vs Real Madrid na bingwa atakuwa Paris Saint Germain.
Updates. 29/04/2021
Baada ya first leg matokeo yamekuwa yakishangaza kulingana na uzi wenyewe ila amini nawaambia wengi watashangazwa zaidi baada ya 2nd leg.
1st leg.
Real Madrid 1 - 1 Chelsea
✓Pulisic[emoji460]
✓Benzema[emoji460]
PSG 1 - 2 Manchester city
✓Marquinhos[emoji460]
✓De Bruyne [emoji460]
✓Mahrez [emoji460]
Hakika naendelea kuona PSG bado ana nafasi ya kusonga mbele vizuri kabisa kwa mpira niliyoona jana kwa zaidi ya dakika 50 alipiga mpira mwingi sana na hata Etihad nategemea wataweza kupindua meza vyema.
Real Madrid ana nafasi ngumu japo Chelsea waliweza kupambana na kucheza mpira mwingi ila pale darajani naona watalala na viatu pia naendelea kumpa nafasi Real Madrid kuendelea mbele.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
We mganga KULIKONI?
Habari.
Hadi sasa zimebaki timu nne ambazo zitacheza hatua ya nusu fainali na ratiba:
Leg 1.
27 April 2021 Tuesday
Paris Saint Germain Vs Manchester City
Real Madrid Vs Chelsea
Leg 2.
04 May 2021 Tuesday
Manchester City Vs Paris Saint-Germain
Chelsea Vs Real Madrid
Hapo bila kupepesa macho mpira anaocheza Paris Saint Germain dhidi ya kocha wao Pochettino umekuwa na nidhamu ya kutafuta matokeo tu hakuna kingine.
Hivyo basiasi ubishe usibishe Paris Saint Germain atakuwa Champion wa ligi ya mabingwa ulaya.
Final itachezwa 29 May 2021 Ataturk Olympics Stadium.
Final itakuwa ni Paris Saint Germain Vs Real Madrid na bingwa atakuwa Paris Saint Germain.
Updates. 29/04/2021
Baada ya first leg matokeo yamekuwa yakishangaza kulingana na uzi wenyewe ila amini nawaambia wengi watashangazwa zaidi baada ya 2nd leg.
1st leg.
Real Madrid 1 - 1 Chelsea
✓Pulisic[emoji460]
✓Benzema[emoji460]
PSG 1 - 2 Manchester city
✓Marquinhos[emoji460]
✓De Bruyne [emoji460]
✓Mahrez [emoji460]
Hakika naendelea kuona PSG bado ana nafasi ya kusonga mbele vizuri kabisa kwa mpira niliyoona jana kwa zaidi ya dakika 50 alipiga mpira mwingi sana na hata Etihad nategemea wataweza kupindua meza vyema.
Real Madrid ana nafasi ngumu japo Chelsea waliweza kupambana na kucheza mpira mwingi ila pale darajani naona watalala na viatu pia naendelea kumpa nafasi Real Madrid kuendelea mbele.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
mbona unaanza kuogopakwani KDB hatacheza final? zile kadi hazifutwi kwa game inayofata?..hebu nipe ufafanuzi mkuu
Mkuu Tupo Aisee!Mko wapi..
Farmer league, sawa na kumuamini mmasai.Uzuri ni kwamba alieleta hii thread anaujua ukweli ila ubishi tu[emoji3][emoji3]
Hii kama ni kesi ya kupoteza kuku mimi dhamana niliweka ng'ombe.Kichwa Kichafu tunasubiri tathmini yako ya huu mchezo.
Jaribu leo nani atapitaHii kama ni kesi ya kupoteza kuku mimi dhamana niliweka ng'ombe.
Kante ndio nini mangi, subiri siku ifike ujionee.Halafu. Muda huo wanafanya hayo yote N'golo kante atakuwa wapi?
ili usicheze match inayofuata lazima uwe na kadi za njano tatu mfululizo ..kwani KDB hatacheza final? zile kadi hazifutwi kwa game inayofata?..hebu nipe ufafanuzi mkuu