Utabiri: PSG Ndio Mabingwa Wa UEFA Champions League 2021

Nyie underdogs mna viburi sana, viboko vyenu tarehe 29.05.2021 The Ataturk Stadium.

Nashangaa Chelsea kuwafunga wale wazee mnajiona mmemaliza kazi, ile game yenu ya FA Guardiola ali rotate kikosi, ile haikuwa first eleven.
Guardiola Hana first 11
 
Kupata vichekesho vingine kama hivi tunabonyeza namba ngapi ndugu mleta mada? Maana safari ya PSG ndo ishaisha hivyo
 
Vipi mzee na leo City hawakuwa serious na match au sio?🤣🤣
Huu uchambuzi wa kimahaba utawatia aibu kila siku huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…