Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Mtu tumempiga nje ndani aggregate ya 4-2 ..Man city haiwezi kumtoa PSG semi Final, kama mliweza kutepeta kwa Borrusia Dortmund ambayo karibu kikosi kizima ni under twenty mtaweza kupambana na kikosi imara kama PSG ?
Kwa mbinde sana, PSG watawatoa tena kwa aibuMtu tumempiga nje ndani aggregate ya 4-2 ..
Unakuja kusema nini ..
Hivi mpira unaangalia wewe nyang'ao ?
Ninawasiwasi na jinsia yako mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Chelsea hajacheza na westham mkuu alicheza na westbrom na hakufungwa 5-1 ilikuwa 5-2Mechi aliyocheza Chelsea ya mwisho kabla ya kucheza na Porto.
I bet on R Madrid.Habari.
Hadi sasa zimebaki timu nne ambazo zitacheza hatua ya nusu fainali na ratiba:
Leg 1.
27 April 2021 Tuesday
Paris Saint Germain Vs Manchester City
Real Madrid Vs Chelsea
Leg 2.
04 May 2021 Tuesday
Manchester City Vs Paris Saint-Germain
Chelsea Vs Real Madrid
Hapo bila kupepesa macho mpira anaocheza Paris Saint Germain dhidi ya kocha wao Pochettino umekuwa na nidhamu ya kutafuta matokeo tu hakuna kingine.
Hivyo pasi ubishe usibishe Paris Saint Germain atakuwa Champion wa ligi ya mabingwa ulaya.
Final itachezwa 29 May 2021 Ataturk Olympics Stadium.
Final itakuwa ni Paris Saint Germain Vs Real Madrid na bingwa atakuwa Paris Saint Germain.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
Uchambuzi gani ,dakika 90 unazielewa lakiniTatizo umekariri!! Ndoo anabeba Chelsea. Kwanza hana pressure, pili nguvu zake zote na mawazo yake yote amewekeza champions league wakati hawa wengine wanawaza pia kubeba ndoo kwenye ligi zao. Ndio maana chelsea hakuwa na mawazo na mechi ya epl dhidi ya west ham akafungwa 5-1, lakini akamfunga porto 2-0!! Wasiokariri wanajua chelsea mwaka huu ni simba mwenda pole ndiye mla nyama!! Mtanikumbuka!
Asante,Chelsea hajacheza na westham mkuu alicheza na westbrom na hakufungwa 5-1 ilikuwa 5-2
I bet on Chelsea
Kumbuka Mchango mkubwa wa C.Ronaldo nao ulikuwepo.Madrid hajawai toka hatua hii bila kombe
Kumbuka kuna mchango wa huyu dogo anaitwa Vini JR ambae kwa sasa akili yake imekomaa na ameacha utoto aliokua nao.Kumbuka Mchango mkubwa wa C.Ronaldo nao ulikuwepo.
2014/15.Madrid hajawai toka hatua hii bila kombe
Asante kwa rekodi2014/15.
Alitolewa na Juventus, Semi-final.
Yeah nakubali lets wait and seeKumbuka Mchango mkubwa wa C.Ronaldo nao ulikuwepo.
West Bromwich 5 Chelsea 2 The final score.Mechi aliyocheza Chelsea ya mwisho kabla ya kucheza na Porto.
Si dhambi kuota.Mwaka huu bingwa atakuwa ni Chelsea. Real Madrid & hawezi kumfunga Chelsea hata siku moja.
Siyo ndoto mkuu. Huo ndiyo uhalisia wenyewe.Si dhambi kuota.
Vini jr huyu huyu ambae game ya barca first touch zake nyingi zilikuwa mbovu na pasi zisizofika tunaposhambulia, huyu dogo game ya liver pia kazingua. Hazard wa chelsea angekuwa ndio wa madrid na angecheza game ya barca tungeshinda nyingi kweli.Kumbuka kuna mchango wa huyu dogo anaitwa Vini JR ambae kwa sasa akili yake imekomaa na ameacha utoto aliokua nao.