Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Mkuu umejitadi mkuu!!
 
Kinacho niumiza zaidi ni kuona jinsi tunavo okoa ndugu zetu ki local wakati kila kukicha tuna nunuaV8

Sent from my ZTE BLADE A512 using JamiiForums mobile app
Umeongea jambo la maana sana. Hata moto wa mlima Kilimanjaro ulikuwa unapelekwa ki local. Hawa watu waliopo madarakani sijui huwa wanaplan nini!!???
ni aibu sana sana
 
Unabii umetimia japo ndege iliyoanguka haiko na rangi nyekundu ni kijani na njano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…