Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

We jamaa unaitaji credit.
 
Imetokea kweli asee
 
Duh jamaa yupo vizuri, ana nguvu za maono japo wabongo uwa wanadharau sana, hata Ben alipotea kwa sababu ya dharau za wabongo
 
Siyo wabongo tu mkuu. Mara nyingi si rahisi kuamini hivi vitu. Ni nature ya binadamu. Likishatokea ndo kumbu kumbu zinakuja kwamba hili jambo lilizungumzwa.

Mfano kuna yule jamaa aliyesemaga ameona bendera ikipepea nusu mlingotihalafu akasema tuombee sana ikulu. Some days after, mzee Magu akafariki
 
Hivi yule pastor alisema kweli au vybez zake tu? Mzee wauwaji wake walijua kitambo sana, walikuwa wanasubiria muda tu, walijua 2020-2021 haitapita, they said it very clear. Tumaini El aliandikq toka 2018
 
Huna usabili wowote ni unataarifa vizuri ,logo haikuwa nyekundu na haikukatika katikati.na ajali zote wqnaanza okolewa watoto,
 
Huna usabili wowote ni unataarifa vizuri ,logo haikuwa nyekundu na haikukatika katikati.na ajali zote wqnaanza okolewa watoto,

Vijana akili zimepamba moto, hapo unabisha tena? [emoji23][emoji23][emoji706]
 
Vijana akili zimepamba moto, hapo unabisha tena? [emoji23][emoji23][emoji706]
Huyu ni mtu anasources za uhakika ona hii alipost
 

Attachments

  • Screenshot_20221107-022100_Chrome.jpg
    215 KB · Views: 10
Natabiri kwamba watajitokeza wapumbavu wengine na kujifanya nao wanatabiri mambo na watasababisha taharuki na hofu miongoni mwa jamii lakini mwisho wa siku hakuna kitakachotokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…