handsomezombie12
Member
- Jun 10, 2022
- 73
- 121
au sioUnajikuta mtabiri tambi tambi eeh, wa ardhi ya mbambadu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
au sioUnajikuta mtabiri tambi tambi eeh, wa ardhi ya mbambadu
Utabiri haujatimia , labda tutegemee ajali nyingine , haina logo nyekundu , na haijakatika ....!!
Waliipanga kiuchawi sio kuonaYeye ameona ajali, hajaona shirika
Alfu watu anakuja wanasema utabiri sawa hata kama ni utabiri na alijua utabiri wake hua ni maridadi ilikuaje alishindwa nin kwenda kuripoti sehem husika. Alafu na kifo cha Magufuli alikitabiri 2016
Kwani wewe unaona ile ni ajali? Ajali waliopanga hao wachawi, wakajifanya kuleta utabiri, ni kuua wote. Kilichotokea pale uchawi wao Mungu kauzuia ila, karuhusu hicho kilichotokea ili tujifunze kitu.Kati yako na yeye nani mpumbavu sasa?!
Mkuu kuna post ndani ya thread ila ya mwaka jana niliona unawalalamikia mods kufuta thread yako uliyotabiri kifo cha rais na kikatokea.Mkuu kuna baadhi ya siku huwa natembezwa kuonyeshwa baadhi ya mambo na nnachoneshwa lazima itimie coz huwa ni mpango wa Mungu ambao ameshakadiria itokee...
Haya kama ungekua wa buku dasiKuna Utabiri mpaka wa miaka 100
Ndo hivoNyie wanawake mkiamua kumuamini mtu....huwa hamwelewi. Nawaelewa sana...
Una waumbua sana ...duh ..waonee huruma kidgoAiseee?
Kama nakuona utakavyo kuwa una tubuNtatumia huo muda kufanya toba
Bado unamwita mpumbavu?Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Kumbuka alitabiri kifo cha magu, vipi tunaweza kusema alikuwa kwenye plan hiyoIsije kuwa hii ajali ilikuwa planned systematically na huyu jamaa anajua za ndani ila ameamua kuziweka kama utabiri?...
I'm thinking out loud!
Mkuu kuna baadhi ya siku huwa natembezwa kuonyeshwa baadhi ya mambo na nnachoneshwa lazima itimie coz huwa ni mpango wa Mungu ambao ameshakadiria itokee.Kwakuwa ni mpango wa mungu na sio Shetani basi huwa haiwezekani kubadiri hata kwa dua au maombi kwani huwa ni mambo ambayo muda wake wa kutimia huwa umefika.
kati ya wewe na yeye nani mpumbavu?..alfu usilitaje jina la mwokozi mixer matusi[emoji706][emoji706]Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Uko sahihi kiongozi wangu matusi harafu anamtaja mwokozikati ya wewe na yeye nani mpumbavu?..alfu usilitaje jina la mwokozi mixer matusi[emoji706][emoji706]
anajikuta mtakatifu kumbe ni mtenda dhambj[emoji23][emoji23]...Uko sahihi kiongozi wangu matusi harafu anamtaja mwokozi