Suchack
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,290
- 4,623
Nini tena hiki mchuchuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini tena hiki mchuchuu?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo yesu huwa kawaziba mpaka common sense shwainWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
We jamaa duh...Salaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Labda aliona rangi ya hawa wamiliki wenzao KQUnabii umetimia japo ndege iliyoanguka haiko na rangi nyekundu ni kijani na njano
Umeamka sasa?
Ni wapumbavu tu watahusisha huu ujinga na mambo ya kilozi....Wajuaji huwa mnashangaza sana.
Mashavu yamekushuka kama paka chongo.
😁😁😁😁Hakuna atakaebaki mzee, sote ni maiti watarajiwa.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Sasa mtu akisema mimi nitakufa, nikifa kweli ndio awe mtabiri.. 😂😁😁😁😁
Nyie wadada ndo maana mnadanganywa sana na kutapeliwa kirahisi. Ndege iliyokatika katikati ipo wapi? Watoto waliokufa? Nembo nyekundu? Jamani tumieni akili kufikiria siyo masaburi.Unaona wivu kuwa alichotabiri kimetokea? Tabiri na wewe?
Nawe wewe umegundua utapeli wa jamaa?.details alizotoa na kilichotokea tofauti. Ila wanawake wengi tayari wanataka aanzishe kanisa au awe sheikh yahya wao....hii tanzania wengi wana matatizo ya akili.Sasa mtu akisema mimi nitakufa, nikifa kweli ndio awe mtabiri.. 😂
Haya mie nasema kuanzia sasa hivi mpaka mwakani atakufa mtu maarufu. 😂
Soma alichotabiri na kilichotokea. Ni tofauti.Japo sio kama alivyotabiri ila kiasi flani kama inakuja then inakataaa
😂😂😂 Na mimi nasema kesho lazima ajali ya gari itokeeSasa mtu akisema mimi nitakufa, nikifa kweli ndio awe mtabiri.. 😂
Haya mie nasema kuanzia sasa hivi mpaka mwakani atakufa mtu maarufu. 😂
oyaa lisemwaloSoma alichotabiri na kilichotokea. Ni tofauti.
Ni ujanja ujanja tuNawe wewe umegundua utapeli wa jamaa?.details alizotoa na kilichotokea tofauti. Ila wanawake wengi tayari wanataka aanzishe kanisa au awe sheikh yahya wao....hii tanzania wengi wana matatizo ya akili.
Sema atawapata mademu wengi sana watamwamini.Ni ujanja ujanja tu