Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Kuna wakati kiongozi mkuu alihamasisha watu wote wamwombe Mungu aisaidie nchi. Tuliona
mauaji ya albino yakikoma, panya road wakitoweka, ajali zenye vifo vingi zikiisha, mauaji ya visa vidogo vidogo nayo yakipungua sana. Sasa hakuna kiongozi anayedhani Mungu anahusika kuilinda Tanzania. Yote hayo yamerudi kwa nguvu hasa. Angalia ukame na ukosefu wa maji nchini. Leo tena ajali ya ndege. Jamani nchi hii inahitaji maombi.
 
Kwenye rangi kuna wajuvi wake. Inatosha kabisa bluu bahari mtu wa kawaida kukuambia ni nyeusi. Hoja kubwa hapa ni kutokea kwa ajali ya ndege. Mengine ni upinzani usio na maana. Tumpe heshima yake kwa kujaliwa kipawa ambacho ni nadra kwa mamilioni yetu
Kweli mkuu. Yani watu wanaona alipokosea tu ila alipo sahihi hawaoni kabisa.
 
Niliwaambia acheni kumkejeli mshikaji huyu mwamba hakoseagi mkanikejeli na mie; sasa na kuna mwengine anatumia ID ya Tumia Akili hawa wamba wawili ni noma kwenye utabiri tafuteni ID ya tumia akili muone alichoandika mie sisemi kitu
 
Jamaa ametisha Kwa Sisi tunaojua mambo ya utabiri hatuwezi kuiponda thread yako hata kidogo
Hajatisha!! alisema ndege itakayopata ajali ina logo nyekundu!! Precision air haina logo nyekundu, Logo yake hii hapa:

1667751472216.png

Alisema itakatika vipande viwili, lakini haijakatika!! Alisema watakaookolewa kwanza ni watoto wadogo nalo halikutokea!!
 
Hajatisha!! alisema ndege itakayopata ajali ina logo nyekundu!! Precision air haina logo nyekundu, Logo yake hii hapa:

View attachment 2408681
Alisema itakatika vipande viwili, lakini haijakatika!! Alisema watakaookolewa kwanza ni watoto wadogo nalo halikutokea!!
Kwenye Kuota ndoto kuna mambo mengi mno huwa muda mwingine tunaangalia vitu muhimu hizo ishu za logo na watoto kukolewa sio ishu Sana bali jiulize je ajali ya ndege imetokea au la!!
Kwani ukimpa credits utapungukiwa na nini
 
Hajatisha!! alisema ndege itakayopata ajali ina logo nyekundu!! Precision air haina logo nyekundu, Logo yake hii hapa:

View attachment 2408681
Alisema itakatika vipande viwili, lakini haijakatika!! Alisema watakaookolewa kwanza ni watoto wadogo nalo halikutokea!!
Hajaenda mbali sana kukosea, tuseme alitabiri karibu na ukweli.

Hiyo logo ndotoni yaweza kutafsirika ama onekana kama ni nyekundu kweli.

Haijalishi hata kama kuokolewa walitangulia watu wazima, lakini na watoto walikuwepo!

Kikubwa tunaangalia kuwa ndoto ya maono juu ya: "ajali ya ndege ya hivi karibuni" imetimia kwa usahihi takribani %100.
 
Back
Top Bottom