Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

[emoji15][emoji15]hivi hawaruhusiwi kutabir kwani?
Wanaruhusiwa lkn kama ndio hivo umetoka utabiri umetimia asilimia kubwa ya kuhusishwa kwenu case mpaka uchunguzi wa kina ukamilike ni swala dogo sana.

Na kama alijua utabiri lazima utimie angeenda kutoa taarifa sehem husika kusudi watu wakawa chonjo. Me nafikilia hivyo
 
Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Vipi hakuna ajali iliyotokea?
 
Wanaruhusiwa lkn kama ndio hivo umetoka utabiri umetimia asilimia kubwa ya kuhusishwa kwenu case mpaka uchunguzi wa kina ukamilike ni swala dogo sana.

Na kama alijua utabiri lazima utimie angeenda kutoa taarifa sehem husika kusudi watu wakawa chonjo. Me nafikilia hivyo

Huyu jamaa Yuko vzr, alikuwa na uwezo wa kunyoosha Hadi rangi ya logo Ila aliogopa kufuatiliwa na serikali
Isijekuwa ni hujuma na yeye ni moja wahusika. Kwa namna dlani hii ajali otaidhoofisha hiyo kampuni kibiashara na watapoteza wateja.

Kwenye movie tulizoea kuona ndwge ikianguka kwenye maji hukatika vipande viwili; yawezekana waliopanga hili sakata walijua ikianguka kwenye maji itakatika
 
Isijekuwa ni hujuma na yeye ni moja wahusika. Kwa namna dlani hii ajali otaidhoofisha hiyo kampuni kibiashara na watapoteza wateja.

Kwenye movie tulizoea kuona ndwge ikianguka kwenye maji hukatika vipande viwili; yawezekana waliopanga hili sakata walijua ikianguka kwenye maji itakatika
Huyu jamaa angekua nchi za wenzetu tayali angekua chumba maalum na taa Kali zikimmulika na kichapo cha mbwa mwizi kikiendelea
 
Huyu jamaa angekua nchi za wenzetu tayali angekua chumba maalum na taa Kali zikimmulika na kichapo cha mbwa mwizi kikiendelea
Huyu kiukweli inatakiwa atafutwe.
Taarifa za awali zinasema ndege ilitua kwenye maji hivyo haikuangua. Hili linafikirisha sana.
Guu ni mpango ulipangwa
 
Huyu kiukweli inatakiwa atafutwe.
Taarifa za awali zinasema ndege ilitua kwenye maji hivyo haikuangua. Hili linafikirisha sana.
Guu ni mpango ulipangwa
Alfu watu anakuja wanasema utabiri sawa hata kama ni utabiri na alijua utabiri wake hua ni maridadi ilikuaje alishindwa nin kwenda kuripoti sehem husika. Alafu na kifo cha Magufuli alikitabiri 2016
 
Back
Top Bottom